Mkaka wa kuchati nae tu anatakiwa

Madomo zege utayajua tu!!!! Yaani mtu unadiriki kuacha phone no sehemu kama Jamiiforum

You have no idea.
 
Heloo safari hii umerudi kivingine? Anyway kila la heri
 
Last edited by a moderator:
Natafuta Kaka mstaarabu mtulivu mwenye kujua utu na ubinaadamu wa kubadilishana nae Mawazo yaani kuchati na kushauriana kuhusu Maisha kwa ujumla.

Mengine kama mimi nani au namba ya Simu ni baada ya ku PM.

With thanks!
hello VP ushampata
 
naomba niseme kitu hapa.....sio lazima mtu kama mada hujaielewa uchangie...unaweza pita tu....ndo maana nikasema mkaka mstaarabu sasa ustaarabu umeanza kuonekana kabla hata jua kuzama...just be realistic,if you want to pm just pm u don't want just cool down or concentrate on other thing or write anything we will contribute rather than talking and writing shits
 
Nawe wataka Mkaka ama Mdada wa kuchart naye??????????? kama wataka Mkaka wa kuchart naye nipo just pm your whatsApp number and we chart, Ama niaje?????
 
Natafuta Kaka mstaarabu mtulivu mwenye kujua utu na ubinaadamu wa kubadilishana nae Mawazo yaani kuchati na kushauriana kuhusu Maisha kwa ujumla.

Mengine kama mimi nani au namba ya Simu ni baada ya ku PM.

With thanks!
mm nipo tayari na namba zangu ni 0713153696
 

Attachments

  • picasabackground-012.jpg
    7.2 KB · Views: 370
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…