Elections 2010 Mkanganyiko ITV, Star Tv na TBC1

Elections 2010 Mkanganyiko ITV, Star Tv na TBC1

TBC1 wanaboa kuliko maelezo. Ukiangalia unaona wazi kabisa wanapendelea CCM na ni aibu kwa chombo cha umma kufanya mambo anayofanya Tido Mhando. Wakifanya Clouds, Channel 10, Uhuru, n.k unaweza usishituke kwa sababu tunajua mafisadi wamewekeza kuhakikisha CCM inaendelea kuwa madarakani kwa sababu hilo ndilo chaka lao.

Mwisho wao hata hivyo unakuja
 
Suala la-uprofeshno katika vitu vingi hapa kwetu bado ni ndoto..!
 
this might be a good solution..........
Best huielewi hii TV? Ni kama tawi la ccm ndo maana wanakuwa biased. Kumbuka huyo mkurugenzi wao aliletwa na mgonjwa wetu toka alikokuwa, so anatetea meza mkuu na ndo maana hata waloko chini yake wanafanya atakavyo. Kubwa ni kuwapiga chini na tuendelee kuwasubiri hadi 31st Okt mtaona kama hawatajiunga nasi kuimba nyimbo za ukombozi wa nchi yetu!
 
tatizo wengi wanaikubali njaa itawale hata professionalism..........watu wa namna hii hawakuwa na haja ya kwenda shule....hapa ndipo nakumbuka kuna kipindi wale wanaojiita weledi wa mambo ya habari walikuwa wanalalamika kwa nini watu ambao hawajasomea taaruma ya uandishi wa habari waruhusiwe kuandika habari......nikikumbuka swali hili na mjadala ule napata hasira sana kwani km elimu yenyewe ndiyo hii ambao hawawezi kulinda maadili yao ya kazi kuna haja gani ya kusomea km wanaweza kununulika kiasi hiki na kusahau kuwa wao ni mhimili muhimu sana wa taifa hili?............
Suala la-uprofeshno katika vitu vingi hapa kwetu bado ni ndoto..!
 
na sasa umeshakuwepo tayari ni kazi yetu kutumia udhaifu huu wa ccm kuingasha ife kifo cha mende..........
TBC1 wanaboa kuliko maelezo. Ukiangalia unaona wazi kabisa wanapendelea CCM na ni aibu kwa chombo cha umma kufanya mambo anayofanya Tido Mhando. Wakifanya Clouds, Channel 10, Uhuru, n.k unaweza usishituke kwa sababu tunajua mafisadi wamewekeza kuhakikisha CCM inaendelea kuwa madarakani kwa sababu hilo ndilo chaka lao.

Mwisho wao hata hivyo unakuja
 
That's might be true guys.mimi mwenyewe ni mtazamaji mzuri sana wa taarifa za habari za TBC 1,But nowadays wananiboa.they are more of CCM agents,when it comes to Opposition they focus on their weeknesses.
 
TBC hawana aibu hebu fikiria kila siku asubuhi kwenye uchambuzi wa magazeti lazima kila mchambuzi(msoma magazeti) aanze na gazeti la Uhuru. Sasa hapo utasema ni chombo cha uma , tumeingiliwa.
 
Chakachua inaendelea popote pale mwisho wa siku tarehe 31 wahi saa kumi na moja asubuhi kuwahi foleni
 
mawazo mgando!
Jamani CCM ndio wanaowaweka hapa mjini mnadhani watafanyaje kama si kupendelea aliyekuwa madarakani?Hata chama cha upinzani kikichukua nchi itakuwa vivo hivyo kwa kupendelewa hasa wakati wa uchaguzi kama huu.Cha msingi ni kuangalia namna ajira zao zinavyopatikana si kwa style hii ya uswahiba mnapeana chombo cha umma kinacholipiwa na wananchi wote huku mkitaka kupendelewa wakati fulani mkiwa na shida
 
tena tumevamiwa kabisaaaaa..............lakini watz si bado tupo hai? tunasubiri nini kuiangamiza ccm, kwani wao kwa wao tu wameshagawanyika sasa sisi tunangojea kitu gani hasa kitokee ndipo tuchukue hatua?......wakati ni sasa....tuchukue hatua..
TBC hawana aibu hebu fikiria kila siku asubuhi kwenye uchambuzi wa magazeti lazima kila mchambuzi(msoma magazeti) aanze na gazeti la Uhuru. Sasa hapo utasema ni chombo cha uma , tumeingiliwa.
 
Mimi niliona channel ten sikuamini macho yangu kwa umati hule!!CCM mnayokazi inabidi mjiweketayari kwani hata mkiiba vibaya tutawakamata mwisho wasiku tunacho waomba msije mkaiweka hii nchi kwenye machafuko kwani watu wameamka mkiwanyima haki yao hawatakubali ni bora busara ikatumika kam alivyofanya Mh.Kenneth Kaunda wa zambia.
 
Kwa kweli tumechoka na inabidi wakubali maamuzi ya watz..........hata tbc1 wakikubali kuwa vibaraka lakini bado tukiingia ikulu tunazaa nao hasa marine hasani na tido mhando siwapendi kabisa hawa ....":::?"
mimi niliona channel ten sikuamini macho yangu kwa umati hule!!ccm mnayokazi inabidi mjiweketayari kwani hata mkiiba vibaya tutawakamata mwisho wasiku tunacho waomba msije mkaiweka hii nchi kwenye machafuko kwani watu wameamka mkiwanyima haki yao hawatakubali ni bora busara ikatumika kam alivyofanya mh.kenneth kaunda wa zambia.
 
TV stations karibia zote zina upendeleo wa ajbu sana kwa CCM.
Hakuna hata yenye afadhali, wasipo'chakachua' kwenye taharifa ya habari 'watachakachua' kwenye makala.



Mimi siangalii TBC1, kwani kwangu hata chaneli yake namba saba nimeichakachua, na ni marafuku kwa yeyeto kuisearch.

pole sana
sasa unaangalia channel gani? au umerudisha TV kwenye box? tehetehe
 
na TBC 1 wamekuaja na gia nyingine, siku ya pili leo hawarushi kampeni za DR. Slaa siku hiyo hiyo, wanarusha siku inayofuata asubuhi muda ambao wengi wanachakarika kwenda makazini
 
na TBC 1 wamekuaja na gia nyingine, siku ya pili leo hawarushi kampeni za DR. Slaa siku hiyo hiyo, wanarusha siku inayofuata asubuhi muda ambao wengi wanachakarika kwenda makazini

Leo mchana wamerusha wakionyesha kichwa tu cha Dr Slaa.

Mafisadi TBC wasio na haya wala soni.
 
tuwape hongera tbc1 kwa kutekeleza matakwa ya kikwete siku zinakuja na watahukumiwa sawasawa na matendo yao..........tz ya leo sio ile ya 47 ya akina makamba wajue kuwa tumewachoka sana na walipotufikisha panatosha
na TBC 1 wamekuaja na gia nyingine, siku ya pili leo hawarushi kampeni za DR. Slaa siku hiyo hiyo, wanarusha siku inayofuata asubuhi muda ambao wengi wanachakarika kwenda makazini
 
tuwalaani hawa wanaoturudisha enzi za ujima.................naamini dr.slaa akishika madaraka atapangua hawa mapungwani wa habari kwa kuwa na upendeleo wa wazi kwa matakwa ya kikwete na ccm na mafisadi yaani akina rostamu na lowasa,,,,,,,,,,
Leo mchana wamerusha wakionyesha kichwa tu cha Dr Slaa.

Mafisadi TBC wasio na haya wala soni.
 
Slide1.JPGukweli huu hapa,ilikuwa nyomi kiukweliSlide2.JPG
 
Back
Top Bottom