Mkaka wa kuchati nae tu anatakiwa

Mkaka wa kuchati nae tu anatakiwa

Natafuta Kaka mstaarabu mtulivu mwenye kujua utu na ubinaadamu wa kubadilishana nae Mawazo yaani kuchati na kushauriana kuhusu Maisha kwa ujumla.
mengine kama mimi nani au namba ya Simu ni baada ya ku Pm.

with thanks!

By my law: Complete and balance
 
Mwiziiii huyoooooo😂😂😂😂
 
ha? ni wakaka ndo tunahitajika tu na hzo sifa zote ninazo eb ngoja nkucheki saa hii
 
Natafuta Kaka mstaarabu mtulivu mwenye kujua utu na ubinaadamu wa kubadilishana nae Mawazo yaani kuchati na kushauriana kuhusu Maisha kwa ujumla.

Mengine kama mimi nani au namba ya Simu ni baada ya ku PM.

With thanks!

#hello nakuja pm but uwe serious with what u hv mentioned
 
Wanaume humu wapo wengi lakini wewe ndio mwenye uamuzi wa mwisho mama....
 
Natafuta Kaka mstaarabu mtulivu mwenye kujua utu na ubinaadamu wa kubadilishana nae Mawazo yaani kuchati na kushauriana kuhusu Maisha kwa ujumla.

Mengine kama mimi nani au namba ya Simu ni baada ya ku PM.

[emoji3] [emoji3]nakuja pm
 
Si ukae uchati na babako au kaka zako..au ni wanaume kama mabinti?
 
Natafuta Kaka mstaarabu mtulivu mwenye kujua utu na ubinaadamu wa kubadilishana nae Mawazo yaani kuchati na kushauriana kuhusu Maisha kwa ujumla.

Mengine kama mimi nani au namba ya Simu ni baada ya ku PM.

With thanks!

nipo na karibu sana.
 
mwaka huu!
 

Attachments

  • dunia hii.jpg
    dunia hii.jpg
    48.9 KB · Views: 296
Back
Top Bottom