Mkakati mpya kudai Katiba Mpya wazinduliwa

Mkakati mpya kudai Katiba Mpya wazinduliwa

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Katiba ni mali ya wananchi. Jitihada za kutufikisha kuliko haki haziwezi kufanyikia gizani.

Hii mambo ya kina TCD na kina Zitto haziwasimamishi wasioridhika nazo kuchukua mwelekeo mwingine.

Mkakati mpya kudai Katiba

Watu ambao hawakuwahi kukemea ndivyo sivyo za tume ya uchaguzi, polisi dhidi ya vyama vya siasa, Msajili na serikali dhidi ya katiba nk, wanapata wapi uhalali wa kumtafutia nani suluhu?

Ziungwe mkono jitihada za wanaharakati huru hawa kwa kutia vidole kwenye makabrasha yao yenye kuonyesha utayari wa kutia nia.

Milioni 5 wetu watawapa watawala mrejesho kamili:

"Inatakiwa katiba mpya sasa itakayo kuwa suluhisho kwa sintofahamu zote, zikiwamo za ukiukwaji wa wazi wa katiba uliopo."
 
1640331792154.png
 
Katiba ni mali ya wananchi. Jitihada za kutufikisha kuliko haki haziwezi kufanyikia gizani.

Hii mambo ya kina TCD na kina Zitto haziwasimamishi wasioridhika nazo kuchukua mwelekeo mwingine.

Mkakati mpya kudai Katiba

Watu ambao hawakuwahi kukemea ndivyo sivyo za tume ya uchaguzi, polisi dhidi ya vyama vya siasa, Msajili na serikali dhidi ya katiba nk, wanapata wapi uhalali wa kumtafutia nani suluhu?

Tuunge mkono jitihada za wanaharakati huru hawa kwa kutia vidole kwenye makabrasha yenye kutia nia.

Milioni 5 wetu watawapa watawala mrejesho kamili:

Tunataka katiba mpya itakayo kuwa suluhisho kwa sintofahamu zote zikiwamo za ukiukwaji katiba zinazoonekana.
Hiyo tume wanayotaka kuunda ni tume ya ccm. Tutaendelea kudai tume huru ya taifa chini ya mwamvuri wa katiba mpya.

Hiyo wanapoteza muda. Watakuja wamwambie nani kuhusu hiyo tume-ccm??
 
Hiyo tume wanayotaka kuunda ni tume ya ccm. Tutaendelea kudai tume huru ya taifa chini ya mwamvuri wa katiba mpya.

Hiyo wanapoteza muda. Watakuja wamwambie nani kuhusu hiyo tume-ccm??

Ni muhimu ujumbe rasmi utimbe haraka na rasmi pale magogoni:

"Saini 5m zitapeleka ujumbe kwa sauti iliyoboreshwa zaidi pale magogoni."

Tume yao inahusika vipi?

Inatakikana katiba mpya.
 
Katiba ni mali ya wananchi. Jitihada za kutufikisha kuliko haki haziwezi kufanyikia gizani.

Hii mambo ya kina TCD na kina Zitto haziwasimamishi wasioridhika nazo kuchukua mwelekeo mwingine.

Mkakati mpya kudai Katiba

Watu ambao hawakuwahi kukemea ndivyo sivyo za tume ya uchaguzi, polisi dhidi ya vyama vya siasa, Msajili na serikali dhidi ya katiba nk, wanapata wapi uhalali wa kumtafutia nani suluhu?

Ziungwe mkono jitihada za wanaharakati huru hawa kwa kutia vidole kwenye makabrasha yao yenye kuonyesha utayari wa kutia nia.

Milioni 5 wetu watawapa watawala mrejesho kamili:

"Inatakiwa katiba mpya itakayo kuwa suluhisho kwa sintofahamu zote zikiwamo za ukiukwaji wa wazi wa katiba uliopo."
Wemejiita kwenye kongamano, wajikosoa wMejitolea maazimio then wamejiteua kamati ya ushauri, huu upuuzi unapatikana tanzania tu
 
Fursa iliyopotea 2014 kwa mihemko ya baadhi ya watu haitegemewi kurudi tena

Tukatae tukubali utashi wa Rais kwny mchakato wa katiba mpya hasa katika nchi za dunia ya tatu ni muhimu sana

Waliosusa mchakato kwa kuwa tu kipengele cha Serikali tatu ndani ya Muungano kimenyofolewa walitoa boko sana

Nguvu na ushawishi waliokuwa nayo wakati ule haupo tena …
 
Fursa iliyopotea 2014 kwa mihemko ya baadhi ya watu haitegemewi kurudi tena

Tukatae tukubali utashi wa Rais kwny mchakato wa katiba mpya hasa katika nchi za dunia ya tatu ni muhimu sana

Waliosusa mchakato kwa kuwa tu kipengele cha Serikali tatu ndani ya Muungano kimenyofolewa walitoa boko sana

Nguvu na ushawishi waliokuwa nayo wakati ule haupo tena …
Tunataka rasimu ya Warioba
 
Wemejiita kwenye kongamano, wajikosoa wMejitolea maazimio then wamejiteua kamati ya ushauri, huu upuuzi unapatikana tanzania tu

Tuungane kwenye 5m signs. Hapa pana njia.

Muda wetu wa kumwonyesha pale magogoni, wengi wape usipowapa watajichukulia.
 
Kwa nini kikundi cha watu kumi wakajadili katiba pale dodoma

Wanatuona mazuzu. Huyu ndiye Msomi Kinara na labda mwenyekiti wao:

1. Prof Mukandara Nov 2020:

IMG_20211224_143634_938.jpg


2. Prof Mukandara Dec 2021:


.

IMG_20211224_143714_208.jpg
 
Fursa iliyopotea 2014 kwa mihemko ya baadhi ya watu haitegemewi kurudi tena

Tukatae tukubali utashi wa Rais kwny mchakato wa katiba mpya hasa katika nchi za dunia ya tatu ni muhimu sana

Waliosusa mchakato kwa kuwa tu kipengele cha Serikali tatu ndani ya Muungano kimenyofolewa walitoa boko sana

Nguvu na ushawishi waliokuwa nayo wakati ule haupo tena …

Nimecheka kwa nguvu, kuwa ushawishi waliokuwa nao wakati ule leo haupo tena, lakini wakifanya kongamano la katiba mpya wanazuiliwa, na kupewa kesi za ugaidi. Wangeachwa kisha watu wasijitokeze kama kwenye hizi chaguzi za marudio hapo ungekuwa na utetezi wenye hoja.
 
Zamani usingeweza kuzuia kongamano la Katiba mpya kwa tangazo la RPC, ungeweza kumuweka ndani Chairman Mbowe ? umesahau 2015 Mbowe alimtia mitama Mkurugenzi wa Uchaguzi kule Hai lakin hakugushwa? Sasa hivi ana ubavu huo?

Tangu 2015 mmefanya jambo gani kushinikiza Serikali na serikali ikaufyata? Ingekuwa enzi zile Serikali ingewafanyia mchezo iliyowafanyia kwa Wabunge wenu 19?
Mlijaribu Operation Ukuta si mliufyata? Ingekuwa zamani si mngeitwa Ikulu kwenda 'kuyajenga'


October,2015 wakifunga Kampeni za Mgombea wao wa Mkopo Ndugu Lowassa nakumbuka Chairman Mbowe alimwita Rais kwa jina lake la kwanza …Wee Jakaya usipokabidhi nchi hadi Jumatano ijayo tutakufurusha kwa Maandamano kama Ivory coast walivyomfurusha Lurent Gbagbo… akashuka akaingia kwny Gari na kutokomea na hakuna wa kumgusa


Eti wangeachwa kisha wajitokeze? Unajiita Mpambanaji halafu unataka wakuache sijui ufanye Mkutano wakuache sijui ufanye nn? ANC walisubiri kaburu 'awaache' wafanye Mkutano…jukumu lako ni kushinikiza ufanye unayohisi ni sahihi sio kusubiri serikali ikuruhusu na kama unasubiri ruhusa usijiite Kamanda …
Nimecheka kwa nguvu, kuwa ushawishi waliokuwa nao wakati ule leo haupo tena, lakini wakifanya kongamano la katiba mpya wanazuiliwa, na kupewa kesi za ugaidi. Wangeachwa kisha watu wasijitokeze kama kwenye hizi chaguzi za marudio hapo ungekuwa na utetezi wenye hoja.
 
Fursa iliyopotea 2014 kwa mihemko ya baadhi ya watu haitegemewi kurudi tena

Tukatae tukubali utashi wa Rais kwny mchakato wa katiba mpya hasa katika nchi za dunia ya tatu ni muhimu sana

Waliosusa mchakato kwa kuwa tu kipengele cha Serikali tatu ndani ya Muungano kimenyofolewa walitoa boko sana

Nguvu na ushawishi waliokuwa nayo wakati ule haupo tena …

Fursa iliyoko mikononi mwetu inapotea vipi?

Huku si ndiko kuwadhania wengine mazuzu?

Kwani katiba mpya linakuja kutokea mbinguni?

Kwamba kuna watu binadamu kwa kibri yao hawataki tuwe na katiba yenye kuzingatia matakwa ya wananchi?

Kwamba hawataki usawa, uhuru, haki wala demokrasia kutamalaki?

Kwamba wanakuja na visingizio visivyokuwa na mashiko kulinda maslahi yao?

Haya ndiyo yaliyo makubaliano yetu?

Kuelekea Tanzania mpya tuvikatae Visingizio vyote

Tusije kulaumiana tu.
 
Nimecheka kwa nguvu, kuwa ushawishi waliokuwa nao wakati ule leo haupo tena, lakini wakifanya kongamano la katiba mpya wanazuiliwa, na kupewa kesi za ugaidi. Wangeachwa kisha watu wasijitokeze kama kwenye hizi chaguzi za marudio hapo ungekuwa na utetezi wenye hoja.

Inaitwa kisebu sebu na kiroho papo.

Hili la sahihi za kutia nia si la kukosa.

Hii ni hatua nyingine njema. Twende kwa mamia na maelfu yetu.

Twende na washirika, ndugu, marafiki na jamaa zetu.

5m? Wategemer 10m+.
 
Hiyo tume wanayotaka kuunda ni tume ya ccm. Tutaendelea kudai tume huru ya taifa chini ya mwamvuri wa katiba mpya.

Hiyo wanapoteza muda. Watakuja wamwambie nani kuhusu hiyo tume-ccm??
Wakati huo ACT wanakuja na mkakati wa kudai katiba mpya, huko Wiliyani Serengerema mbunge analalamika tume tatu zimeundwa kuchunguza akina nani wanahusika na usimamizi mbaya wa ujenzi, mpaka sasa kimya?

Mil 700 na ushee?? Mwisho wa mwaka kuna watu "wanakomba mboga" bila kunawa.

Halafu wale waliojenga nyumba ya mlinzi kwa mamilioni ya faranga kula TANESCO Kagera nao lile saga limeishia wapi??
 
Zamani usingeweza kuzuia kongamano la Katiba mpya kwa tangazo la RPC, ungeweza kumuweka ndani Chairman Mbowe ? umesahau 2015 Mbowe alimtia mitama Mkurugenzi wa Uchaguzi kule Hai lakin hakugushwa? Sasa hivi ana ubavu huo?

Tangu 2015 mmefanya jambo gani kushinikiza Serikali na serikali ikaufyata? Ingekuwa enzi zile Serikali ingewafanyia mchezo iliyowafanyia kwa Wabunge wenu 19?
Mlijaribu Operation Ukuta si mliufyata? Ingekuwa zamani si mngeitwa Ikulu kwenda 'kuyajenga'


October,2015 wakifunga Kampeni za Mgombea wao wa Mkopo Ndugu Lowassa nakumbuka Chairman Mbowe alimwita Rais kwa jina lake la kwanza …Wee Jakaya usipokabidhi nchi hadi Jumatano ijayo tutakufurusha kwa Maandamano kama Ivory coast walivyomfurusha Lurent Gbagbo… akashuka akaingia kwny Gari na kutokomea na hakuna wa kumgusa


Eti wangeachwa kisha wajitokeze? Unajiita Mpambanaji halafu unataka wakuache sijui ufanye Mkutano wakuache sijui ufanye nn? ANC walisubiri kaburu 'awaache' wafanye Mkutano…jukumu lako ni kushinikiza ufanye unayohisi ni sahihi sio kusubiri serikali ikuruhusu na kama unasubiri ruhusa usijiite Kamanda …

Hao ANC walipokuwa wanapambana na makaburu walipata support mpaka nje ya nchi, na bado waliteswa zaidi ya miaka 50, na hakuna chochote waliwafanya wazungu, mpaka alipotokea mzungu mlokole akaona ni siasa outdated, kama hao weusi wa kusini waliogopwa na wazungu, mbona Mandela alikaa jela 27yrs mpaka alipotolewa kwa huruma ya De Clerk? Ww unatolea mfano wa miaka chini ya 10 kwa cdm!

Inaonekana ushawishi kwako ni njia ya mapigano tu, bila kujua njia ni nyingi ikiwemo kususia. Kwa taarifa yako hii tabia ya kususia inazidi kuleta njia ya kukaa mezani, kuliko hiyo ya mapambano ambapo tayari watu ni waoga. Kitendo cha CDM kususia chaguzi ni njia nzuri na salama kwa wanachama na wafuasi wake, kwani haiwaachi na vifo au vilema vya maisha. Hii inasaidia kuwa na viongozi wasio na uhalali wa umma, ambapo kadiri muda unavyokwenda ni rahisi kushawishi wananchi kuutoa uongozi wa kihuni kwa public disiobidiance.
 
Back
Top Bottom