Wapo Waingereza washamba piaWatanzania mbona Kiingereza huwa ngumu sana kwenu? Sijawahi kuelewa. Watu ambao mlikuwa chini ya Waingereza kwa miaka zaidi ya arubaini hata kuzungumza maneno machache tu ya kiingereza ni shida. Mnatuaibisha Waafrika wengine. Mna ushamba mwingi sana.
[emoji116]Yaani kuna ujinga na UJINGA.
Mi sidhani kama Ramaphosa alikua na nia mbaya,alichokifanya ni kumsifia raisi kwa uzalendo wa kuipenda nchi yake na kuwapenda watanzania thus why alikua hasafiri...ila huyu mkalimani alishindwa kuipata point ya Ramaphosa...Kile kingereza cha Cyril Ramaphosa ni chepesi sana.
Ngoja tuongelee hii katika diplomatic point of view huwenda ukaelewa ila kwa sababu bado mpo utumwani sidhani kama utanielewa.
Mkalimani hajakosea hata kidogo. Kidiplomasia kitendo cha mtu kusema raisi wetu alikuwa hapendi kusafiri ni neno baya kwa hayati Rais wetu kipenzi na ndio maana mkalimani akapindisha maana na ndio maana hata mara baada ya watu kuonesha kushangaa na Cyril kurudia mara ya pili wala hakutafsiri tena.
Ameelewa alichokifanya na anastahili pongezi kwa kulinda heshima ya Rais wetu bila kujali kuwa yeye ataonekana ameharibu kazi yake.
”I felt honored because President Magufuli was not a great traveller, He didnt like traveling very much, He preferred to stay here at home”
”Nilijisikia kuheshimiwa sana kwasababu Mh. Magufuli alikuwa ni mtu Imara, mwenye upendo ambaye alipenda pia kusikiliza na kutoa mwongozo kwa wenzake”
Hayo mambo ni makubwa kuliko uwezo wako wa kufikiri.Mi sidhani kama Ramaphosa alikua na nia mbaya,alichokifanya ni kumsifia raisi kwa uzalendo wa kuipenda nchi yake na kuwapenda watanzania thus why alikua hasafiri...ila huyu mkalimani alishindwa kuipata point ya Ramaphosa...
wanajitahidi kumtetea ila jamaa Jana Aibu nimeona Mimi
[emoji116]View attachment 1732233
Watanzania wanyonge na ccm yao ndo hawajui English Sisi Chadema tuko vizur fluent in English
Watu "AAAAAAAHHHHHHH[emoji2788][emoji2788][emoji2788]"”I felt honored because President Magufuli was not a great traveller, He didnt like traveling very much, He preferred to stay here at home”
”Nilijisikia kuheshimiwa sana kwasababu Mh. Magufuli alikuwa ni mtu Imara, mwenye upendo ambaye alipenda pia kusikiliza na kutoa mwongozo kwa wenzake”
Wewe akili yako mbovu kweli yaani mimi kushindwa kujua lugha ya mtu mwengine nakuabishaje wewe ilimradi najua lugha yangu haijalishiWatanzania mbona Kiingereza huwa ngumu sana kwenu? Sijawahi kuelewa. Watu ambao mlikuwa chini ya Waingereza kwa miaka zaidi ya arubaini hata kuzungumza maneno machache tu ya kiingereza ni shida. Mnatuaibisha Waafrika wengine. Mna ushamba mwingi sana.
Dunia ina lugha nyingi wewe akili yako mbona kama ya mkalimaniKiingereza ni lugha ya dunia, sio lugha kama zingine.
Achana na sisi bhana.kwani yule aliyekuwa anatafsiri alikuwa anatafsiri Kingereza nani amekwambia alikuwa mbongo? by the way yule jamaa alikuwa anaongea kiswahili wala siyo kingereza.Englishi haikuwa isue iliyomleta pale.yeye aliletwa aongee kiswahili na ndicho alichoongeaWatanzania mbona Kiingereza huwa ngumu sana kwenu? Sijawahi kuelewa. Watu ambao mlikuwa chini ya Waingereza kwa miaka zaidi ya arubaini hata kuzungumza maneno machache tu ya kiingereza ni shida. Mnatuaibisha Waafrika wengine. Mna ushamba mwingi sana.