The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Mkamu wa pili wa rais wa Zanzibar Hemed Seleiman Abdulla amewahima wananchi mbalimbali kuhakikisha wanafanya mazoezi kila mara.
Hemed Ameyasema hayo katika Uzinduzi wa matembezi ya upimaji wa afya pamoja na ugawaji wa miwani bure Yalioanza kiembe samaki na Kumalizikia katika viwanja vya maisara Zanzibar Ambapo matembezi hayo yamezinduliwa na makamo wa pili wa rais wa zanizbar Hemed Suleiman Abdulla.
Hemed Ameyasema hayo katika Uzinduzi wa matembezi ya upimaji wa afya pamoja na ugawaji wa miwani bure Yalioanza kiembe samaki na Kumalizikia katika viwanja vya maisara Zanzibar Ambapo matembezi hayo yamezinduliwa na makamo wa pili wa rais wa zanizbar Hemed Suleiman Abdulla.