Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Wapuuzi sana huyu ni malaya tu halafu anatumia ujanja wa kizamani eti mchumba wake yupo nje. Kuna miaka ya nyuma vidada vingi vilikuwa vinadai hivyo.Stuka! Hizi ndio mbinu zao mpya, we mtu ana kazi na biashara zake na bwana wa kumtumia hela yuko nje ya nchi kwanini ang'ang'anie uwe na kazi ya kueleweka?
Companionship inahusiana vipi na kazi ya kueleweka? Kaa kijanja! Selection ya miaka inaonesha dhahiri tu kuwa anetafutwa ni Danga!
Mkuu unamtaka sana huyu manzi nini? 🤣🤣🤣Hahaha, concern yangu ni moja tu, kwamba kama huyu siyo Rebecca83, na tunejihakikishia kwamba ni yeye, unadhani Rebecca83 atajisikiaje?
Tusiwe conclusive, ndiyo maana name calling ni kosa humu JF, ni kwa sababu ya kulinda privacy.
Sote humu ni anonymous, tudili na kila mmoja in anonymous way.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umemshtukia muhuni anatumia karata ya sympathy card hili awin heart ya huyu manzi.Mkuu unamtaka sana huyu manzi nini? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Enzi zile za akina Rashida Wanjara mwana FA alipoimba mabinti dam dam. Mademu walikuwa na Taizi hizo sana yani. Eti ukimuulizia jamaa yake hayupo kaenda Mamtoni.🤣🤣🤣🤣Wapuuzi sana huyu ni malaya tu halafu anatumia ujanja wa kizamani eti mchumba wake yupo nje. Kuna miaka ya nyuma vidada vingi vilikuwa vinadai hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera mkuuMi sijawahi kukosa sifa katika nyanja nyingi tu. Ila shida ninapendaga ku reason sana kabla ya kufanya maamuzi.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu unamtaka sana huyu manzi nini? 🤣🤣🤣
Analeta kali za Amita Bachan 🤣🤣🤣 this is Bongo aisee!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umemshtukia muhuni anatumia karata ya sympathy card hili awin heart ya huyu manzi.
Watu Wana mbinu asee!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wananipa ushawishi baadae mimtafute huyu rebeca lakn i think akiona hapa atajisikia vibaya its not fairHahaha, concern yangu ni moja tu, kwamba kama huyu siyo Rebecca83, na tumejihakikishia kwamba ni yeye, unadhani Rebecca83 atajisikiaje?
Tusiwe conclusive, ndiyo maana name calling ni kosa humu JF, ni kwa sababu ya kulinda privacy.
Sote humu ni anonymous, tudili na kila mmoja in anonymous way.
Hilo jina la Rebeca83 ni anonymous ID tayari, ina maana hata ukili connect na hili la claramasawe inakuwa hamna kitu umefanya.Kwani tangazo lake linasemaje?
Anatafuta mwanaume, na kama nimefika vigezo nitamfata PM.
Ambacho nakataa ni swala la kurelate ID yake na ID zingine za humu.
Kasema amefungua ID yake hii kulinda usalama wake, kwa nini tuwe concerned kuharibu huo usalama?
Right to privacy bro.
One of the great thinker tuliobaki nao humuKwani tangazo lake linasemaje?
Anatafuta mwanaume, na kama nimefika vigezo nitamfata PM.
Ambacho nakataa ni swala la kurelate ID yake na ID zingine za humu.
Kasema amefungua ID yake hii kulinda usalama wake, kwa nini tuwe concerned kuharibu huo usalama?
Right to privacy bro.
Mtakao fanikiwa mrejesho muhimu
Kampan tu lazima uwe msomi kazi je ndoa itakuaje
"WAMEMBWINU BUNI MPYA"
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu hana kitu ni vile visamki vyenye miiba mingi sijui changu. Mkuu huyu dada ni mwizi na huku Dodoma nani anamuda wa kuikaribisha gharama kuna mizigo kwa mujibu wa shehe kiegezo imemwagika Dom ya kufa mtu ndio ukajibananishe kwa mwehu kama huyuEnzi zile za akina Rashida Wanjara mwana FA alipoimba mabinti dam dam. Mademu walikuwa na Taizi hizo sana yani. Eti ukimuulizia jamaa yake hayupo kaenda Mamtoni.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Proffesional Fix, a.k.a Boshen!!!
[emoji3][emoji3]ndo mana JPM anatusisitiza tufanye kazi alafu watu kama wewe msioangaika hampendi kuambiwa muwe na kazi. Kazi ndiyo msingi wa maisha. Am hardworking do you think nikiwa na rafiki asiye na kazi au asiyejishughulisha will we match?Mtakao fanikiwa mrejesho muhimu
Kampan tu lazima uwe msomi kazi je ndoa itakuaje
"WAMEMBWINU BUNI MPYA"
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo jina la Rebeca83 ni anonymous ID tayari, ina maana hata ukili connect na hili la claramasawe inakuwa hamna kitu umefanya.
Nacheka sana. Kunywa maji mkuu life linahitaji sana uwe na focus punguza hasira then fanya kazi yoyoteHuyu hana kitu ni vile visamki vyenye miiba mingi sijui changu. Mkuu huyu dada ni mwizi na huku Dodoma nani anamuda wa kuikaribisha gharama kuna mizigo kwa mujibu wa shehe kiegezo imemwagika Dom ya kufa mtu ndio ukajibananishe kwa mwehu kama huyu
Sent using Jamii Forums mobile app
Naelewa upweke unavyouma Clara... Niliwahi kuwa mpweke Hadi nikawa natamani hata mtu alale tu karibu yangu ilimradi miguu iwe minne kitandani.
Dr. Unataka kumpima[emoji23],Hamna cha by the way , maana kusogeza siku ni lazima kugongana.
Sasa naona hujalitia mkazo , ndio maana napata ukakasi hapa.
Suala la utayari wa kupima Afya, nilitegemea liwe la kwanza kushinda kingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo Dom huu ni mwaka wa 4 nikitaka kampani naingia zangu Singida ijumaa jumapili nageuza Dom ama naingia Kondoa kuna maisha ya kupeana kampani sio kwako wewe kwanza ni msalitiNacheka sana. Kunywa maji mkuu life linahitaji sana uwe na focus punguza hasira then fanya kazi yoyote
Sent using Jamii Forums mobile app