Mkali wa Hollywood Terrence J kutua jumamosi tar 12/7

Mkali wa Hollywood Terrence J kutua jumamosi tar 12/7

Mona sijawah kumsikia akiongea kiinglishiiii

Monalisa na mama yake kwa lugha ni nyoko wale, ndo maana marehemu kanumba alikuwa akiwatumia kipindi kile wa nigeria walivyokuja kuigiza movie, monalisa level nyingine yule sio lugha tu ata kuigiza, bongo hakuna anayempata. Wema mbona mchumba tu. Monalisa hanaga mashauzi ya kipuuzi yule
 
Mona sijawah kumsikia akiongea kiinglishiiii

wema yuko vizuri kwenye lugha ya malkia amemsaidia hata diamond naye anafanyiwa interview mpaka bet. achaneni na sanaa za ras simba na formula zake za t+e+s.
 
wema yuko vizuri kwenye lugha ya malkia amemsaidia hata diamond naye anafanyiwa interview mpaka bet. achaneni na sanaa za ras simba na formula zake za t+e+s.

Wema yuko vizuri.........kwenye kiingereza

the same kwa Monalisa
 
Monalisa na mama yake kwa lugha ni nyoko wale, ndo maana marehemu kanumba alikuwa akiwatumia kipindi kile wa nigeria walivyokuja kuigiza movie, monalisa level nyingine yule sio lugha tu ata kuigiza, bongo hakuna anayempata. Wema mbona mchumba tu. Monalisa hanaga mashauzi ya kipuuzi yule

mona lugha anaiweza yule mi namkubali sana na hana mbwembwe za kipuuzi puuzi na hachuji
 
Wema yuko vizuri.........kwenye kiingereza

the same kwa Monalisa

Monalisa na Mama yake ni wabaya sana kwa lugha wale, napenda sana kiingereza cha monalisa anaongea kwa ufasaha zaidi na hana mashauzo akiongea, wema akiongea lugha yani kama anajisikia fulan ivi wakat ni lugha tu
 
wema yuko vizuri kwenye lugha ya malkia amemsaidia hata diamond naye anafanyiwa interview mpaka bet. achaneni na sanaa za ras simba na formula zake za t+e+s.

ahaaa mkuu Matola kwa hiyo kiingerza cha wema ni matunda ya formula za ttets za ras Simba?
hahaha hatareeee sana
 
Last edited by a moderator:
ahaaa mkuu Matola kwa hiyo kiingerza cha wema ni matunda ya formula za ttets za ras Simba?
hahaha hatareeee sana

huyo ras simba nasikiaga tu tangazo lake tedioni eti ana formula yake na akikufundisha kingereza wiki 3 kama hujaelewa unarudishiwa ada yako, yaani nchi hii imejaa matepeli!!
 
Last edited by a moderator:
huyo ras simba nasikiaga tu tangazo lake tedioni eti ana formula yake na akikufundisha kingereza wiki 3 kama hujaelewa unarudishiwa ada yako, yaani nchi hii imejaa matepeli!!

Kwa maelezo hayo ana maana yeye ni zaidi ya british council hahahaaaa haaaa Tanzania nakupenda!
 
huyo ras simba nasikiaga tu tangazo lake tedioni eti ana formula yake na akikufundisha kingereza wiki 3 kama hujaelewa unarudishiwa ada yako, yaani nchi hii imejaa matepeli!!

tapeli wa kimataifa...........English course ya week tatu ni ajabu
 
Duh serikali yetu ina hela,huku.nyuma walimu wanataka kuandamana kwa ajili.ya malimbikizo
 
Back
Top Bottom