Mkandarasi barabara ya Mwinjuma Mwananyamala mbona umeruhusu magari kupita na haujaweka lami?!

Mkandarasi barabara ya Mwinjuma Mwananyamala mbona umeruhusu magari kupita na haujaweka lami?!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kutokea mwananyamala A hadi kona ya studio mkandarasi ametoa lami ya zamani kisha amefungulia barabara maisha yanaendelea.

Ndio nauliza kwanini uliondoa ile lami ya zamani?

Yaani umechimbachimba hadi vibarazani mwa nyumba za wenyeji halafu umejiondokea!!!

Kwa mfano pale Komakoma kwa Makongoro Nyerere jirani na Prof Vulata, yaani ni shida daladala zinasimama hadi nyumbani kwa mheshimiwa huku abiria wanachungulia chungulia.

RC Kunenge kamilisha hii miundombinu kwa viwango!

Maendeleo hayana vyama!
 
Sasa haya tuyaite majungu au masufuria , au ndio kuijulisha selikali maana kama ni hatua basi anaweza hata mkurugenzi akaenda na mvuto wa maji.
 
Back
Top Bottom