Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 308
TBC1 wanaboa kuliko maelezo. Ukiangalia unaona wazi kabisa wanapendelea CCM na ni aibu kwa chombo cha umma kufanya mambo anayofanya Tido Mhando. Wakifanya Clouds, Channel 10, Uhuru, n.k unaweza usishituke kwa sababu tunajua mafisadi wamewekeza kuhakikisha CCM inaendelea kuwa madarakani kwa sababu hilo ndilo chaka lao.
Mwisho wao hata hivyo unakuja
Mwisho wao hata hivyo unakuja

