Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania wanyonge na ccm yao ndo hawajui English Sisi Chadema tuko vizur fluent in EnglishWatanzania mbona Kiingereza ni ngumu sana kwenu? Sijawahi kuelewa. Watu ambao mlikuwa chini ya Waingereza kwa miaka zaidi ya arubaini hata kuzungumza maneno machache tu ya kiingereza ni shida. Mnatuaibisha Waafrika wengine. Mna ushamba mwingi sana.
Alidanganya. Yaani ako off kabisa na kinachozungumziwa.Alidanganya au alikosea tu?
Ndio maana Geza ulole hua anakutukana bila huruma,kumbe una ujinga mwingi Sana,yaani Mwafrika kutozungumza kingereza kwa ufasaha ni kutia aibu Afrika??? Kumbaf Sana.Watanzania mbona Kiingereza huwa ngumu sana kwenu? Sijawahi kuelewa. Watu ambao mlikuwa chini ya Waingereza kwa miaka zaidi ya arubaini hata kuzungumza maneno machache tu ya kiingereza ni shida. Mnatuaibisha Waafrika wengine. Mna ushamba mwingi sana.
We ni mzigo Sana aisee Kwa waafrika yaani mbona kukosea kiingereza mbona kitu cha kawaida hata huko ulaya watu wengi Tu wanakosea kiingereza.Dah watu kama nyie mnatakiwa kupigwa risasi ni aibu sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].kiingereza ni kama lugha zingine Tu.Watanzania mbona Kiingereza huwa ngumu sana kwenu? Sijawahi kuelewa. Watu ambao mlikuwa chini ya Waingereza kwa miaka zaidi ya arubaini hata kuzungumza maneno machache tu ya kiingereza ni shida. Mnatuaibisha Waafrika wengine. Mna ushamba mwingi sana.
Kama ume-note vizuri, baada ya tafsiri ile watu waliguna, na hii inaashiria wanaelewa kiingereza. Si vyema kutaja generally kuwa ni Watanzania, ingekuwa vyema ukasema mkalimani hajui kiingerezaWatanzania mbona Kiingereza huwa ngumu sana kwenu?
Kiingereza ni lugha ya dunia, sio lugha kama zingine.We ni mzigo Sana aisee Kwa waafrika yaani mbona kukosea kiingereza mbona kitu cha kawaida hata huko ulaya watu wengi Tu wanakosea kiingereza.Dah watu kama nyie mnatakiwa kupigwa risasi ni aibu sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].kiingereza ni kama lugha zingine Tu.
Kiingereza alichokuwa anaongea HE Ramaphosa,kilikuwa Cha kawaida sana,hata kijana wa shule ya kata angeweza kuelewa,Watanzania mbona Kiingereza huwa ngumu sana kwenu? Sijawahi kuelewa. Watu ambao mlikuwa chini ya Waingereza kwa miaka zaidi ya arubaini hata kuzungumza maneno machache tu ya kiingereza ni shida. Mnatuaibisha Waafrika wengine. Mna ushamba mwingi sana.