Ahahahahaha, wewe umesafiri na baadhi ya vitu vyangu, nimebaki na mikono tuu ya ku typpAf tunaharibu uzi wa watu unajua, em tutoke huku maana wewe hauna msaada kwa mleta uziππ
Alafu nyie pipo mnaboaga daah [emoji3][emoji3]me nipo serious then mnajaza uzi wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sorry Madame, sirudii tena.Alafu nyie pipo mnaboaga daah [emoji3][emoji3]me nipo serious then mnajaza uzi wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani sana
Kuna tofauti kati ya Companionship na Patnership.
Hamna cha by the way , maana kusogeza siku ni lazima kugongana.
Huyu atakuwa rebecca83, sounds more lile her!@Mama Deborah naona umeamua kuja na ID mpya.
Anyways, to the rescue here I am.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahaha!! Watu mnajua kusense miandiko.Huyu atakuwa rebecca83, sounds more lile her!
[emoji4][emoji4]Hamna cha by the way , maana kusogeza siku ni lazima kugongana.
Sasa naona hujalitia mkazo , ndio maana napata ukakasi hapa.
Suala la utayari wa kupima Afya, nilitegemea liwe la kwanza kushinda kingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ye..yeeeeh! in TID voice πππ