KATUNZI THE YOUNG
Member
- Jan 2, 2015
- 37
- 3
Natumaini muko wazima wanajamvi mimi ni mmojawapo ya wanaosubiri kufanya usajili mwaka huu kupitia NACTE iliniombe diploma ya clinical medicine naomba kufahamu haya:
1.kuhusu CAS-Yani central admition system ya NACTE ikoje
2.Ni vyuo gani vya serikali vizuri kwa taaruma hiyo
3.naomba kujua hizi terms"CO. AMO.BCS.MD.RCB" zikoje katika utendaji
4Mfumo mzima wa maisha ya usomaji katika vyuo stahiki
5.Mwisho ni kufahamu matangazo ya application yanatokaga mda gan? na nikupitia wizara au NACTE.
1.kuhusu CAS-Yani central admition system ya NACTE ikoje
2.Ni vyuo gani vya serikali vizuri kwa taaruma hiyo
3.naomba kujua hizi terms"CO. AMO.BCS.MD.RCB" zikoje katika utendaji
4Mfumo mzima wa maisha ya usomaji katika vyuo stahiki
5.Mwisho ni kufahamu matangazo ya application yanatokaga mda gan? na nikupitia wizara au NACTE.