Tetesi: Mkakati wa kumsimamisha Paulo Kinondoni wabuma, hofu ni pingamizi la jina mahakamani

Tetesi: Mkakati wa kumsimamisha Paulo Kinondoni wabuma, hofu ni pingamizi la jina mahakamani

Wakuu hii imepatikana mahali katika mawasiliano ya vigogo wawili. Ni kuwa jimbo la Kinondoni lilikuwa limetengwa kabisa ili aje kugombea Paulo M katika mkakati wa kuja kupata uwaziri wa wizara muhimu.

Mkakati huo uliundwa na ukamshawishi aliyekuwa Mbunge aliyekuwepo na akakubali.
Sasa wakati wa kuanza kuandaa jinsi ya kuja kumuweka Paulo ndio wajuzi wa mambo wakawakumbusha kuwa kutakuwa na tatizo kubwa sana kwani lile pingamizi la jina lake lazima litawekwa na kwa vile hapo hata NEC ikimbeba uwezekano wa kwenda mahakama ya wazi ni mkubwa na watapoteza kila kitu.

Mzee kataarifiwa na kachukia sana, na sio ajabu kuna watu wakatumbuliwa kwa nini hawakuliona hilo kabla ya kuingia hasara ya manunuzi ya mtulila?

Mission Imebuma na huko ndani ni mtifuano. Stay tuned kwa habari zaidi.
Mtulila ndo nani?kajipange upya ndo urudi
 
Wakuu hii imepatikana mahali katika mawasiliano ya vigogo wawili. Ni kuwa jimbo la Kinondoni lilikuwa limetengwa kabisa ili aje kugombea Paulo M katika mkakati wa kuja kupata uwaziri wa wizara muhimu.

Mkakati huo uliundwa na ukamshawishi aliyekuwa Mbunge aliyekuwepo na akakubali.
Sasa wakati wa kuanza kuandaa jinsi ya kuja kumuweka Paulo ndio wajuzi wa mambo wakawakumbusha kuwa kutakuwa na tatizo kubwa sana kwani lile pingamizi la jina lake lazima litawekwa na kwa vile hapo hata NEC ikimbeba uwezekano wa kwenda mahakama ya wazi ni mkubwa na watapoteza kila kitu.

Mzee kataarifiwa na kachukia sana, na sio ajabu kuna watu wakatumbuliwa kwa nini hawakuliona hilo kabla ya kuingia hasara ya manunuzi ya mtulila?

Mission Imebuma na huko ndani ni mtifuano. Stay tuned kwa habari zaidi.
IMG-20171202-WA0011.jpg

Porojo za bavicha ni kibokoo !
 
Hakuna Qualification ya vyeti kwenye nafasi ya ubunge
pili NEC ina mfumo wake wa rufaa usioihusisha mahakama
Hapa hatuzungumzii vyeti mkuu, tunazungumzia jina. Dogo hatumii majina yake halisi. Anaitwa Daudi Albert Bashite.
 
Ebu muandika manda hii funguka usitumia confindational je una maanisha Mbunge aliekuwepo kujihudhulu kwake imetumika pesa au mapesa kumshawishi eleweka usitumie mafumbo Huyo Mzee unaemsema ninani?Kama kuna evidence-based unaweza kuisaidia TAKUKURU kulithibisha Hilo ?kama Nikweli hizi sio Siasa ni tamaa na uchafu ndani ya Siasa ,Mimi siliamini mwenye Maelezo yasio tia shaka athibitishie Watu wa Kinondoni na Watanzania kwa ujumla Nakama ni uzushi Vyombo vya Dola fanyeni Kazi yenu
TAKUKURU ndo nini? Wameshindwa la Arusha itakuwa hili?
 
Bashite ni mtu wa kumuamin umuweke kwenye nafas kama hyo kwel?? Ccm angalieni na watu bhana
 
Wamuweke tu hivyo hivyo ,kwani jamaa akiamua nani atapinga?
 
ONGEZA KACHUMVI NA KAPILILI, BADO WABUNGE WATATU KATIBU MKUU MMOJA VITI MAALUM WANNE, MADIWANI SABA, KWAHIYO HIYO ENDELEENI KUVUTA SUBIRA MSIWE NA HARAKA. NA HAO VIGOGO WAAMBIE WAFANYE KAZI NCHI HAINA VIGOGO KWA SASA, YUPO MMOJA TU NA ANAISHI MAGOGONI.
 
Sidhani kama wanaweza fanya makosa Kama hayo...
Kiufupi magu kamchoka Majaliwa, Bashite atachukua nafasi yakr
Eeeenh,na BUNGE litampitisha?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mbona nyie hamnunui na babu yenu ana hela za pensheni au kazi kuhonga mkutane kia[emoji83][emoji83][emoji83]
 
Back
Top Bottom