MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Wakuu,
Kama ni mtu wa burudani utakuwa unamjua DJ PQ, kijana mbunifu na mwanzilishi wa chuo cha kwanza cha kujifunza udj Tanzania.
Binafsi nimemfahamu kitambo lakini kabla hajawa maarufu niliona kipaji na uwezo wake usio wa kawaida. Mpaka sasa amekuwa moja ya Djs bora Tanzania.
Tonight wale wapenzi na wakali wa muziki wa 90s DJ PQ atakuwepo club Legends Namanga sambamba na madj wakali wengine wa zamani. Usikose kuhakikisha nilichosema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni mtu wa burudani utakuwa unamjua DJ PQ, kijana mbunifu na mwanzilishi wa chuo cha kwanza cha kujifunza udj Tanzania.
Binafsi nimemfahamu kitambo lakini kabla hajawa maarufu niliona kipaji na uwezo wake usio wa kawaida. Mpaka sasa amekuwa moja ya Djs bora Tanzania.
Tonight wale wapenzi na wakali wa muziki wa 90s DJ PQ atakuwepo club Legends Namanga sambamba na madj wakali wengine wa zamani. Usikose kuhakikisha nilichosema.
Sent using Jamii Forums mobile app