Mkao huu umenikumbusha mbali;

Enzi tunavaa chirimeni lol
 

Shurti kwa sinia au beseni, kama na wana ndugu hakuna noma lakini kwenye shughuli mhhhhhh! Niliwahi kwenda kwenye msiba mmoja basi ilipofika wakati wa pilau tukakaa na babu mmoja ambaye sijui alikuwa na njaa kali au uroho tu wa pilau basi udenda ukawa unamchuruzika ndani ya sinia Ewwwwwww yuck! 🙁 nilipoona hivyo tu niliondoa majeshi yangu haraka sana na hamu yote ya kula ikapotea
 
Tulipaka mafuta fulani ya mgando sijui ndio rays????ukipaka mwili wote unabaki na vitu vinameremeta!teh teh teh...........Kupiga picha mpaka uende studio tena za kutafuta!
Yale mafuta yalikuwa yanaitwa ''shanti'' ya orange hivi mkebe wake mrefu yana harufu kaliii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…