Tetesi: Mkakati wa kumsimamisha Paulo Kinondoni wabuma, hofu ni pingamizi la jina mahakamani

Tetesi: Mkakati wa kumsimamisha Paulo Kinondoni wabuma, hofu ni pingamizi la jina mahakamani

Wakuu hii imepatikana mahali katika mawasiliano ya vigogo wawili. Ni kuwa jimbo la kinondoni lilikuwa limetengwa kabisa ili aje kugombea Paulo M katika mkakati wa kuja kupata uwaziri wa wizara muhimu.
Mkakati huo uliundwa na ukamshawishi aliyekuwa Mbunge aliyekuwepo na akakubali.
Sasa wakati wa kuanza kuandaa jinsi ya kuja kumuweka Paulo ndio wajuzi wa mambo wakawakumbusha kuwa kutakuwa na tatizo kubwa sana kwani lile pingamizi la jina lake lazima litawekwa na kwa vile hapo hata NEC ikimbeba uwezekano wa kwenda mahakama ya wazi ni mkubwa na watapoteza kila kitu.
Mzee kataarifiwa na kachukia sana, na sio ajabu kuna watu wakatumbuliwa kwa nini hawakuliona hilo kabla ya kuingia hasara ya manunuzi ya mtulila?
Mission Imebuma na huko ndani ni mtifuano. Stay tuned kwa habari zaidi.
Kumbe ndio maana maalim seif kacheka saaaaana!
 
Kwani lumumba toka lini wakawa na akili zaidi ya ubongo wa panzi,unahonga ili kurudia uchaguzi kwa mabillioni hku mshindi akiwa anajulikana,upinzani usipeleke mgombea wagombee ccm na vyama vya msimu
Watagombea wenyewe na vyama vya msimu tlp na cuf lipumba,awamu wa phd hewa
 
Wakuu hii imepatikana mahali katika mawasiliano ya vigogo wawili. Ni kuwa jimbo la kinondoni lilikuwa limetengwa kabisa ili aje kugombea Paulo M katika mkakati wa kuja kupata uwaziri wa wizara muhimu.
Mkakati huo uliundwa na ukamshawishi aliyekuwa Mbunge aliyekuwepo na akakubali.
Sasa wakati wa kuanza kuandaa jinsi ya kuja kumuweka Paulo ndio wajuzi wa mambo wakawakumbusha kuwa kutakuwa na tatizo kubwa sana kwani lile pingamizi la jina lake lazima litawekwa na kwa vile hapo hata NEC ikimbeba uwezekano wa kwenda mahakama ya wazi ni mkubwa na watapoteza kila kitu.
Mzee kataarifiwa na kachukia sana, na sio ajabu kuna watu wakatumbuliwa kwa nini hawakuliona hilo kabla ya kuingia hasara ya manunuzi ya mtulila?
Mission Imebuma na huko ndani ni mtifuano. Stay tuned kwa habari zaidi.

Hakuna Qualification ya vyeti kwenye nafasi ya ubunge
pili NEC ina mfumo wake wa rufaa usioihusisha mahakama
 
Hakuna Qualification ya vyeti kwenye nafasi ya ubunge
pili NEC ina mfumo wake wa rufaa usioihusisha mahakama
Umesoma michango ya wengine lakini? Atagombea kwa jina gani? Maana tatizo lazima ugombee kwa jina lako halisi hata kama ni darasa LA saba
 
Na akipewa uwaziri mkuu ujue na maswali ya papo kwa papo kwa waziri mkuu bungeni lazima yatafutwa .
 
no napinga illogical thread

kwa nn ahangaike kote huko kama ni kipenzi ha JPM

hata akienda mahakamani, mahakama si ni za ccm?

ndio naona ni uzushi

infact hata akisimama, yule ni unstoppable
Sawa. Ingawa umekwepa swali! Unaweza kulijibu tafadhali?
 
Na akipewa uwaziri mkuu ujue na maswali ya papo kwa papo kwa waziri mkuu bungeni lazima yatafutwa .
Na atakuwa PM wa kwanza kuchaguliwa akiwa na mizengwe kibao, hana heshima na muhuni
 
Hivi CCM tukitaka kitu,kuna mtu wa kutuzuia?

Kuna mahakama ya kumzuia CCM Tanzania hii?

We jidanganye tu.
mbona mmeshindwa kuondoa ujinga na umasikini, nini kimewazuia.

mnapeda sofa za kijinga!
 
TRA wawe na EFD kwy haya manunuzi sasa. Tunapoteza kodi nyingi kwenye hii miamala
 
Acha ujinga jina unaweza kuapa mahakamani na likiwa lako
 
Wakuu hii imepatikana mahali katika mawasiliano ya vigogo wawili. Ni kuwa jimbo la Kinondoni lilikuwa limetengwa kabisa ili aje kugombea Paulo M katika mkakati wa kuja kupata uwaziri wa wizara muhimu.

Mkakati huo uliundwa na ukamshawishi aliyekuwa Mbunge aliyekuwepo na akakubali.
Sasa wakati wa kuanza kuandaa jinsi ya kuja kumuweka Paulo ndio wajuzi wa mambo wakawakumbusha kuwa kutakuwa na tatizo kubwa sana kwani lile pingamizi la jina lake lazima litawekwa na kwa vile hapo hata NEC ikimbeba uwezekano wa kwenda mahakama ya wazi ni mkubwa na watapoteza kila kitu.

Mzee kataarifiwa na kachukia sana, na sio ajabu kuna watu wakatumbuliwa kwa nini hawakuliona hilo kabla ya kuingia hasara ya manunuzi ya mtulila?

Mission Imebuma na huko ndani ni mtifuano. Stay tuned kwa habari zaidi.
ccm nguvu kubwa akili kiduchu.bashite ni janga la taifa
 
Acha ujinga jina unaweza kuapa mahakamani na likiwa lako
Kwa hiyo wewe unaweza kwenda kuapa kuwa unaitwa John Komba Leo na ukawa na haki za JohnKomba za mwaka 2012?
Usiendekeze ujinga kiasi hicho
 
Back
Top Bottom