Mkandarasi anayejenga Barabara ya Mikocheni kupitia Shoppers Plaza hadi Mbezi

Mkandarasi anayejenga Barabara ya Mikocheni kupitia Shoppers Plaza hadi Mbezi

kwenda21

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2014
Posts
3,423
Reaction score
3,414
Jamani madreva mnaopita njia hiyo, nahisi huyu mkandarasi anatengeza hiyo Barabara hawazi sawa sawa muwe makini.

Kachimba mashimo kila mahali, leo ni siku karibu ya tano napita hapo, yako vilevile. Sasa naomba muwe makini maana, mnaweza mkafanya ajari, najua lengo lake ni kuifanyia Barabara service, lakini hajali maisha ya watu wengine.

Huezi acha mashimo wazi namna Ile, nimepitia leo nimekuta pako vilevile, usiku nitapita tena.
 
Sawa. Ndiyo ninawasha Prado yangu hapa na nimepanga kupita huko
 
Sawa wapanda daladala tutakua makini
 
Yes Kwa wachaga wasiojielewa; hapo anaone burudani kuendesha popcorn la Chuma ambalo laweza peperushwa na upepo any time!
Huu ni ukweli usiopingika, mamangi wamenunua sana hizi popcorn za chuma.
 
Back
Top Bottom