Nafasi za Ubunge wa kuteuliwa na Raisi kwa upande wa wanaume zimeisha na kama anataka kumpa nafasi ya Waziri Mkuu lazima awe Mbunge wa kuchaguliwaAna hitaji kugombea?? Kabudi ni mbunge wa jimbo gani?? Story ya kufikirika hii.... Ampe tu
Kumbe ndio maana maalim seif kacheka saaaaana!Wakuu hii imepatikana mahali katika mawasiliano ya vigogo wawili. Ni kuwa jimbo la kinondoni lilikuwa limetengwa kabisa ili aje kugombea Paulo M katika mkakati wa kuja kupata uwaziri wa wizara muhimu.
Mkakati huo uliundwa na ukamshawishi aliyekuwa Mbunge aliyekuwepo na akakubali.
Sasa wakati wa kuanza kuandaa jinsi ya kuja kumuweka Paulo ndio wajuzi wa mambo wakawakumbusha kuwa kutakuwa na tatizo kubwa sana kwani lile pingamizi la jina lake lazima litawekwa na kwa vile hapo hata NEC ikimbeba uwezekano wa kwenda mahakama ya wazi ni mkubwa na watapoteza kila kitu.
Mzee kataarifiwa na kachukia sana, na sio ajabu kuna watu wakatumbuliwa kwa nini hawakuliona hilo kabla ya kuingia hasara ya manunuzi ya mtulila?
Mission Imebuma na huko ndani ni mtifuano. Stay tuned kwa habari zaidi.
Watagombea wenyewe na vyama vya msimu tlp na cuf lipumba,awamu wa phd hewaKwani lumumba toka lini wakawa na akili zaidi ya ubongo wa panzi,unahonga ili kurudia uchaguzi kwa mabillioni hku mshindi akiwa anajulikana,upinzani usipeleke mgombea wagombee ccm na vyama vya msimu
Wakuu hii imepatikana mahali katika mawasiliano ya vigogo wawili. Ni kuwa jimbo la kinondoni lilikuwa limetengwa kabisa ili aje kugombea Paulo M katika mkakati wa kuja kupata uwaziri wa wizara muhimu.
Mkakati huo uliundwa na ukamshawishi aliyekuwa Mbunge aliyekuwepo na akakubali.
Sasa wakati wa kuanza kuandaa jinsi ya kuja kumuweka Paulo ndio wajuzi wa mambo wakawakumbusha kuwa kutakuwa na tatizo kubwa sana kwani lile pingamizi la jina lake lazima litawekwa na kwa vile hapo hata NEC ikimbeba uwezekano wa kwenda mahakama ya wazi ni mkubwa na watapoteza kila kitu.
Mzee kataarifiwa na kachukia sana, na sio ajabu kuna watu wakatumbuliwa kwa nini hawakuliona hilo kabla ya kuingia hasara ya manunuzi ya mtulila?
Mission Imebuma na huko ndani ni mtifuano. Stay tuned kwa habari zaidi.
Umesoma michango ya wengine lakini? Atagombea kwa jina gani? Maana tatizo lazima ugombee kwa jina lako halisi hata kama ni darasa LA sabaHakuna Qualification ya vyeti kwenye nafasi ya ubunge
pili NEC ina mfumo wake wa rufaa usioihusisha mahakama
Naam Lakin watu ni pasua kichwa hawataki kulielewa hili.Wateule wa rais hawahitaji kuhakikiwa vyeti vyao, Paul Makonda kweli kawashika nyeti
Sawa. Ingawa umekwepa swali! Unaweza kulijibu tafadhali?no napinga illogical thread
kwa nn ahangaike kote huko kama ni kipenzi ha JPM
hata akienda mahakamani, mahakama si ni za ccm?
ndio naona ni uzushi
infact hata akisimama, yule ni unstoppable
mbona mmeshindwa kuondoa ujinga na umasikini, nini kimewazuia.Hivi CCM tukitaka kitu,kuna mtu wa kutuzuia?
Kuna mahakama ya kumzuia CCM Tanzania hii?
We jidanganye tu.
sina uwezo wa kujibu mkuuSawa. Ingawa umekwepa swali! Unaweza kulijibu tafadhali?
Sasa mtu aliyefeli darasa la 4 mnategemea atafikaje la saba jamani ?Vyeti ni tatizo hata cha la saba hana
Baada ya kuliiba au ? Hivi kuna mahakama ya kutakatisha majina kweli ?Acha ujinga jina unaweza kuapa mahakamani na likiwa lako
ccm nguvu kubwa akili kiduchu.bashite ni janga la taifaWakuu hii imepatikana mahali katika mawasiliano ya vigogo wawili. Ni kuwa jimbo la Kinondoni lilikuwa limetengwa kabisa ili aje kugombea Paulo M katika mkakati wa kuja kupata uwaziri wa wizara muhimu.
Mkakati huo uliundwa na ukamshawishi aliyekuwa Mbunge aliyekuwepo na akakubali.
Sasa wakati wa kuanza kuandaa jinsi ya kuja kumuweka Paulo ndio wajuzi wa mambo wakawakumbusha kuwa kutakuwa na tatizo kubwa sana kwani lile pingamizi la jina lake lazima litawekwa na kwa vile hapo hata NEC ikimbeba uwezekano wa kwenda mahakama ya wazi ni mkubwa na watapoteza kila kitu.
Mzee kataarifiwa na kachukia sana, na sio ajabu kuna watu wakatumbuliwa kwa nini hawakuliona hilo kabla ya kuingia hasara ya manunuzi ya mtulila?
Mission Imebuma na huko ndani ni mtifuano. Stay tuned kwa habari zaidi.
Plan ni 2020Mwiguru ana tabu sana.....manake kiti kinamendewa.