Mkakati mpya kudai Katiba Mpya wazinduliwa

Inaitwa kisebu sebu na kiroho papo.

Hili la sahihi za kutia nia si la kukosa.

Hii ni hatua nyingine njema. Twende kwa mamia na maelfu yetu.

Twende na washirika, ndugu, marafiki na jamaa zetu.

5m? Wategemer 10m+.

Kabisa, na sisi kutia sahihi zetu tu.
 
Sasa kama ANC walipompata De Clerk hawakuchezea bahati wakamtumia ipasavyo kwanini nyie hamkutumia vyema fursa ya De Clerk wa Tz ( JK)?

Akimaliza Bi Mkubwa tunawaletea JPM mwingine… Pole pole kishatangazia Umma…
 
Sasa kama ANC walipompata De Clerk hawakuchezea bahati wakamtumia ipasavyo kwanini nyie hamkutumia vyema fursa ya De Clerk wa Tz ( JK)?

Akimaliza Bi Mkubwa tunawaletea JPM mwingine… Pole pole kishatangazia Umma…

De Clerk hakuwa na hizi hila za kiswahili. Ndio maana unaona hadi Mandela alienda akawa rais. Yule aliruhusu maridhiano ya kweli yasiyo ya hila ndani yake.
 
Sasa kama ANC walipompata De Clerk hawakuchezea bahati wakamtumia ipasavyo kwanini nyie hamkutumia vyema fursa ya De Clerk wa Tz ( JK)?

Akimaliza Bi Mkubwa tunawaletea JPM mwingine… Pole pole kishatangazia Umma…

Kwamba fursa? Kwani mkoloni mweusi ni mno kuliko hata kaburu? Kwa sasa fursa ndiyo imepotea jumla?

Makubwa.
 
De Clerk hakuwa na hizi hila za kiswahili. Ndio maana unaona hadi Mandela alienda akawa rais. Yule aliruhusu maridhiano ya kweli yasiyo ya hila ndani yake.

Mkoloni mweusi hadi sandarusi zinatuhusu.

Pathetic!
 
Huyu mhaya ni tapeli kama tapel mwingne tu

Matumbo yao ni muhimu zaidi.

1. Nov 2020 uchaguzi 2020 ulikuwa huru na wa haki.
2. Dec 2021 uchaguzi 2021 haikuwa huru wala wa haki.

Leo anamtengenezea nani nini kuhusu uchaguzi, uhuru, usawa, au haki?

Tuwakatae na kwakemea ndumila kuwili hawa.
 
Msajili wa vyama kwa cheo chake hastahili kusimamia hilo zoezi, huyo ni mteule wa mwenyekiti wa CCM na kuna uwezekano mkubwa akakibeba chama cha bosi wake.
 
Hawa wanapinga kila kitu.

Unasomeka mkuu, ila wakati mwingine si mbaya kuendelea kuwadunda na vitu vizito utosini.

Akili inaweza kuwa rejea wakazinduka.

Si unamwona huyu?

Your browser is not able to display this video.
 
Weka saini yako kudai Katiba mpya hapa
 
Umempiga na kitu kizito kichwani
 
We tikiti ndo maana Mbowe anashinikiza katiba mpya, na mmempa bogus terrorism charges, na amegoma kupiwapigia magoti,, nyie Magu aliwagusa kidogo mkamramba kende[emoji1]
 
Sasa kama ANC walipompata De Clerk hawakuchezea bahati wakamtumia ipasavyo kwanini nyie hamkutumia vyema fursa ya De Clerk wa Tz ( JK)?

Akimaliza Bi Mkubwa tunawaletea JPM mwingine… Pole pole kishatangazia Umma…
Eti mnamleta?? Nyie ndo mlipanga magu aongezewa muda lakini kilichompata mnajua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…