Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Huyu atakuwa rebecca83, sounds more lile her!
Upo vizuri hongeraUlinibembeleza nikakubeza
Unanuka na nikatukelekeza
Macho makengeza miguu ya pweza
Kuwa nawe nkasema niliteleza
Leo unapendeza wamekutengeneza
Wanaume wenye mali wenye fedha
Sasa unajiweza na sio najikweza
Najutia nafasi kuipoteza
Leo aibu yangu.......[emoji445][emoji444]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunachotaka alegeze masharti, hela za kuhonga hamna sahizi kuhusu happy hour atapata za kutosha. Ni hilo tu!Tujikite kwenye mada wakuu, maana ya kuja na ID mpya ni kutafuta privacy.
Sasa tukianza kusema ni fulani, ni fulani siyo powa. Hasa pale tuliyemtaja ikawa siyo yeye.
Me siwajibu maana they talk nonsense. Unawezaje kumtambua mtu kirahisi hivi? Kuweni serious sometimes stop acting like whichdrTujikite kwenye mada wakuu, maana ya kuja na ID mpya ni kutafuta privacy.
Sasa tukianza kusema ni fulani, ni fulani siyo powa. Hasa pale tuliyemtaja ikawa siyo yeye.
Haki nimechekaTunachotaka alegeze masharti, hela za kuhonga hamna sahizi kuhusu happy hour atapata za kutosha. Ni hilo tu!
Kumbe nawewe umemgundua mkuu, inahitaji kutuliza akili "Critical Thinking" ili kugundua kwamba huyu mtu ana lengo gani kiundani.Awe muajiriwa awe na kazi ya kueleweka awe msomi ww unatafuta mwanume wakukuhudumia au company ivyo vigezo vya kutafuta mwanaume na hutompata hata kdg
Sent using Jamii Forums mobile app
I need some one class kidgo thou hunifahamu akay?Awe muajiriwa awe na kazi ya kueleweka awe msomi ww unatafuta mwanume wakukuhudumia au company ivyo vigezo vya kutafuta mwanaume na hutompata hata kdg
Sent using Jamii Forums mobile app
Anahitaji mpenzi sio ushauri.🏃🏃😂We dada unachotaka kufanya sio kizuri. Fikiria mara ya pili uamuzi wako.
Ongozwa na akili sio hisia..
Huo ni mfano tu wa jinsi ambavyo ntakufurahisha mama 🤣🤣🤣! Usiwe mgumu utakosa mambo matamu...kazi kwako sasa!
[emoji3][emoji3][emoji3]Kama huna sifa cul down manKumbe nawewe umemgundua mkuu, inahitaji kutuliza akili "Critical Thinking" ili kugundua kwamba huyu mtu ana lengo gani kiundani.
Pole vigezo hunaHuo ni mfano tu wa jinsi ambavyo ntakufurahisha mama [emoji1787][emoji1787][emoji1787]! Usiwe mgumu utakosa mambo matamu...kazi kwako sasa!
Tunachotaka alegeze masharti, hela za kuhonga hamna sahizi kuhusu happy hour atapata za kutosha. Ni hilo tu!
Hajaja kuomba ushauriWe dada unachotaka kufanya sio kizuri. Fikiria mara ya pili uamuzi wako.
Ongozwa na akili sio hisia..
Mi sijawahi kukosa sifa katika nyanja nyingi tu. Ila shida ninapendaga ku reason sana kabla ya kufanya maamuzi.🤣🤣🤣