mwayungi
JF-Expert Member
- May 9, 2017
- 1,814
- 3,079
Kwa hiyo mkuu rafiki yako madelu ataachishwa hiyo wizara ili apewe bashiteKosa ni nini? Ndio utamaduni wetu kuwa ukipata habari washirikishe na wenzako JF
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo mkuu rafiki yako madelu ataachishwa hiyo wizara ili apewe bashiteKosa ni nini? Ndio utamaduni wetu kuwa ukipata habari washirikishe na wenzako JF
Hahahahahaha Bavicha bana, hizo serekasi zenu kamwe hazitawapeleka kokote..Wakuu hii imepatikana mahali katika mawasiliano ya vigogo wawili. Ni kuwa jimbo la kinondoni lilikuwa limetengwa kabisa ili aje kugombea Paulo M katika mkakati wa kuja kupata uwaziri wa wizara muhimu.
Mkakati huo uliundwa na ukamshawishi aliyekuwa Mbunge aliyekuwepo na akakubali.
Sasa wakati wa kuanza kuandaa jinsi ya kuja kumuweka Paulo ndio wajuzi wa mambo wakawakumbusha kuwa kutakuwa na tatizo kubwa sana kwani lile pingamizi la jina lake lazima litawekwa na kwa vile hapo hata NEC ikimbeba uwezekano wa kwenda mahakama ya wazi ni mkubwa na watapoteza kila kitu.
Mzee kataarifiwa na kachukia sana, na sio ajabu kuna watu wakatumbuliwa kwa nini hawakuliona hilo kabla ya kuingia hasara ya manunuzi ya mtulila?
Mission Imebuma na huko ndani ni mtifuano. Stay tuned kwa habari zaidi.
Hiyo ndiyo nafasi anayostahili jembeSidhani kama wanaweza fanya makosa Kama hayo...
Kiufupi magu kamchoka Majaliwa, Bashite atachukua nafasi yakr
Uwaziri mkuu ndio unamfaaBashite wanataka wampe wizara ya mambo ya ndani
Hahahaaaa,,,,,,,nawaza kwa sauti waziri mkuu aliyefoji vyetiUwaziri mkuu ndio unamfaa
Magu akipanga hakuna wa kupangua.
Hata hapo mahakamani itapanguliwa.
Anayembeba ndiye aliyetakiwa kulalamika kuwa habebekiKatika vitu ambavyo vinamshushia hadhi na heshima aliyojijengea jpm katika wizara mbalimbali kabla ya kuwa rais ni kuendelea kumbeba mgongoni bashite angali anayembeba habebeki
Jpm anatakiwa aangalie sana jinsi sifa yake inavyozidi kushuka kutokana na maovu ya bashite
Rubbish rubbish, you are dreaming rubbish,Wakuu hii imepatikana mahali katika mawasiliano ya vigogo wawili. Ni kuwa jimbo la kinondoni lilikuwa limetengwa kabisa ili aje kugombea Paulo M katika mkakati wa kuja kupata uwaziri wa wizara muhimu.
Mkakati huo uliundwa na ukamshawishi aliyekuwa Mbunge aliyekuwepo na akakubali.
Sasa wakati wa kuanza kuandaa jinsi ya kuja kumuweka Paulo ndio wajuzi wa mambo wakawakumbusha kuwa kutakuwa na tatizo kubwa sana kwani lile pingamizi la jina lake lazima litawekwa na kwa vile hapo hata NEC ikimbeba uwezekano wa kwenda mahakama ya wazi ni mkubwa na watapoteza kila kitu.
Mzee kataarifiwa na kachukia sana, na sio ajabu kuna watu wakatumbuliwa kwa nini hawakuliona hilo kabla ya kuingia hasara ya manunuzi ya mtulila?
Mission Imebuma na huko ndani ni mtifuano. Stay tuned kwa habari zaidi.
Kwani jamani tatizo hajasoma au jina sio lake?maana hata sielewi.Teh teh teh ukisoma raha tupu ukiambiwa toa cheti tu aaaaaaaaaahhh! mara Paaap! lakini kwa Bashite unaanza kupiga yowee babaaa weeee nafwa
Chakaza ni kwanini mnapenda kujidanganya hivyo na baadae kuja kuanza kulalama?
Nani aliwaambia hao mabwana wanaziheshimu mahakama?
Kama ni kuwekwa atawekwa tu na atazawadiwa ubunge hata kama atapata kura tatu(3) dhidi ya kura 10000
Endeleeni kujifariji tu, hamjaelewa au mnaelewa ila mnakataa kuelewa!
Usihofu utawekwa wewe Kamanda. Ila poleni sana kwa msiba mzito wa Kamanda MbwaWakuu hii imepatikana mahali katika mawasiliano ya vigogo wawili. Ni kuwa jimbo la kinondoni lilikuwa limetengwa kabisa ili aje kugombea Paulo M katika mkakati wa kuja kupata uwaziri wa wizara muhimu.
Mkakati huo uliundwa na ukamshawishi aliyekuwa Mbunge aliyekuwepo na akakubali.
Sasa wakati wa kuanza kuandaa jinsi ya kuja kumuweka Paulo ndio wajuzi wa mambo wakawakumbusha kuwa kutakuwa na tatizo kubwa sana kwani lile pingamizi la jina lake lazima litawekwa na kwa vile hapo hata NEC ikimbeba uwezekano wa kwenda mahakama ya wazi ni mkubwa na watapoteza kila kitu.
Mzee kataarifiwa na kachukia sana, na sio ajabu kuna watu wakatumbuliwa kwa nini hawakuliona hilo kabla ya kuingia hasara ya manunuzi ya mtulila?
Mission Imebuma na huko ndani ni mtifuano. Stay tuned kwa habari zaidi.
Habari za msiba Kamanda? Rambirambi Nani anapokea?Wamekosa maarifa
Mbona hukutushirikisha habari za mazishi ya Kamanda Mbwa?Kosa ni nini? Ndio utamaduni wetu kuwa ukipata habari washirikishe na wenzako JF