Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
Polisi viaziIna maana hawajakamatwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Polisi viaziIna maana hawajakamatwa
Polisi viaziIna maana hawajakamatwa
WalipeHuu uwanja si uko ktk matengenezo na ulitengewa 31 billion katika bajeti iliyopita,na mpk sasa imekarabatiwa sehemu ya pitch na kukimbilia,jukwaani pamoja na viti vyake bado hakujaguswa....sasa hizo hela zikilipwa zitaenda kununua vipi tena?
Wakuu,
Fujo zilizoibuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa wakati wa mechi ya Kombe la Shirikisho kati ya Simba SC na CS Sfaxien zimeibua mkanganyiko kuhusu uwajibikaji.
Jeshi la Polisi lilibainisha kuwa mashabiki wa CS Sfaxien walihusika moja kwa moja kung’oa viti 256 na kuanzisha vurugu baada ya kutoridhishwa na maamuzi ya mwamuzi wa kuongeza dakika saba za nyongeza, zilizoiwezesha Simba SC kupata goli la ushindi.
View attachment 3177861
Hata hivyo, Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kupitia Waziri Prof. Palamagamba Kabudi imeelekeza Simba SC na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kubeba gharama za uharibifu huo.
View attachment 3177862
Hatua hii imeibua maswali kwani haijaeleza wazi uhusiano wa Simba SC na vitendo vya uharibifu vilivyofanywa na mashabiki wa timu pinzani na iweje matamko yapishane?
Pia, Soma:
• Simba yatakiwa kulipa gharama viti kung'olewa kwa Mkapa
• Jeshi la Polisi latoa tamko baada ya mashabiki wa Simba kuvunja viti Uwanja wa Taifa
Komesha!Pelekeni mechi Ali Hassan Mwinyi tabora tuone kama watavunja zege
CCTV camera imewaonyesha mambumbu wanang'oa viti kama walivyozoeaHakuna mkanganyiko hapo ni swala la mtizamo tu.uwanja una CCTV camera hivyo msipaniki mbivu na mbichi zitajulikana tu