Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,639
Mkuu kama ulikuwa kichwani mwangu, unafiki ndiyo sndiyo unaowasumbua hawa magamba, unataka kuonesha ushirikiano na watu uliyo wasababishia vifo na "ukimbizi"?Hana credibility ya kutoa maoni ya hivi. Ni katika uongozi wake tulishuhudia uzembe mkubwa kwenye kushughulikia kero za muungano. Ni yeye aliyeamuru kuuawa kwa mamia ya Wapemba mwaka 2001. Bora hata aongee Kikwete kuliko huyu dikteta...
Mbili ndiyo mpango mzima zitapita vema.
Huyu Mzee Mkapa ni fake! Alikataa mapendekezo ya Tume moja ya mabadiliko ya Katiba (white paper) aliyoiunda na kumfedhehesha sana yule Jaji ambaye alikuwa Mwenyekiti (jina nimelisahau)! Badala yake alikubali kipengere cha ushindi wa Rais kwa kutumia kigezo cha "simple majority"!
Kinacho msumbua huyu Mkapa ni ubabe na kudhani yeye ndiyo anaakili kuliko Watanzania wote...muda wake wa kuiongoza nchi hii uliisha kitambo na tuliona madudu aliyo fanya sasa akae kimya na wengine watumie kipindi chao...tatizo la hawa viongozi wetu mafisadi wanaanza kujifanya wazalendo baada ya kuwa wameisha tafuna nchi vya kutosha sasa wanarudi kwa gia ya uzalendo baada ya kugundu watu hawawahitaji tena!
Huyu Mzee Mkapa ni fake! Alikataa mapendekezo ya Tume moja ya mabadiliko ya Katiba (white paper) aliyoiunda na kumfedhehesha sana yule Jaji ambaye alikuwa Mwenyekiti (jina nimelisahau)! Badala yake alikubali kipengere cha ushindi wa Rais kwa kutumia kigezo cha "simple majority"!
Mods huu uzi mlio weka hapa wa hammy-d sio wangu naomba murudishe uzi wangu nilio andika leo kwenye hiyo heading ya WATANGANYIKA KUPATA TANGANYIKA YAO KUNA DHAMBI WAKATI WAZANZIBAR WANA ZANZIBAR YAO?tafadhali sana mlicho weka hapo ni kama kuhujumu mawazo yangu na kuninyima haki yakujieleza maana sio mara ya kwanza kunifanyia hivyo.naomba nitendewe haki kama kanuni za jf zinavyojieleza ahasante