Mkanganyiko wa Katiba ya Sasa

Mkanganyiko wa Katiba ya Sasa

hiyo number 2 ina sura ya ubaguzi....

Mwalimu alipoulizwa hili alisema eti wazazibar ni wachache na ardhi yao si kubwa, kwa hili ni lazima katiba iwalinde....

Je haya tuliyajadili kwa pamoja au wachache ndiyo walituamulia wakati wa kutungwa katiba hii? mliokuwepo mwaka 1977 tujuzeni mchakato ulifanyikaje?
Hoja ya kusema Wazanzibari ni wachache au ardhi yao ni ndogo ndiyo maana Watanganyika hawatakiwi kuwa na access na kilichipo Zanzibar, siyo sahihi. Kama kilichopo huko ni kidogo, si wanaruhusiwa kuja bara ambako kuna vingi, na hawabaguliwi wala kuzuiwa kama ilivyo kwa wenzao wa bara.
 
Ukiingalia katiba ya Tanzania, ni kama vile ilifikiriwa kuwa wakati wote Rais atakuwa Mtanganyika.

Tanganyika iliungana na Zanzibar kwenye mambo machache, nadhani wakati ule yalikuwa 17 tu.

Hayo mambo 17 pekee ndiyo yalikuwa chini ya Serikali ya JMT. Mambo hayo yalikuwa ni pamoja na Ulinzi, Mambo ya ndani, Uhusiano wa Kimataifa, Sarafu, Elimu ya juu, n.k.

Mambo yaliyobakia kama vile Afya, Elimu, Utamaduni, Kilimo, Biashara, yalibakia kuwa chini serikali za maeneo (Tanganyika na Zanzibar). Mambo haya kwa upande wa Zanzibar yangesimamiwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar chini ya Rais wa Zanzibar. Na kwa upande wa Tanganyika, yangesimamiwa na Serikali ya JMT chini ya Rais wa JMT. Kwa mantiki hiyo, ni kwamba kuna wakati Rais wa JMT anakuwa Rais wa nchi ya Tanzania (anaposimamia utekelezaji wa yale mambo ya Muungano), na kuna wakati anakuwa Rais wa Tanganyika (anapotekeleza mambo yale ya Tanganyika yasiyo chini ya Muungano).

Mambo ya Kufikirisha:

1) Kila raia wa Zanzibar ni raia wa Tanzania

2) Siyo kila raia wa Tanzania ni raia wa Zanzibar.

3) Kila raia wa Zanzibar na Tanganyika ana haki ya kushika uongozi au kuwa mtumishi kwenye taasisi zinazosimamia mambo yale ya Muungano.

?? Jana nimesikia kuwa eti Rais wa JMT ameagiza serikali ya JMT inunue CT scan machines kwaajili ya hospitali zote za mikoa ya bara na visiwani. Ina maana suala la Afya, nalo limeingizwa kwenye mambo ya muungano? Au mkanganyiko wa katiba unamfanya Rais akose kutambua mipaka ya mamlaka ya Rais wa JMT kwenye mambo yasiyo ya muungano?

JUMUISHO
Kuna wakati Rais wa JMT anafanya kazi kama Mkuu wa nchi ya JMT (wakati huo anasimamia yale mambo ya Muungano tu) na kuna wakati anafanya kazi kama Rais wa Tanganyika (anasimamia mambo yale yasiyo ya Muungano).

SWALI
Raia wa Zanzibar, ambaye siyo raia wa Tanganyika, anakuwa na uhalali gani kuwa Rais wa Tanganyika (ili kusimamia mambo yale yasiyo ya muungano)? Au Mwalimu Nyerere alidhani wakati wote, Rais wa JMT atatoka bara tu?

Waliosema katiba ina mkanganyiko, naona wapo sahihi sana. Na aliyesema Tanganyika imejivika koti la muungano, naye yupo sahihi.

KATIBA MPYA YENYE UFAFANUZI SAHIHI NA WENYE MANTIKI HAIIEPUKIKI.
Siri wanayo CCM kwanini muungano wa aina hii ni wa pekee na wauonevu kwa upande mmoja.
Wanaofaidika zaidi Muungano huu ni Zanzibar. Mzanzibari anapokuwa rais wa muungano anatawala na Tanganyika na mambo ya muungano, anasimamia bajeti ya Tanganyika na kuteua mawaziri wake, lakini mtawala akitoka Tanganyika hatawali Zanzibar kwa kuwa kiongozi wao yupo. Mfano sasa hivi Tanganyika haina kiongozi mkuu Mtanganyika anayesimamia masuala ya Tanganyika. Waziri Mkuu ni mteule wa Rais wala si wa wananchi wa Tanganyika
Katiba ya Tanzania ni ya ajabu haijawahi kutokea ko kote.
 
Watanganyika ni malofa.
Samahani.
Kama kuna mtanganyika anabisha aende Zanzibar akagombee hata uenyekiti wa mtaa au Ushea atarudi na jibu
 
Siri wanayo CCM kwanini muungano wa aina hii ni wa pekee na wauonevu kwa upande mmoja.
Wanaofaidika zaidi Muungano huu ni Zanzibar. Mzanzibari anapokuwa rais wa muungano anatawala na Tanganyika na mambo ya muungano, anasimamia bajeti ya Tanganyika na kuteua mawaziri wake, lakini mtawala akitoka Tanganyika hatawali Zanzibar kwa kuwa kiongozi wao yupo. Mfano sasa hivi Tanganyika haina kiongozi mkuu Mtanganyika anayesimamia masuala ya Tanganyika. Waziri Mkuu ni mteule wa Rais wala si wa wananchi wa Tanganyika
Katiba ya Tanzania ni ya ajabu haijawahi kutokea ko kote.
Tukubali kwanza kuwa watangulizi wetu walifanya makosa kuunda huu muungano lakini sasa tuamue ku - uunda upya au kuuvunja.

Dhambi ya mapinduzi tumeiirithi kwa lengo la kuutetea umajinuni wa Afrika.

Chakushangaza hapa; unamfukuza mwarabu ambaye ndie mtawala halali lakini unaamua kuoa binti yake na kubaki nae kama mke?

Ulaghai gani huu ulioigharimu Tanganyika ?.... Wakati wa ku - urekebisha nadhani umefika.
 
Kuna mda muungano wetu unatufanya tujue utu na ubinadamu wetu.

Ukiangalia kwa sasa huwezi jua jambo la muungano ni lipi na lisilo la Muungano ni lipi.
 
Nadhani huelewi hoja iliyopo. Waziri wa afya aliye chini ya Rais wa JMT ni Waziri wa Afya wa huku bara na siyo Waziri wa afya wa Zanzibar.

Kwenye suala la afya, Rais wa JMT hana mamlaka juu ya Zanzibar. Na wala waziri wa afya wa huju bara, hana mamlaka juu ya Zanzibar, isipokuwa linapokuwa kwenye kiwango cha kimataifa.
Wewe ndo pia hutaki kujua mamlaka ya Rais kikatiba
 
Asante kwa kunirekebisha. Nadhani upo sahihi. Mwanzoni yalikuwa 11, baadaye 17.

Sasa kama Rais Samia na mwenzie Mwinyi wameamua kuongeza na Afya liwe suala la Muungano, wapeleke kwenye bunge la JMT na Baraza la Wawakilishi, ili ikapitishwe kikatiba.
Hakuna kilichoongezwa wala kupunguzwa kwenye hoja ya mkopo tunayoijadili. Kuna kutokufahamu au kutokufahamiana kwenye hii hoja.
 
M
Ukiingalia katiba ya Tanzania, ni kama vile ilifikiriwa kuwa wakati wote Rais atakuwa Mtanganyika.

Tanganyika iliungana na Zanzibar kwenye mambo machache, nadhani wakati ule yalikuwa 17 tu.

Hayo mambo 17 pekee ndiyo yalikuwa chini ya Serikali ya JMT. Mambo hayo yalikuwa ni pamoja na Ulinzi, Mambo ya ndani, Uhusiano wa Kimataifa, Sarafu, Elimu ya juu, n.k.

Mambo yaliyobakia kama vile Afya, Elimu, Utamaduni, Kilimo, Biashara, yalibakia kuwa chini serikali za maeneo (Tanganyika na Zanzibar). Mambo haya kwa upande wa Zanzibar yangesimamiwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar chini ya Rais wa Zanzibar. Na kwa upande wa Tanganyika, yangesimamiwa na Serikali ya JMT chini ya Rais wa JMT. Kwa mantiki hiyo, ni kwamba kuna wakati Rais wa JMT anakuwa Rais wa nchi ya Tanzania (anaposimamia utekelezaji wa yale mambo ya Muungano), na kuna wakati anakuwa Rais wa Tanganyika (anapotekeleza mambo yale ya Tanganyika yasiyo chini ya Muungano).

Mambo ya Kufikirisha:

1) Kila raia wa Zanzibar ni raia wa Tanzania

2) Siyo kila raia wa Tanzania ni raia wa Zanzibar.

3) Kila raia wa Zanzibar na Tanganyika ana haki ya kushika uongozi au kuwa mtumishi kwenye taasisi zinazosimamia mambo yale ya Muungano.

?? Jana nimesikia kuwa eti Rais wa JMT ameagiza serikali ya JMT inunue CT scan machines kwaajili ya hospitali zote za mikoa ya bara na visiwani. Ina maana suala la Afya, nalo limeingizwa kwenye mambo ya muungano? Au mkanganyiko wa katiba unamfanya Rais akose kutambua mipaka ya mamlaka ya Rais wa JMT kwenye mambo yasiyo ya muungano?

JUMUISHO
Kuna wakati Rais wa JMT anafanya kazi kama Mkuu wa nchi ya JMT (wakati huo anasimamia yale mambo ya Muungano tu) na kuna wakati anafanya kazi kama Rais wa Tanganyika (anasimamia mambo yale yasiyo ya Muungano).

SWALI
Raia wa Zanzibar, ambaye siyo raia wa Tanganyika, anakuwa na uhalali gani kuwa Rais wa Tanganyika (ili kusimamia mambo yale yasiyo ya muungano)? Au Mwalimu Nyerere alidhani wakati wote, Rais wa JMT atatoka bara tu?

Waliosema katiba ina mkanganyiko, naona wapo sahihi sana. Na aliyesema Tanganyika imejivika koti la muungano, naye yupo sahihi.

KATIBA MPYA YENYE UFAFANUZI SAHIHI NA WENYE MANTIKI HAIIEPUKIKI.
Maswali yote yaliyo ulizwa chanzo chake ni kuchanganyikiwa kwa mleta mada; kwani kikatiba, raia wote wa Zanzibar ni raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (JMT), hivyo suala la kuwa Rais na uraia hakuna mkanganyiko wowote bali kilichopo ni madhanio (assumptions) tu ya kinadharia kwa nia na lengo la kuwachanganya Watanzania!

Kuhusu ununuzi na mgawanyo wa hizo mashine aidha za afya au za aina nyingine yoyote kwa pande zote za JMT ni hivi - huu mkopo wa IMF kwa JMT ni kwa Zanzibar na Tanganyika au Tanzania Bara (ukipenda) yaani hilo ni moja ya masharti yake kwani, kama uliwasikia viongozi wetu vizuri katika maelezo yao, ni kuwa mkopo huu unalenga kupambana na UVIKO - 19 na athari zake kwa JAMII. Hivyo Serikali yetu ikaishawishi IMF kuwa mkopo huu ushughulikie mambo yote, ambayo ni CROSSCUTTING as far as UVIKO - 19 is concerned; siyo kununua chanjo tu kama walivyo kuwa wanataka na kushauri IMF. Huo ndio msingi wa huu mkopo kwenda Tanzania nzima, siyo eti kuwa sasa suala la afya ni suala la Muungano, HAPANA. Sijui nimeeleweka?!
 
M

Maswali yote yaliyo ulizwa chanzo chake ni kuchanganyikiwa kwa mleta mada; kwani kikatiba, raia wote wa Zanzibar ni raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (JMT), hivyo suala la kuwa Rais na uraia hakuna mkanganyiko wowote bali kilichopo ni madhanio (assumptions) tu ya kinadharia kwa nia na lengo la kuwachanganya Watanzania!

Kuhusu ununuzi na mgawanyo wa hizo mashine aidha za afya au za aina nyingine yoyote kwa pande zote za JMT ni hivi - huu mkopo wa IMF kwa JMT ni kwa Zanzibar na Tanganyika au Tanzania Bara (ukipenda) yaani hilo ni moja ya masharti yake kwani, kama uliwasikia viongozi wetu vizuri katika maelezo yao, ni kuwa mkopo huu unalenga kupambana na UVIKO - 19 na athari zake kwa JAMII. Hivyo Serikali yetu ikaishawishi IMF kuwa mkopo huu ushughulikie mambo yote, ambayo ni CROSSCUTTING as far as UVIKO - 19 is concerned; siyo kununua chanjo tu kama walivyo kuwa wanataka na kushauri IMF. Huo ndio msingi wa huu mkopo kwenda Tanzania nzima, siyo eti kuwa sasa suala la afya ni suala la Muungano, HAPANA. Sijui nimeeleweka?!
Wewe nadhani hujaelewa chochote. Soma tena. Kuna mahali, nimeeleza kuwa raia wa Zanzibar siyo raia wa Tanzania?

Hata kwenye ununuzi wa hizo CT scan, hujaelewa chochote. Soma tena.
 
Wewe ndo pia hutaki kujua mamlaka ya Rais kikatiba
Eleza mamlaka ya Rais wa JMT kwa mambo ya Zanzibar yasiyo ya muungano, lakini nina uhakika wewe ndiye usiyeelewa mipaja ya mamlaka ya Rais wa JMT kwa Zanzibar kwa mambo yasiyo ya muungano.
 
Eleza mamlaka ya Rais wa JMT kwa mambo ya Zanzibar yasiyo ya muungano, lakini nina uhakika wewe ndiye usiyeelewa mipaja ya mamlaka ya Rais wa JMT kwa Zanzibar kwa mambo yasiyo ya muungano.
Pengine unapaswa kuelewa tunapozungumzia kazi/majukumu ya Rais. Hapa tunazumgumzia mikopo ya nje ambayo yapo kwenye mamlaka ya Jamhuri ya Muungano ambayo msimamizi wake mkuu ni Rais. Kwenye fedha za mikopo Rais anayo mamlaka ya kutoa miongozo ya matumizi yake kama alivyofanya.
 
Pengine unapaswa kuelewa tunapozungumzia kazi/majukumu ya Rais. Hapa tunazumgumzia mikopo ya nje ambayo yapo kwenye mamlaka ya Jamhuri ya Muungano ambayo msimamizi wake mkuu ni Rais. Kwenye fedha za mikopo Rais anayo mamlaka ya kutoa miongozo ya matumizi yake kama alivyofanya.
Hizo ni fikra na matakwa yako lakini kikatiba, ni kwamba mgawanyo wa pesa yote ya nje (mikopo au misaada), mgao wa Zanzibar unapelekwa SMZ. Na serikali ya SMZ ndiyo yenye mamlaka kisheria kupanga matumizi ya pesa waliyopewa kwa kuzingitia madhumuni ya mkopo au msaada.

Ifahamike kuwa serikali ya JMT inapoomba mkopo au msaada wa nje, SMZ hushirikishwa. Kwenye suala la manunuzi ya CT scan, hakuna mahali popote ilipoelezwa kuwa Rais na Seirikali ya JMT, imetoa pesa kuwapa SMZ bali wanazungumzia kuwapelekea Zanzibar machine za CT scan. Hii ina maana CT scan machines zimenunuliwa na serikali ya JMT. Na hakuna uhakika kqma hizo machines ndiyo mgao wa fedha kwa SMZ au wanapewa CT scan machines, huku mgao wao wa fedha za mkopo ukiwa upo pale pale.

Note: Taarifa imesema kuwa serikali ya JMT imeagiza machines za CT scan kwaajili ya hospitali zote za Tanzania bara na visiwani. Hiyo ya kusema Rais amezielekeza serikali ya JMT na SMZ kuwa pesa hizo za mkopo, pamoja na mambo mengine, zitumike kununulia CT scan machines, umeisikia wapi?
 
Hizo ni fikra na matakwa yako lakini kikatiba, ni kwamba mgawanyo wa pesa yote ya nje (mikopo au misaada), mgao wa Zanzibar unapelekwa SMZ. Na serikali ya SMZ ndiyo yenye mamlaka kisheria kupanga matumizi ya pesa waliyopewa kwa kuzingitia madhumuni ya mkopo au msaada.

Ifahamike kuwa serikali ya JMT inapoomba mkopo au msaada wa nje, SMZ hushirikishwa. Kwenye suala la manunuzi ya CT scan, hakuna mahali popote ilipoelezwa kuwa Rais na Seirikali ya JMT, imetoa pesa kuwapa SMZ bali wanazungumzia kuwapelekea Zanzibar machine za CT scan. Hii ina maana CT scan machines zimenunuliwa na serikali ya JMT. Na hakuna uhakika kqma hizo machines ndiyo mgao wa fedha kwa SMZ au wanapewa CT scan machines, huku mgao wao wa fedha za mkopo ukiwa upo pale pale.

Note: Taarifa imesema kuwa serikali ya JMT imeagiza machines za CT scan kwaajili ya hospitali zote za Tanzania bara na visiwani. Hiyo ya kusema Rais amezielekeza serikali ya JMT na SMZ kuwa pesa hizo za mkopo, pamoja na mambo mengine, zitumike kununulia CT scan machines, umeisikia wapi?
Hili bandiko ni kuhusu mkanganyiko ktk katiba ya sasa. Maelezo yakaja kuhusu CT Scan kupelekwa Zanzibar wakati afya sio swala la muungano. Hoja yangu ikawa fedha hizo ni mkopo wa nje ambao ni swala la muungano. Kikatiba uendeshaji wa nchi (administration) ni mamlaka ya Rais na anaweza kuagiza uendeshaji wake kwa mawaziri na ndivyo alivyofanya.

Kuhusu mgao kwa asilimia haijazungumzwa kwenye katiba na kinachofanyika ni ama utekelezaji wa sheria - kama ipo - makubaliano au vyovyote itakavyokuwa. Kwa vyovyote vile, kwa maoni yangu, hayamzuii Rais kutekeleza wajibu wake

Moja ya mambo yanayoweza kuleta utata kwenye katiba yetu n kuingiza mambo bila kuangalia athari zake za muda mrefu kama hili la mikopo, kodi ya mapato ambayo utekelezaji wake unafanywa na wizara ambazo sio za muungano. Yaani kutoa fursa upande mmoja, kisha ukaizuia upande mwingine ambapo mimi naona hufanywa makusudi kwa kudhani tunadhubiti upande mwingine.

Bado kwa Rais kutoa miongozo/maelekezo kwenye CT Scan hakuna mkanganyiko wa kikatiba.
 
'
JamiiForums1219262973.jpg
 
Sidhani na sioni mkanganyiko wowote kuhusu Katiba na Tunu yetu ya Muungano, ikiwemo uongozi na mgawanyo wa fedha za mikopo ya Kimataifa. Muungano wetu ni unique na Katiba yetu ndiyo imelifikisha taifa hapa .

Pili, rejea hizo fedha Rais alizoagiza ziende Zanzibar. Kama ni za IMF huo ni mkopo wa Kimataifa kwa Tanzania. Zanzibar haikopi ktk taasisi za Breton woods kama IMF na WB. Hivyo mkopo huo ni wa nchi yetu na Zanzibar ni sehemu ya Tanzania, ina haki ya kunufaika.

NB: Sisi wajukuu wa Mwalimu Nyerere tunachukizwa mno na maneno madogo madogo kuhusu Muungano na Tunu nyingine za Taifa. Tuko ktk kumbukizi ya miaka 22 ya Mwalimu: Piga vita ukabila, ukanda na udini. #SISI NI TAIFA.
ZANZIBAR ni kama kupe ana2nyonya 96% Ya pato la taifa ni tanzania bara hao zanzibar hawana export yoyote ya maana yenye bei ya maana kwenye soko la dunia na kama utalii bado bara tupo juu yao maana ndo 2na vivutio vingi sio watalii wote wanapenda kucheki magofu ya watumwa ya akina SULTAN
 
Mhuuu! umeliona hilo, basi na ndege pia zile 2 ni za zanzibar kati ya 10. hizo 8 mutagawana nyie Mil. 50 na hizi mbili sisi Mil 1.5.
Ukisema Muungano wa Zanzibar na Tanganyika unakusudia Nchi mbili zilizokuwa huru na siyo idadi ya watu au ukubwa wa Ardhi.
Kama tutaona Hatuwezi kuendelea na MUUNGANO kwa sababu Mzanzibari kawa Raisi wa Muungano bora tuelekeee kwenye BREXIT mapeema kabla hatuja ingizana vilipuzi vya kuviziana na kusababisha hujuma na umwagaji damu.

Maana Mama 2025 tunaye na baada ya hapo tunawaletea Husein mwinyi awe Mrithi wake. naye angalau apewe miaka 10.
Maana na Tanganyika alipotoka Mkapa kafuatia Kikwete kisha Magufuli wote watanganyika. na wazanzibari wlisema kisha wakanyamaza.
NYIE hamuwezi kutuongoza cc mna bahati sana uyo mama kaupata urais kwa bahati af inaniuma kuona 2nagawana xana akati nyie ni sawa na kamkoa cha Dar.Muungano ukivunjika wazenji mtakiona cha moto maana maisha yatakuwa magumu na kuzamia sauzi mpaka mpande boti
 
Back
Top Bottom