Mkakati mpya kudai Katiba Mpya wazinduliwa

Mkakati mpya kudai Katiba Mpya wazinduliwa

Inaitwa kisebu sebu na kiroho papo.

Hili la sahihi za kutia nia si la kukosa.

Hii ni hatua nyingine njema. Twende kwa mamia na maelfu yetu.

Twende na washirika, ndugu, marafiki na jamaa zetu.

5m? Wategemer 10m+.

Kabisa, na sisi kutia sahihi zetu tu.
 
Sasa kama ANC walipompata De Clerk hawakuchezea bahati wakamtumia ipasavyo kwanini nyie hamkutumia vyema fursa ya De Clerk wa Tz ( JK)?

Akimaliza Bi Mkubwa tunawaletea JPM mwingine… Pole pole kishatangazia Umma…
Hao ANC walipokuwa wanapambana na makaburu walipata support mpaka nje ya nchi, na bado waliteswa zaidi ya miaka 50, na hakuna chochote waliwafanya wazungu, mpaka alipotokea mzungu mlokole akaona ni siasa outdated, kama hao weusi wa kusini waliogopwa na wazungu, mbona Mandela alikaa jela 27yrs mpaka alipotolewa kwa huruma ya De Clerk? Ww unatolea mfano wa miaka chini ya 10 kwa cdm!

Inaonekana ushawishi kwako ni njia ya mapigano tu, bila kujua njia ni nyingi ikiwemo kususia. Kwa taarifa yako hii tabia ya kususia inazidi kuleta njia ya kukaa mezani, kuliko hiyo ya mapambano ambapo tayari watu ni waoga. Kitendo cha CDM kususia chaguzi ni njia nzuri na salama kwa wanachama na wafuasi wake, kwani haiwaachi na vifo au vilema vya maisha. Hii inasaidia kuwa na viongozi wasio na uhalali wa umma, ambapo kadiri muda unavyokwenda ni rahisi kushawishi wananchi kuutoa uongozi wa kihuni kwa public disiobidiance.
 
Sasa kama ANC walipompata De Clerk hawakuchezea bahati wakamtumia ipasavyo kwanini nyie hamkutumia vyema fursa ya De Clerk wa Tz ( JK)?

Akimaliza Bi Mkubwa tunawaletea JPM mwingine… Pole pole kishatangazia Umma…

De Clerk hakuwa na hizi hila za kiswahili. Ndio maana unaona hadi Mandela alienda akawa rais. Yule aliruhusu maridhiano ya kweli yasiyo ya hila ndani yake.
 
Sasa kama ANC walipompata De Clerk hawakuchezea bahati wakamtumia ipasavyo kwanini nyie hamkutumia vyema fursa ya De Clerk wa Tz ( JK)?

Akimaliza Bi Mkubwa tunawaletea JPM mwingine… Pole pole kishatangazia Umma…

Kwamba fursa? Kwani mkoloni mweusi ni mno kuliko hata kaburu? Kwa sasa fursa ndiyo imepotea jumla?

Makubwa.
 
De Clerk hakuwa na hizi hila za kiswahili. Ndio maana unaona hadi Mandela alienda akawa rais. Yule aliruhusu maridhiano ya kweli yasiyo ya hila ndani yake.

Mkoloni mweusi hadi sandarusi zinatuhusu.

Pathetic!
 
Huyu mhaya ni tapeli kama tapel mwingne tu

Matumbo yao ni muhimu zaidi.

1. Nov 2020 uchaguzi 2020 ulikuwa huru na wa haki.
2. Dec 2021 uchaguzi 2021 haikuwa huru wala wa haki.

Leo anamtengenezea nani nini kuhusu uchaguzi, uhuru, usawa, au haki?

Tuwakatae na kwakemea ndumila kuwili hawa.
 
Msajili wa vyama kwa cheo chake hastahili kusimamia hilo zoezi, huyo ni mteule wa mwenyekiti wa CCM na kuna uwezekano mkubwa akakibeba chama cha bosi wake.
 
Hawa wanapinga kila kitu.

Unasomeka mkuu, ila wakati mwingine si mbaya kuendelea kuwadunda na vitu vizito utosini.

Akili inaweza kuwa rejea wakazinduka.

Si unamwona huyu?

 
Weka saini yako kudai Katiba mpya hapa
 
Nimecheka kwa nguvu, kuwa ushawishi waliokuwa nao wakati ule leo haupo tena, lakini wakifanya kongamano la katiba mpya wanazuiliwa, na kupewa kesi za ugaidi. Wangeachwa kisha watu wasijitokeze kama kwenye hizi chaguzi za marudio hapo ungekuwa na utetezi wenye hoja.
Umempiga na kitu kizito kichwani
 
Zamani usingeweza kuzuia kongamano la Katiba mpya kwa tangazo la RPC, ungeweza kumuweka ndani Chairman Mbowe ? umesahau 2015 Mbowe alimtia mitama Mkurugenzi wa Uchaguzi kule Hai lakin hakugushwa? Sasa hivi ana ubavu huo?

Tangu 2015 mmefanya jambo gani kushinikiza Serikali na serikali ikaufyata? Ingekuwa enzi zile Serikali ingewafanyia mchezo iliyowafanyia kwa Wabunge wenu 19?
Mlijaribu Operation Ukuta si mliufyata? Ingekuwa zamani si mngeitwa Ikulu kwenda 'kuyajenga'


October,2015 wakifunga Kampeni za Mgombea wao wa Mkopo Ndugu Lowassa nakumbuka Chairman Mbowe alimwita Rais kwa jina lake la kwanza …Wee Jakaya usipokabidhi nchi hadi Jumatano ijayo tutakufurusha kwa Maandamano kama Ivory coast walivyomfurusha Lurent Gbagbo… akashuka akaingia kwny Gari na kutokomea na hakuna wa kumgusa


Eti wangeachwa kisha wajitokeze? Unajiita Mpambanaji halafu unataka wakuache sijui ufanye Mkutano wakuache sijui ufanye nn? ANC walisubiri kaburu 'awaache' wafanye Mkutano…jukumu lako ni kushinikiza ufanye unayohisi ni sahihi sio kusubiri serikali ikuruhusu na kama unasubiri ruhusa usijiite Kamanda …
We tikiti ndo maana Mbowe anashinikiza katiba mpya, na mmempa bogus terrorism charges, na amegoma kupiwapigia magoti,, nyie Magu aliwagusa kidogo mkamramba kende[emoji1]
 
Sasa kama ANC walipompata De Clerk hawakuchezea bahati wakamtumia ipasavyo kwanini nyie hamkutumia vyema fursa ya De Clerk wa Tz ( JK)?

Akimaliza Bi Mkubwa tunawaletea JPM mwingine… Pole pole kishatangazia Umma…
Eti mnamleta?? Nyie ndo mlipanga magu aongezewa muda lakini kilichompata mnajua
 
Back
Top Bottom