claramasawe
Member
- May 16, 2020
- 37
- 40
- Thread starter
-
- #21
Bora useme weweTulia mkuu.
Mchumba yupo italy na kule kuna lockdown ya kufa mtu. Tangu feb aisiheje sasa
komesha korona
Lol. Maskin wewe, kazi ya kueleweka inakufanye tuweze kuongea lugha zinazofanana upo hapo?Stuka! Hizi ndio mbinu zao mpya, we mtu ana kazi na biashara zake na bwana wa kumtumia hela yuko nje ya nchi kwanini ang'ang'anie uwe na kazi ya kueleweka?
Companionship inahusiana vipi na kazi ya kueleweka? Kaa kijanja! Selection ya miaka inaonesha dhahiri tu kuwa anetafutwa ni Danga!
πππ acha basiMie naku subiri, si unajua kashape kako kakiloa kanavyo vutia...
Ni kweli jf napata company sana all time nikiwa aina cha kufanya nipo humu ila sometimez nataman hata kutoka an go some where na mtuNakuelewa saaana. Clara.
But mbona jeifu hapa hapa we can have a company.
komesha korona
Ahahahaha leo utakoma!! si umenichokoza kule... π ππππ acha basi
We unajua maana ya Companionship kweli? Au umeandika kitu usichokielewa?Lol. Maskin wewe, kazi ya kueleweka inakufanye tuweze kuongea lugha zinazofanana upo hapo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Akijibu nistue ...nifungue ID mpyaUnaruhusu watu waje na ID mpya?
Pole sana asee.Ni kweli jf napata company sana all time nikiwa aina cha kufanya nipo humu ila sometimez nataman hata kutoka an go some where na mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
Haina shida.
Maana mimi nimesha iandaa kabisa.
Wewe ndo hujaelewa soma kwa utulivu nilichoandikaWe unajua maana ya Companionship kweli? Au umeandika kitu usichokielewa?
Hilo siyo tatizo by the way huko hatujafikaUPO TAYARI KUPIMA HIV ?? Na magonjwa mengineo yaambukizayo kwa njia ya ngono????Usije kua ni moto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Af tunaharibu uzi wa watu unajua, em tutoke huku maana wewe hauna msaada kwa mleta uziππAhahahaha leo utakoma!! si umenichokoza kule... π π
Alafu nyie pipo mnaboaga daah [emoji3][emoji3]me nipo serious then mnajaza uzi wanguHaina shida.
Maana mimi nimesha iandaa kabisa.
Mnaboa hamjui tuAf tunaharibu uzi wa watu unajua, em tutoke huku maana wewe hauna msaada kwa mleta uzi[emoji23][emoji23]