Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Wapo Waingereza washamba piaWatanzania mbona Kiingereza huwa ngumu sana kwenu? Sijawahi kuelewa. Watu ambao mlikuwa chini ya Waingereza kwa miaka zaidi ya arubaini hata kuzungumza maneno machache tu ya kiingereza ni shida. Mnatuaibisha Waafrika wengine. Mna ushamba mwingi sana.