Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
I see!Sana tu.
Huyo Beenie Man unayemuona kwenye hiyo picha (aliyeshiriki huo wimbo) nimemleta Tanzania. Kwenye team ya watu waliomleta Tanzania nilikuwapo.
Mmoja wa vinara kwenye hiyo team alikuwa Rodney Mutie Mengi, RIP. Aliongoza upande wa East Africa FM/ ITV.I see!
Mlikuwa na akina nani mkuu mlioshirikiana kumleta?
I see.Mmoja wa vinara kwenye hiyo team alikuwa Rodney Mutie Mengi, RIP. Aliongoza upande wa East Africa FM/ ITV.
Huni kweli kweli hilo jamaaLips zimekolea moshi......
Huyo richiespice ni moto mwingine, hua na mfananisha na konshens, christ Martin naona
Kuna kichwa kinaitwa romain virgo,ioctane,tairus railey,denque,sherieta wamoto sana kwenye hilo game....mimi 99% mziki wangu ni dancehallHuyo richiespice ni moto mwingine, hua na mfananisha na konshens, christ Martin naona kapoa
Nyingi sanaAdidja Palmer, maarufu kama "Vybz Kartel," alihukumiwa kifungo cha maisha Machi 13, 2014, baada ya kupatikana na hatia ya mauaji ya Clive "Lizard" Williams pamoja na wenzake watatu, Shawn, Andre St. John, na Kahira.
Aidha, Mahakama ya Rufaa ya Jamaica imeamua kutokusikiliza tena kesi hiyo kutokana na hali mbaya ya kiafya ya Vybz Kartel, anayesumbuliwa na ugonjwa wa "Graves Diseases".
Licha ya kuwa jela, Vybz Kartel aliendelea na kazi zake za muziki ambapo mwaka 2016 alitoa wimbo wake wa "Fever" ambao una (views) milioni 62 YouTube.
Ni nyimbo gani ya mkali huyu unaikubali sana?
Bila kusahau anajiita Addi,"World Boss" ni jina lingine la Vybz Kartel. Washabiki wake wamefurahi amekuwa huru sasa.
Gaza ni msemo wake wa kuonesha resiklency, wao ni "Team Gaza". Kwa hiyo ukisema "A Gaza me seh" ni kama unajitambukisha kuwa una i support team Gaza.
View: https://youtu.be/2KZriDkYqO8?si=mc3tVjAM-Dq5SWn3
Portsmouth Kingston, Addi innocent, Gaza family, Popcaan, Tommy Lee, Shwan steam, Russian,... Kumbuka enzi za biff LA Gully vs Gaza... Huku Gully God Mavado kule Teacher.... Nadhani hata harmonize kaiba jina la teacher hapo... Maana jamaa sio Jay z, Beyonce, Busta, Burnaboy, Wizkid, Drake na mastaa wako huchukua maufundi hapo...let me face breach but mi dick still darker.... Cakesoap shit... We acha tu...Mmoja wa vinara kwenye hiyo team alikuwa Rodney Mutie Mengi, RIP. Aliongoza upande wa East Africa FM/ ITV.
Huyu ndio vybz kartel sas sio huyo alietoka.. wamèfanya alichofanywa nelson Mandela
Bro alietoka sio yeyeHuyu ndio vybz kartel sas sio huyo alietoka.. wamèfanya alichofanywa nelson Mandela
Mkuu dancehall ni zaidi ya music kuna majamaa yanapiga ngomaK
Kuna kichwa kinaitwa romain virgo,ioctane,tairus railey,denque,sherieta wamoto sana kwenye hilo game....mimi 99% mziki wangu ni dancehall
Richie spice mzee wa nanananana yeee. nipo nasikiliza goma lake Marijuana pon da corner.Kiongozi wa magenge ya wauza ngada jamaica.....aliwaacha chipukizi kwenye game ambao sasa ni hatari wa dancehall kuna General degree,Javada,richiespice,chris martin...wanadafa sherieta,denyque
Picha yakeAdidja Palmer, maarufu kama "Vybz Kartel," alihukumiwa kifungo cha maisha Machi 13, 2014, baada ya kupatikana na hatia ya mauaji ya Clive "Lizard" Williams pamoja na wenzake watatu, Shawn, Andre St. John, na Kahira.
Aidha, Mahakama ya Rufaa ya Jamaica imeamua kutokusikiliza tena kesi hiyo kutokana na hali mbaya ya kiafya ya Vybz Kartel, anayesumbuliwa na ugonjwa wa "Graves Diseases".
Licha ya kuwa jela, Vybz Kartel aliendelea na kazi zake za muziki ambapo mwaka 2016 alitoa wimbo wake wa "Fever" ambao una (views) milioni 62 YouTube.
Ni nyimbo gani ya mkali huyu unaikubali sana?