Mkali wa Hollywood Terrence J kutua jumamosi tar 12/7

Mkali wa Hollywood Terrence J kutua jumamosi tar 12/7

Twilumba uku wazima tena Dr. Jakaya tupo nae uku kitaa
 
Last edited by a moderator:
Cuzooo...Mona Hamnq Kitu Labda Akiandika Barua...

We humjui monalisa cuzoo, yani yeye na mama yake ni noma kwa lugha, kuna movie ya kibongo inaitwa she is my sister ya marehemu kanumba ya mda kidogo nenda kaicheki halafu uone makali ya monalisa, hana english ya kuombea maji, anatema lugha balaa, inshort familia yao kwa lugha wapo fresh
 
We humjui monalisa cuzoo, yani yeye na mama yake ni noma kwa lugha, kuna movie ya kibongo inaitwa she is my sister ya marehemu kanumba ya mda kidogo nenda kaicheki halafu uone makali ya monalisa, hana english ya kuombea maji, anatema lugha balaa, inshort familia yao kwa lugha wapo fresh

Mama Yake Alikuwa Rafiki Wa Baba Yangu Kipindi Cha Nyuma,Anaweza Lakini Si Kwa Kiwango Kile Tunachotaka.......Mona,Kama Ameweza Siku Hizi Basi Hana Confidence...Ujue Wema Naye Hamna Kitu Pale Kivileee Ila Kujiamini Kunambeba.....Tunahitaji Watu Wa Viwango Kabisa Internationally....
 
Mama Yake Alikuwa Rafiki Wa Baba Yangu Kipindi Cha Nyuma,Anaweza Lakini Si Kwa Kiwango Kile Tunachotaka.......Mona,Kama Ameweza Siku Hizi Basi Hana Confidence...Ujue Wema Naye Hamna Kitu Pale Kivileee Ila Kujiamini Kunambeba.....Tunahitaji Watu Wa Viwango Kabisa Internationally....

yani mabishano haya yote kisa ni nani anajua kiingereza... kweli kabisa mnapoteza muda kujadili upuuz kama huu...
 
Safi Sana Mh Rais Dr. Alhaji J.M.Kikwete kwa kutekeleza ahadi yako.
 
ulitaka kipi kibishaniwe mkuu?

Terrence J,Chaka Zulu(Ludacris Manager) na David Burner ndani ya Tanzania.
attachment.php
 

Attachments

  • Chaka zulu.jpg
    Chaka zulu.jpg
    23.2 KB · Views: 647
Back
Top Bottom