Mkaka mtanashati tusogeze siku

Kama unaweza nipatia mtoto kama kwenye avatar tuwasiliane
 
Itakuwa ni gia tu ya kutafuta mwanaume mwenye hela
 
du wakubwa wanaraha asee ya umri huo kila siku na mm simoo natengwa sana mm ccm mbona😦😦
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Wazee wa kutibua madili
 
Na sisi wenye umri zaidi ya miaka 35 tunaruhusiwa kutuma maombi? Au ndiyo tayari tupo kwenye kundi la Wahenga! ☺
 
Una trako tuanzie hapo afu uko wapi nijibu nije pm kukuchukua maelezo
 
Nipo hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…