Mkandarasi wa ujenzi wa SGR Tanzania, Yapi Merkezi adaiwa kuwa na hali ngumu kiuchumi

Mkandarasi wa ujenzi wa SGR Tanzania, Yapi Merkezi adaiwa kuwa na hali ngumu kiuchumi

Hali ya Mkandarasi YAPI MERKEZ ya Uturuki ambaye anajenga reli ya SGR si shwari hata kidogo kwa maana ameishiwa fedha na kushindwa kuwalipa Wazabuni wanaotoa huduma katika mradi huo. Wazabuni ni pamoja na wanatoa ya magari, Mashine na vifaa mbalimbali ya kujengea reli hiyo.

Hadi sasa imefikia miezi saba bila Wakandarasi hao kupata malipo yao huku Wazabuni hao wakilalamika kwamba kutokana Makadarasi hiyo kushindwa kuwalipa na wao wanashindwa kuwalipa Wafanyakazi wao ambao ni waendasha mitambo kama Escavetor, madereva wa malori, mabasi nk. Hali kadhalika Wazabuni hao pia wamedai kwamba wanashindwa kuwasilisha na kulipa kodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutokana na kutokupwa.

Wazabuni hao wameendelea kudai kwamba wamefanya juhudi mbalimbali za kukutana na Uongozi wa Yapi Merkez lakini hawajafanikiwa kutokana na uongozi huo kutoa visingizio vya COVID 19. Hata hivyo baadhi ya wazabuni wamedai wamefikisha malalamiko yao kwa Shirika la Reli nchini (TRC) lakini hadi sasa hawajapata ufumbuzi wowote wa malipo yao.

Kutokana na hali hiyo Wafanyakazi YAPI MERKEZ nao mwezi huu wa Saba watalipwa mshahara nusu.
Garama za kurudia chaguzi za marudio ya waunga juhudi,pamoja na bei za kununua waunga juhudi si zingetosha kumpoza huyu kandarasi!!!!!
 
Hata kama wamekula at least mradi unaonekana kuliko awamu ile watu wamekula mamilioni ya fesha za bunge la katiba nasa wale wa mipasho na ule mradi wa Sulivan toka USA tukadanganywa ni wawekezaji hakurudi hata mmoja kuja kufungua japo mradi wa chipsi mayai
You totally missed the point chief, that was a compliment! Hawa jamaa hawana tatizo walimwaga pesa vizuri kwa wafanyakazi wao, kuanzia wa technical mpaka upande wa mgt.









Let's meet at the top, cheers 🥂
 
Utendaji wa awamu hii unatumia mno propaganda kuliko uhalisia wa mambo tutaona mengi.
Hali ya Mkandarasi YAPI MERKEZ ya Uturuki ambaye anajenga reli ya SGR si shwari hata kidogo kwa maana ameishiwa fedha na kushindwa kuwalipa Wazabuni wanaotoa huduma katika mradi huo. Wazabuni ni pamoja na wanatoa ya magari, Mashine na vifaa mbalimbali ya kujengea reli hiyo.

Hadi sasa imefikia miezi saba bila Wakandarasi hao kupata malipo yao huku Wazabuni hao wakilalamika kwamba kutokana Makadarasi hiyo kushindwa kuwalipa na wao wanashindwa kuwalipa Wafanyakazi wao ambao ni waendasha mitambo kama Escavetor, madereva wa malori, mabasi nk. Hali kadhalika Wazabuni hao pia wamedai kwamba wanashindwa kuwasilisha na kulipa kodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutokana na kutokupwa.

Wazabuni hao wameendelea kudai kwamba wamefanya juhudi mbalimbali za kukutana na Uongozi wa Yapi Merkez lakini hawajafanikiwa kutokana na uongozi huo kutoa visingizio vya COVID 19. Hata hivyo baadhi ya wazabuni wamedai wamefikisha malalamiko yao kwa Shirika la Reli nchini (TRC) lakini hadi sasa hawajapata ufumbuzi wowote wa malipo yao.

Kutokana na hali hiyo Wafanyakazi YAPI MERKEZ nao mwezi huu wa Saba watalipwa mshahara nusu.
yani huu mradi umetuletea life gumu sana, na ukifeli itakera sana
Mtoa uzi umeandika kama umefurahi hivi.
Yale machozi ya leo taifa yana mengi nyuma yake, ujio wa Lissu na haya tena

Ngoja wansiasa warudi toka Lupaso atafungwa mtu kwa kuhujumu uchumi kwa hilo tangazo hapo
Tuliambiwa tunajenga kwa fedha zetu wenyewe. Nini tena kimetokea?!
Pesa ya kufanyia miradi ya kifisadi ipo Mkuu au tunaambiwa ipo, lakini ya kuwaongezea mishahara wafanyakazi HAKUNA!
Ni kweli serikali huchelewesha malipo kwa waturuki hasa mwezi uliopita na huu, tatizo lipo kwa serikali na shirika la reli ndiyo wanawacheleweshea malipo
 
Hata kama wamekula at least mradi unaonekana kuliko awamu ile watu wamekula mamilioni ya fesha za bunge la katiba nasa wale wa mipasho na ule mradi wa Sulivan toka USA tukadanganywa ni wawekezaji hakurudi hata mmoja kuja kufungua japo mradi wa chipsi mayai

Hicho kinachoonekana kinaendana na kiasi kilichokwishatoka? Maana hoja sio kunaonekana, au mifano ya Sulivan nk.
 
Hao waturuki ni pumbavu sana,usithubutu kuwakodishia gari lako watalirudisha likiwa ni takataka tupu.

Taa wanavunja,bodi inakwanguliwa na miti,4wd system haifanyi kazi,handbreak wameharibu,Music System out of 6 Speakers zinafanya kazi 2 tu,viti haviwezi kua adjusted tena.Yaani hii gari(Suv) sijui mlikua mnabebea kokoto na magogo huko ndani.

Jinga sana hao watu.
 
Hali ya Mkandarasi YAPI MERKEZ ya Uturuki ambaye anajenga reli ya SGR si shwari hata kidogo kwa maana ameishiwa fedha na kushindwa kuwalipa Wazabuni wanaotoa huduma katika mradi huo. Wazabuni ni pamoja na wanatoa ya magari, Mashine na vifaa mbalimbali ya kujengea reli hiyo.

Hadi sasa imefikia miezi saba bila Wakandarasi hao kupata malipo yao huku Wazabuni hao wakilalamika kwamba kutokana Makadarasi hiyo kushindwa kuwalipa na wao wanashindwa kuwalipa Wafanyakazi wao ambao ni waendasha mitambo kama Escavetor, madereva wa malori, mabasi nk. Hali kadhalika Wazabuni hao pia wamedai kwamba wanashindwa kuwasilisha na kulipa kodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutokana na kutokupwa.

Wazabuni hao wameendelea kudai kwamba wamefanya juhudi mbalimbali za kukutana na Uongozi wa Yapi Merkez lakini hawajafanikiwa kutokana na uongozi huo kutoa visingizio vya COVID 19. Hata hivyo baadhi ya wazabuni wamedai wamefikisha malalamiko yao kwa Shirika la Reli nchini (TRC) lakini hadi sasa hawajapata ufumbuzi wowote wa malipo yao.

Kutokana na hali hiyo Wafanyakazi YAPI MERKEZ nao mwezi huu wa Saba watalipwa mshahara nusu.
Aiseee !!
 
Back
Top Bottom