Mkandarasi utakuta ni mjumbe wa kamati kuu CCMKamati ya siasa ya CCM wilaya ya Tabora imeeleza kutoridhishwa na matumizi ya shilingi milioni 600 kwa mradi wa bwawa la umwagiliaji la Iyombo, ambapo mkandarasi ameishia kujenga tuta pekee.
Tume ya Umwagiliaji imetaja sababu za kuchelewa kuwa ni kasi ndogo na ukosefu wa vifaa. Kamati imependekeza mkataba na mkandarasi huyo uvunjwe.
View attachment 3199507
Udhani pikipiki zilizoingia zinaitwa SSH zinatoka wapi?Tuliambiwa tule kidogo tu tusile sana ila naona wengine wanazidisha
Hakuna kitu hapa. Ni porojo tu hiyo kamati wanaleta na kutaka kusikika mitandaoni.Kamati ya siasa ya CCM wilaya ya Tabora imeeleza kutoridhishwa na matumizi ya shilingi milioni 600 kwa mradi wa bwawa la umwagiliaji la Iyombo, ambapo mkandarasi ameishia kujenga tuta pekee.
Tume ya Umwagiliaji imetaja sababu za kuchelewa kuwa ni kasi ndogo na ukosefu wa vifaa. Kamati imependekeza mkataba na mkandarasi huyo uvunjwe.
View attachment 3199507
Zanzibar mko na rasimali zipi???Hapo DED, DC na Procurement Officers walishapiga Milioni 300 zao saafi wametulia tu!
Alafu tunashangaa kwa nini Zanzibar wanajenga miradi ya uhakika kwa viwango? Kumbe ni kuendekeza kwa Rushwa kwa watanganyika ndiko kunatufanya tuchelewe kuendelea.
Akili na uadilifuZanzibar mko na rasimali zipi???
Sababu kama hizi ndizo zinazopelekea baadhi ya watanzania waamini kwenye utawala wa kidikteta.Kamati ya siasa ya CCM wilaya ya Tabora imeeleza kutoridhishwa na matumizi ya shilingi milioni 600 kwa mradi wa bwawa la umwagiliaji la Iyombo, ambapo mkandarasi ameishia kujenga tuta pekee.
Tume ya Umwagiliaji imetaja sababu za kuchelewa kuwa ni kasi ndogo na ukosefu wa vifaa. Kamati imependekeza mkataba na mkandarasi huyo uvunjwe.
View attachment 3199507
Hatari kweli kweliHapo DED, DC na Procurement Officers walishapiga Milioni 300 zao saafi wametulia tu!
Alafu tunashangaa kwa nini Zanzibar wanajenga miradi ya uhakika kwa viwango? Kumbe ni kuendekeza kwa Rushwa kwa watanganyika ndiko kunatufanya tuchelewe kuendelea.
Wapiga deal hapo wamekutanaKamati ya siasa ya CCM wilaya ya Tabora imeeleza kutoridhishwa na matumizi ya shilingi milioni 600 kwa mradi wa bwawa la umwagiliaji la Iyombo, ambapo mkandarasi ameishia kujenga tuta pekee.
Tume ya Umwagiliaji imetaja sababu za kuchelewa kuwa ni kasi ndogo na ukosefu wa vifaa. Kamati imependekeza mkataba na mkandarasi huyo uvunjwe.
View attachment 3199507
Wanajua athari za kuvunja mkataba au wanaropokwa Tu??Kamati ya siasa ya CCM wilaya ya Tabora imeeleza kutoridhishwa na matumizi ya shilingi milioni 600 kwa mradi wa bwawa la umwagiliaji la Iyombo, ambapo mkandarasi ameishia kujenga tuta pekee.
Tume ya Umwagiliaji imetaja sababu za kuchelewa kuwa ni kasi ndogo na ukosefu wa vifaa. Kamati imependekeza mkataba na mkandarasi huyo uvunjwe.
View attachment 3199507
Wajinga hao kamati ya majungu. Mkandsrasi ana kosa lipi!Kamati ya siasa ya CCM wilaya ya Tabora imeeleza kutoridhishwa na matumizi ya shilingi milioni 600 kwa mradi wa bwawa la umwagiliaji la Iyombo, ambapo mkandarasi ameishia kujenga tuta pekee.
Tume ya Umwagiliaji imetaja sababu za kuchelewa kuwa ni kasi ndogo na ukosefu wa vifaa. Kamati imependekeza mkataba na mkandarasi huyo uvunjwe.
View attachment 3199507