Mkakati Mpya wa CHADEMA wa kuifuta CCM Majimboni waanza vizuri

Mkakati Mpya wa CHADEMA wa kuifuta CCM Majimboni waanza vizuri

Yaani CHADEMA na Wananchi , ccm na viongozi , itafika wakati watahutubia watendaji tu , hawa tukichukua wananchi ni wepesi kuliko pamba .
Juzi Tanga mjini Tangasisi , mtaa wa Mwang'obe, Bashungwa na Ummy Mwalimu walikuja kuhutubia, walikuta na viongozi tu and a handful of people, literally , absolutely hapakuwa na watu "kabisa" licha ya gari kupita nyumba na nyumba kuhamasisha watu! What you are saying might be very true, but you need to do more for its perfection!
 
Nakond tayari ameisha wawahi,anatembea mbele yenu akiwafuta huko Grass-roots!
 
Ndio shida ya kutokuwa na ofisi zenu wenyewe.sasa ona namna mlivyojikunyata kwenye hilo pagala kama wahamiaji haramu. yaani mnashindwa hata kutafuta ukumbi mzuri? Ndio maana mlimuandaliaga Lissu jukwaa utafikiri kichanja cha mtama.

Hamjitambui kabisa nyie nyumbu wa CHADEMA.ndio maana mbowe anajitafunia zake Ruzuku na michango yote kama ile ya join the chain kama mchwa maana alishaona akili zenu ni kama manyumbu tu.

Ninyi hamna ubavu wa kushindana na CCM wala kujilinganisha na CCM kwa vigezo vya aina yoyote ile. CCM ipo mbele yenu kwa kila kitu.
Unapiga sana mayowe ukisikia wananchi wanaifuta ccm , hapa hatusifii mtu wala hakuna uchawa ni Wazalendo wanapambana kumuokoa mtanzania kwenye makucha ya mkoloni mweusi.
 
We
Ndio shida ya kutokuwa na ofisi zenu wenyewe.sasa ona namna mlivyojikunyata kwenye hilo pagala kama wahamiaji haramu. yaani mnashindwa hata kutafuta ukumbi mzuri? Ndio maana mlimuandaliaga Lissu jukwaa utafikiri kichanja cha mtama.

Hamjitambui kabisa nyie nyumbu wa CHADEMA.ndio maana mbowe anajitafunia zake Ruzuku na michango yote kama ile ya join the chain kama mchwa maana alishaona akili zenu ni kama manyumbu tu.

Ninyi hamna ubavu wa kushindana na CCM wala kujilinganisha na CCM kwa vigezo vya aina yoyote ile. CCM ipo mbele yenu kwa kila kitu.
Wewe kabla 1992 ulikuwepo hapa duniani,Mali nyingi zilipatikana wakati ule wa" mass party"
 
Labda kwa wale ambao hawaelewi ni hivi , Chadema sasa imeamua kuchukua wananchi wote na kubakisha viongozi pekee , yaani wananchi wote wanakuwa wanachadema halafu ccm inabaki na Viongozi tu .

DED , DC , POLIS , MAYOR , RC , MAWAZIRI , WABUNGE pamoja na familia zao , kwa hesabu hawafiki hata mil 2 , hawa wala hawana hata uwezo wa kununua shahada za kupigia kura wala kukimbia na masanduku ya kura kutokana na kuwa na visukari vilivyosababishwa na matumbo makubwa .

Yaani CHADEMA na Wananchi , ccm na viongozi , itafika wakati watahutubia watendaji tu , hawa tukichukua wananchi ni wepesi kuliko pamba .

Angalia Mkakati wa Tarime Mjini , hakuna mabomu wala nini .

View attachment 2822719View attachment 2822720View attachment 2822721
uzi umedoda
 
Ndio shida ya kutokuwa na ofisi zenu wenyewe.sasa ona namna mlivyojikunyata kwenye hilo pagala kama wahamiaji haramu. yaani mnashindwa hata kutafuta ukumbi mzuri? Ndio maana mlimuandaliaga Lissu jukwaa utafikiri kichanja cha mtama.

Hamjitambui kabisa nyie nyumbu wa CHADEMA.ndio maana mbowe anajitafunia zake Ruzuku na michango yote kama ile ya join the chain kama mchwa maana alishaona akili zenu ni kama manyumbu tu.

Ninyi hamna ubavu wa kushindana na CCM wala kujilinganisha na CCM kwa vigezo vya aina yoyote ile. CCM ipo mbele yenu kwa kila kitu.
NRM ya Museven ipo madarakani since 1987 mpaka sasa haina ofisi hata moja nchi nzima
 
Juzi Tanga mjini Tangasisi , mtaa wa Mwang'obe, Bashungwa na Ummy Mwalimu walikuja kuhutubia, walikuta na viongozi tu and a handful of people, literally , absolutely hapakuwa na watu "kabisa" licha ya gari kupita nyumba na nyumba kuhamasisha watu! What you are saying might be very true, but you need to do more for its perfection!
Asante sana
 
Ndio shida ya kutokuwa na ofisi zenu wenyewe.sasa ona namna mlivyojikunyata kwenye hilo pagala kama wahamiaji haramu. yaani mnashindwa hata kutafuta ukumbi mzuri? Ndio maana mlimuandaliaga Lissu jukwaa utafikiri kichanja cha mtama.

Hamjitambui kabisa nyie nyumbu wa CHADEMA.ndio maana mbowe anajitafunia zake Ruzuku na michango yote kama ile ya join the chain kama mchwa maana alishaona akili zenu ni kama manyumbu tu.

Ninyi hamna ubavu wa kushindana na CCM wala kujilinganisha na CCM kwa vigezo vya aina yoyote ile. CCM ipo mbele yenu kwa kila kitu.
Nyie si mnatumia tozo kujenga ofisi? Sasa wao tozo wanatoza wp?
 
Labda kwa wale ambao hawaelewi ni hivi , Chadema sasa imeamua kuchukua wananchi wote na kubakisha viongozi pekee , yaani wananchi wote wanakuwa wanachadema halafu ccm inabaki na Viongozi tu .

DED , DC , POLIS , MAYOR , RC , MAWAZIRI , WABUNGE pamoja na familia zao , kwa hesabu hawafiki hata mil 2 , hawa wala hawana hata uwezo wa kununua shahada za kupigia kura wala kukimbia na masanduku ya kura kutokana na kuwa na visukari vilivyosababishwa na matumbo makubwa .

Yaani CHADEMA na Wananchi , ccm na viongozi , itafika wakati watahutubia watendaji tu , hawa tukichukua wananchi ni wepesi kuliko pamba .

Angalia Mkakati wa Tarime Mjini , hakuna mabomu wala nini .

View attachment 2822719View attachment 2822720View attachment 2822721
Ahsante kwa taarrifa.
 
Labda kwa wale ambao hawaelewi ni hivi , Chadema sasa imeamua kuchukua wananchi wote na kubakisha viongozi pekee , yaani wananchi wote wanakuwa wanachadema halafu ccm inabaki na Viongozi tu .

DED , DC , POLIS , MAYOR , RC , MAWAZIRI , WABUNGE pamoja na familia zao , kwa hesabu hawafiki hata mil 2 , hawa wala hawana hata uwezo wa kununua shahada za kupigia kura wala kukimbia na masanduku ya kura kutokana na kuwa na visukari vilivyosababishwa na matumbo makubwa .

Yaani CHADEMA na Wananchi , ccm na viongozi , itafika wakati watahutubia watendaji tu , hawa tukichukua wananchi ni wepesi kuliko pamba .

Angalia Mkakati wa Tarime Mjini , hakuna mabomu wala nini .

View attachment 2822719View attachment 2822720View attachment 2822721

🤣🤣🤣🤣🤣
 
Chadema si mmesema hamtashiriki uchaguzi bila tume huru na Katiba mpya,?

Huyo mkakati utafanikiwa kweli,?
 
Back
Top Bottom