Mkaka mtanashati tusogeze siku

Mkaka mtanashati tusogeze siku

Hivi itakuwaje kama anayekuja PM na kuchat na wewe ni mchumba wako?aisee sisi MABAHARIA tuna mitihani mkubwa na wachimba zetu...si utafute hata DODOKI ujiridhishe?kumbe ndy tunavyofanyiwa MABAHARIA tukisafiri...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Enzi zile za akina Rashida Wanjara mwana FA alipoimba mabinti dam dam. Mademu walikuwa na Taizi hizo sana yani. Eti ukimuulizia jamaa yake hayupo kaenda Mamtoni.🤣🤣🤣🤣

Proffesional Fix, a.k.a Boshen!!!
Mamtoni wapi,labda mto wami huko huhuu
 
Good morning my people.
Awali ya yote nimekuja na Id mpya kuficha usalama wangu, ila me ni mwenyeji humu JF muda tu
Wanasema mficha ugonjwa kifo humuumbua

Nahitaji mwanaume wa kupeana kampani tu (maana nina mchumba) ila yupo nje ya nchi kimasomo
Ni wakati huu ambao nimeamia makao makuu ya nchi, hakuna ndugu, wala rafiki wa kubadilishana mawazo nahisi ntakufa kwa upweke i need some one for campan.

Awe kijana miaka 29-35
Awe msomi
Awe smart mwilini na akili pia
Awe ana kazi ya kueleweka
Awe mwenye huruma na kujaliana

Sifa zangu
Mwajiriwa na biashara kidogo
Mweupe mrefu
Umri 29

Sihitaji matusi kama haikuhusu usiweke neno
Unahitaji Mtanashati,je wewe ni Mtanablauzi?
 
Good morning my people.
Awali ya yote nimekuja na Id mpya kuficha usalama wangu, ila me ni mwenyeji humu JF muda tu
Wanasema mficha ugonjwa kifo humuumbua

Nahitaji mwanaume wa kupeana kampani tu (maana nina mchumba) ila yupo nje ya nchi kimasomo
Ni wakati huu ambao nimeamia makao makuu ya nchi, hakuna ndugu, wala rafiki wa kubadilishana mawazo nahisi ntakufa kwa upweke i need some one for campan.

Awe kijana miaka 29-35
Awe msomi
Awe smart mwilini na akili pia
Awe ana kazi ya kueleweka
Awe mwenye huruma na kujaliana

Sifa zangu
Mwajiriwa na biashara kidogo
Mweupe mrefu
Umri 29

Sihitaji matusi kama haikuhusu usiweke neno
Mbona hujaweka awe anaishi wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Good morning my people.
Awali ya yote nimekuja na Id mpya kuficha usalama wangu, ila me ni mwenyeji humu JF muda tu
Wanasema mficha ugonjwa kifo humuumbua

Nahitaji mwanaume wa kupeana kampani tu (maana nina mchumba) ila yupo nje ya nchi kimasomo
Ni wakati huu ambao nimeamia makao makuu ya nchi, hakuna ndugu, wala rafiki wa kubadilishana mawazo nahisi ntakufa kwa upweke i need some one for campan.

Awe kijana miaka 29-35
Awe msomi
Awe smart mwilini na akili pia
Awe ana kazi ya kueleweka
Awe mwenye huruma na kujaliana

Sifa zangu
Mwajiriwa na biashara kidogo
Mweupe mrefu
Umri 29

Sihitaji matusi kama haikuhusu usiweke neno
Duh....another bitch in jf......sucks.
 
“watanashati mwendo wa suruali na shati.. moka chini juu tai watu wamevunja kabati"

Wengine nyumba ya udongo, nyasi, mlango wa gunia
Ndani hakuna mwiko, kikombe wala sufuria
Zaidi ya kiberiti tu na kipande cha mkeka
Na nikishakula [emoji377] mambo yangu nauweka,
Wala sioni hatari kula dona dagaa
Si kuna wengine hawajauona, wamelala na njaa
Na usione tumepinda migongo, ukadhani ni vibyongo
Pengine ni ufupi tu wa mlango
We endelea kula bia acha mi nikapate gongo
Mradi wote tuwe stim ndio life ya kibongo.
 
Good morning my people.
Awali ya yote nimekuja na Id mpya kuficha usalama wangu, ila me ni mwenyeji humu JF muda tu
Wanasema mficha ugonjwa kifo humuumbua

Nahitaji mwanaume wa kupeana kampani tu (maana nina mchumba) ila yupo nje ya nchi kimasomo
Ni wakati huu ambao nimeamia makao makuu ya nchi, hakuna ndugu, wala rafiki wa kubadilishana mawazo nahisi ntakufa kwa upweke i need some one for campan.

Awe kijana miaka 29-35
Awe msomi
Awe smart mwilini na akili pia
Awe ana kazi ya kueleweka
Awe mwenye huruma na kujaliana

Sifa zangu
Mwajiriwa na biashara kidogo
Mweupe mrefu
Umri 29

Sihitaji matusi kama haikuhusu usiweke neno
Dah "Mdude Chadema honey trap on work"
 
Wale ambao hawajawahi kula tunda kimasihara nafasi ndo hii sasa.
 
Kazi ya kueleweka ni inayoingiza how much? Nikiwa na 2.8m ya sisi kutumia kila mwezi kwe urafiki wetu itatosha?
 
Back
Top Bottom