Napia ningependa ushauri nitumie cheti kipi kuaply sabu olevel nina( Physics-C ,Chemistry-B.Biology-D kwa matokeo ya2011 sio BRN) then form six(Biology-B.Chemistry-B,Physics-D kwa matokeo ya kidato cha sita mwaka jana) naomba mnisaidie nitumie cheti kipi?
Kuwa muwazi wewe kua umefeli form six, kwa matokeo hayo ya form six mwaka jana watu hawajaachwa hata kama kuna competition vip!!!
Unaonesha unataka kuomba clinical medicine umeharibu kuweka matokeo yako ya uongo mwishowe unaishia kusifiwa tu na MAANA YA TERMINOLOGY ULIZOKUA UNATAKA KUELEWESHWA hujapata! Utaua wagonjwa wewe, huku hatuhtaj anaetaka sifa za kijinga ila ni umahiri
Kuwa muwazi wewe kua umefeli form six, kwa matokeo hayo ya form six mwaka jana watu hawajaachwa hata kama kuna competition vip!!!
Unaonesha unataka kuomba clinical medicine umeharibu kuweka matokeo yako ya uongo mwishowe unaishia kusifiwa tu na MAANA YA TERMINOLOGY ULIZOKUA UNATAKA KUELEWESHWA hujapata! Utaua wagonjwa wewe, huku hatuhtaj anaetaka sifa za kijinga ila ni umahiri
hayo matokeo ni sawa na CCE kwa mwaka 2013.....kurud nyuma
kuhusu Doctor of Medicine - MUHIMBILI ni ngumu coz wanachukuaga mwisho cutting off point 10 ...kama kuna massive failure!
but KCMC, BUGANDO unapata
friends of mine walipata walikuwa na dv 2 ya 11.....!
my take- KCMC is the best for you