Mkaka mtanashati tusogeze siku

Mkaka mtanashati tusogeze siku

Stuka! Hizi ndio mbinu zao mpya, we mtu ana kazi na biashara zake na bwana wa kumtumia hela yuko nje ya nchi kwanini ang'ang'anie uwe na kazi ya kueleweka?

Companionship inahusiana vipi na kazi ya kueleweka? Kaa kijanja! Selection ya miaka inaonesha dhahiri tu kuwa anetafutwa ni Danga!
Itakuwa ni gia tu ya kutafuta mwanaume mwenye hela
 
du wakubwa wanaraha asee ya umri huo kila siku na mm simoo natengwa sana mm ccm mbona😦😦
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Wazee wa kutibua madili
Stuka! Hizi ndio mbinu zao mpya, we mtu ana kazi na biashara zake na bwana wa kumtumia hela yuko nje ya nchi kwanini ang'ang'anie uwe na kazi ya kueleweka?

Companionship inahusiana vipi na kazi ya kueleweka? Kaa kijanja! Selection ya miaka inaonesha dhahiri tu kuwa anetafutwa ni Danga!
 
Na sisi wenye umri zaidi ya miaka 35 tunaruhusiwa kutuma maombi? Au ndiyo tayari tupo kwenye kundi la Wahenga! ☺
 
Good morning my people.
Awali ya yote nimekuja na Id mpya kuficha usalama wangu, ila me ni mwenyeji humu JF muda tu
Wanasema mficha ugonjwa kifo humuumbua

Nahitaji mwanaume wa kupeana kampani tu (maana nina mchumba) ila yupo nje ya nchi kimasomo
Ni wakati huu ambao nimeamia makao makuu ya nchi, hakuna ndugu, wala rafiki wa kubadilishana mawazo nahisi ntakufa kwa upweke i need some one for campan.

Awe kijana miaka 29-35
Awe msomi
Awe smart mwilini na akili pia
Awe ana kazi ya kueleweka
Awe mwenye huruma na kujaliana

Sifa zangu
Mwajiriwa na biashara kidogo
Mweupe mrefu
Umri 29

Sihitaji matusi kama haikuhusu usiweke neno
Una trako tuanzie hapo afu uko wapi nijibu nije pm kukuchukua maelezo
 
Good morning my people.
Awali ya yote nimekuja na Id mpya kuficha usalama wangu, ila me ni mwenyeji humu JF muda tu
Wanasema mficha ugonjwa kifo humuumbua

Nahitaji mwanaume wa kupeana kampani tu (maana nina mchumba) ila yupo nje ya nchi kimasomo
Ni wakati huu ambao nimeamia makao makuu ya nchi, hakuna ndugu, wala rafiki wa kubadilishana mawazo nahisi ntakufa kwa upweke i need some one for campan.

Awe kijana miaka 29-35
Awe msomi
Awe smart mwilini na akili pia
Awe ana kazi ya kueleweka
Awe mwenye huruma na kujaliana

Sifa zangu
Mwajiriwa na biashara kidogo
Mweupe mrefu
Umri 29

Sihitaji matusi kama haikuhusu usiweke neno
Nipo hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom