Pesambilli
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 283
- 78
Mimi naona wewe ndiye huna hoja za msingi, zitoe hoja zako hapo tuone za serikali mbili ili tuzijadili vizuri. Wewe unatoa tu porojo na kukariri fikra za zidumu fikra za Mwenyekiti wa Chama. Jaji Warioba alishatoa hoja nzito na za msingi za kwa nini walifikia maamzi yale. Ungezijibu kwanza ndio uendelee kutoa hoja zako maana mpaka sasa hamjazijibu ninyi mnaotaka serikali mbili. Hoja za msingi zipo kwa serikali tatu kuliko wewe unayesema serikali mbili bila kutoa hoja. Hizo ni porojo tu wala huna jipya!