Tetesi: Mkakati wa kumsimamisha Paulo Kinondoni wabuma, hofu ni pingamizi la jina mahakamani

Tetesi: Mkakati wa kumsimamisha Paulo Kinondoni wabuma, hofu ni pingamizi la jina mahakamani

Hata kama hawaiheshimu mahakama, lakini tukio hilo litaleta picha mbaya ambayo haitafutika. Hata hivyo na wenyewe wamegundua kuwa hizi kelele za wao kutoheshimu mahakama zimeshavuka mipaka ya nchi na huko nje ambako ndio bakuli letu la ombaomba linatembea wameanza kuchoshwa na malalamiko haya.
Nikuulize, umeona wakijali?

Mahakama imeamua nini kesi ya wale wabunge wa viti maalumu CUF waliofukuzwa na kupoteza ubunge wao? Nini kimefanyika hata sasa?
 
Naona makonda anasoma taratbu hizi comment haf ana I.d zaid ya moja makonda usntafute baba bado nategemewa
 
Ebu muandika manda hii funguka usitumia confindational je una maanisha Mbunge aliekuwepo kujihudhulu kwake imetumika pesa au mapesa kumshawishi eleweka usitumie mafumbo Huyo Mzee unaemsema ninani?Kama kuna evidence-based unaweza kuisaidia TAKUKURU kulithibisha Hilo ?kama Nikweli hizi sio Siasa ni tamaa na uchafu ndani ya Siasa ,Mimi siliamini mwenye Maelezo yasio tia shaka athibitishie Watu wa Kinondoni na Watanzania kwa ujumla Nakama ni uzushi Vyombo vya Dola fanyeni Kazi yenu
 
Ebu muandika manda hii funguka usitumia confindational je una maanisha Mbunge aliekuwepo kujihudhulu kwake imetumika pesa au mapesa kumshawishi eleweka usitumie mafumbo Huyo Mzee unaemsema ninani?Kama kuna evidence-based unaweza kuisaidia TAKUKURU kulithibisha Hilo ?kama Nikweli hizi sio Siasa ni tamaa na uchafu ndani ya Siasa ,Mimi siliamini mwenye Maelezo yasio tia shaka athibitishie Watu wa Kinondoni na Watanzania kwa ujumla Nakama ni uzushi Vyombo vya Dola fanyeni Kazi yenu
Kama ushahidi wa kule Arusha na Arumeru umewekwa kapuni itakuwa huu wa Kinondoni?
 
Kule arusha walikili kuwanunua mkaishia kuwapandisha vyeo, au mnataka mfanye hivyo hivyo.
 
Wakuu hii imepatikana mahali katika mawasiliano ya vigogo wawili. Ni kuwa jimbo la kinondoni lilikuwa limetengwa kabisa ili aje kugombea Paulo M katika mkakati wa kuja kupata uwaziri wa wizara muhimu.
Mkakati huo uliundwa na ukamshawishi aliyekuwa Mbunge aliyekuwepo na akakubali.
Sasa wakati wa kuanza kuandaa jinsi ya kuja kumuweka Paulo ndio wajuzi wa mambo wakawakumbusha kuwa kutakuwa na tatizo kubwa sana kwani lile pingamizi la jina lake lazima litawekwa na kwa vile hapo hata NEC ikimbeba uwezekano wa kwenda mahakama ya wazi ni mkubwa na watapoteza kila kitu.
Mzee kataarifiwa na kachukia sana, na sio ajabu kuna watu wakatumbuliwa kwa nini hawakuliona hilo kabla ya kuingia hasara ya manunuzi ya mtulila?
Mission Imebuma na huko ndani ni mtifuano. Stay tuned kwa habari zaidi.
CHADEMA lini mtaacha Michezo hii ya kitoto?
Utata wa jina la Paul Makonda mmeshindwa hata kwenda mahakamani, zaidi ya kutumia pesa nyingi kulipa mamluki mitandaoni. mmepiga kelele nyingi hadi mnatia huruma. Kama issue ya kufoji cheti Kama mnavyosema imewashinda kipi mtaweza? Serikali ya JPM sasa hivi inapiga kazi tuu ngonjera za utabiri Kama huu wamewaachia nyie wanasiasa uchwara, mnaofikiri siasa inaendeshwa kwa udaku na umbeya!
Hivi CCM wakiamua kulipa mamluki wa kupiga longolongo mitandaoni Kama nyie hamuoni ndiyo itakuwa kiama chenu? Ukizingatia makubwa waliyonayo ya kuwanadi bila mipaka!
 
CHADEMA lini mtaacha Michezo hii ya kitoto?
Utata wa jina la Paul Makonda mmeshindwa hata kwenda mahakamani, zaidi ya kutumia pesa nyingi kulipa mamluki mitandaoni. mmepiga kelele nyingi hadi mnatia huruma. Kama issue ya kufoji cheti Kama mnavyosema imewashinda kipi mtaweza? Serikali ya JPM sasa hivi inapiga kazi tuu ngonjera za utabiri Kama huu wamewaachia nyie wanasiasa uchwara, mnaofikiri siasa inaendeshwa kwa udaku na umbeya!
Hivi CCM wakiamua kulipa mamluki wa kupiga longolongo mitandaoni Kama nyie hamuoni ndiyo itakuwa kiama chenu? Ukizingatia makubwa waliyonayo ya kuwanadi bila mipaka!

images (3).jpg
Povu la nini? alipoambiwa atoe cheti kwa nini alimwaga chozi kanisani?
 
Wakuu hii imepatikana mahali katika mawasiliano ya vigogo wawili. Ni kuwa jimbo la kinondoni lilikuwa limetengwa kabisa ili aje kugombea Paulo M katika mkakati wa kuja kupata uwaziri wa wizara muhimu.
Mkakati huo uliundwa na ukamshawishi aliyekuwa Mbunge aliyekuwepo na akakubali.
Sasa wakati wa kuanza kuandaa jinsi ya kuja kumuweka Paulo ndio wajuzi wa mambo wakawakumbusha kuwa kutakuwa na tatizo kubwa sana kwani lile pingamizi la jina lake lazima litawekwa na kwa vile hapo hata NEC ikimbeba uwezekano wa kwenda mahakama ya wazi ni mkubwa na watapoteza kila kitu.
Mzee kataarifiwa na kachukia sana, na sio ajabu kuna watu wakatumbuliwa kwa nini hawakuliona hilo kabla ya kuingia hasara ya manunuzi ya mtulila?
Mission Imebuma na huko ndani ni mtifuano. Stay tuned kwa habari zaidi.
Mmh ka kuna ukweli katika hili ni noumaa
 
Back
Top Bottom