mgangawaukoo
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 2,183
- 2,390
Hayo yote bure kama katiba haitabadilishwa na hii mambo ya kuwa na kinga ya kutoshitakiwa ni bure!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa anasaka kitumbuaKwani huyo Magufuli hakuwepo serikali ya Mkapa? Hakuwepo kwenye cabinet?
Na kitumbua kakipata mwezi wa ngapi sasa? Kama hili muhimu na kila siku tulikuwa tunapigwa, 2015 kawa rais mwishoni (tunapigwa tu), 2016 nzima yeye rais (tunapigwa tu), 2017 karibu nusu sasa yeye rais (tunapigwa tu) ndo anaamka.Alikuwa anasaka kitumbua
Waprove hilo.kwamba sisi ndio tunaongoza kuliko.migodi yote duniani kwa kutoa dhahabu..Vyovyote iwavyo ila response ya ACACIA ina statement inasema, nanukuu;
"If the amount of gold in our concentrates was in line with the Committee findings, then it implies that both Bulyanhulu and Buzwagi would produce more gold than any other mine in the world. Sadly this is not the case."
Ni jukumu sasa la Mruma na Kamati yake ku-prove hilo.
Alikuwa kalala kimyaa leo ndio anajifanya ameamka.Kwani huyo Magufuli hakuwepo serikali ya Mkapa? Hakuwepo kwenye cabinet?
Tumeanza Safari, tuko na wewe
Naungana na wale wote wanaoshangilia uamuzi wa kishujaa wa Rais wa Tanzania kupitia chama cha CCM. Pamoja na reservations nyingi zangu na za watu wengine, kitendo chake cha jana kimeamsha matumaini yaliyokufa, ndani yangu. Kwa wanaosema eti ni Dowans nyingine, wamepitwa na wakati, kama wakati wa Dowans JK asingekuwa emajichanganya na wakina Rostam basi Tanzania ingepona kama itakavyopona sasa. Kwa ujasiri wa Magufuli na sisi wengine japo ni kenge kwenye msafara wa Mamba, hakuna atakayetuburuza, kwani Gadafi na Fidel Castro waliwezaje? hivi kwa leo hii kuna namna yoyote Trump na Putin watakubaliana na upumbavu wa mabeberu hao, madalali wa uchumi wa Tanzania kama kina Mkapa? W
Benjamin William Mkapa, Jasusi, Dalali na Adui # 1 wa Tanzania
Wakati Muhongo na kiburi chake anawajibishwa, Lazima Benjamin Mkapa nae ajumlishwe kama mtuhumiwa namba moja kwenye janga hili. Ninakumbuka wazi wakati huo bwana Lyatonga Mrema aposhangaa inakuwaje Mkapa anapewa mzinga wa jiwe la Dhahabu, eti zawadi na Mrema alishangaa zawadi iliyokuwa nzito kuliko mfuko w cement ambapo lijitu la miraba minne kama Mkapa lilishindwa kuibeba, anapeleka wapi? Hich ndicho chanzo.
Lyatonga Mrema na vita ya Ufisadi wa Mikataba ya Dhahabu
Ni kwa vile tu huyu bwana amechalala na yuko hoi ndip maana ujasiri wake umepotea. Huyu kiongozi ndio alikua wa kwanza kushitukio udadali wa wakina Mkapa, lakini tukampuuza. Leo hii yametufika tunakosa hata kumnukuum na yeye kwa sababu ya kujipendekeza hana nguvu ya kukumbusha. Wananchi tumehamasika, Wezi tunawajua, tofauti na hao madalali wa uchumi wetu, tunaye mfunga paka kengele, anachohitaji ni sisi kusimama nae. Umenza vema, lakini kuna viporo vimalizie kazi. Tunashukuru tunaona dalili njema, Mwanaidi Maarja alipewa ubalozi kwa kukuwadia na kusimamia majambazi wa Dowans, why? tunataka justice, nao wapelekwa mahakamani na kufilisiwa, kujiuzulu kwa huyo Jaji partner wao hakuna Tija washitakiwe, na tuendelee kupiga magoti mungu aendelee kuwaonyesha maana wanachokipitia tayari ni dalili kuwa maombi yanajibu. Tunataka tume ya kuchunguza Kiwira Coal Mining, Mbarali Rice Farm, Mwanza leather company ambako wakina Rostam wamefungua mashine zetu za mamilioni na kufunga majengo, jamaniiiii acheni Rais atoe machozi.
Tumeanza Safari, tuko na wewe
Naungana na wale wote wanaoshangilia uamuzi wa kishujaa wa Rais wa Tanzania kupitia chama cha CCM. Pamoja na reservations nyingi zangu na za watu wengine, kitendo chake cha jana kimeamsha matumaini yaliyokufa, ndani yangu. Kwa wanaosema eti ni Dowans nyingine, wamepitwa na wakati, kama wakati wa Dowans JK asingekuwa emajichanganya na wakina Rostam basi Tanzania ingepona kama itakavyopona sasa. Kwa ujasiri wa Magufuli na sisi wengine japo ni kenge kwenye msafara wa Mamba, hakuna atakayetuburuza, kwani Gadafi na Fidel Castro waliwezaje? hivi kwa leo hii kuna namna yoyote Trump na Putin watakubaliana na upumbavu wa mabeberu hao, madalali wa uchumi wa Tanzania kama kina Mkapa? W
Benjamin William Mkapa, Jasusi, Dalali na Adui # 1 wa Tanzania
Wakati Muhongo na kiburi chake anawajibishwa, Lazima Benjamin Mkapa nae ajumlishwe kama mtuhumiwa namba moja kwenye janga hili. Ninakumbuka wazi wakati huo bwana Lyatonga Mrema aposhangaa inakuwaje Mkapa anapewa mzinga wa jiwe la Dhahabu, eti zawadi na Mrema alishangaa zawadi iliyokuwa nzito kuliko mfuko w cement ambapo lijitu la miraba minne kama Mkapa lilishindwa kuibeba, anapeleka wapi? Hich ndicho chanzo.
Lyatonga Mrema na vita ya Ufisadi wa Mikataba ya Dhahabu
Ni kwa vile tu huyu bwana amechalala na yuko hoi ndip maana ujasiri wake umepotea. Huyu kiongozi ndio alikua wa kwanza kushitukio udadali wa wakina Mkapa, lakini tukampuuza. Leo hii yametufika tunakosa hata kumnukuum na yeye kwa sababu ya kujipendekeza hana nguvu ya kukumbusha. Wananchi tumehamasika, Wezi tunawajua, tofauti na hao madalali wa uchumi wetu, tunaye mfunga paka kengele, anachohitaji ni sisi kusimama nae. Umenza vema, lakini kuna viporo vimalizie kazi. Tunashukuru tunaona dalili njema, Mwanaidi Maarja alipewa ubalozi kwa kukuwadia na kusimamia majambazi wa Dowans, why? tunataka justice, nao wapelekwa mahakamani na kufilisiwa, kujiuzulu kwa huyo Jaji partner wao hakuna Tija washitakiwe, na tuendelee kupiga magoti mungu aendelee kuwaonyesha maana wanachokipitia tayari ni dalili kuwa maombi yanajibu. Tunataka tume ya kuchunguza Kiwira Coal Mining, Mbarali Rice Farm, Mwanza leather company ambako wakina Rostam wamefungua mashine zetu za mamilioni na kufunga majengo, jamaniiiii acheni Rais atoe machozi.
Halafu Watanzania wanasherehekea maigizo haya hata bilankuhoji mswali ya msingi kabisa.Alikuwa kalala kimyaa leo ndio anajifanya ameamka.
Tumeanza Safari, tuko na wewe
Naungana na wale wote wanaoshangilia uamuzi wa kishujaa wa Rais wa Tanzania kupitia chama cha CCM. Pamoja na reservations nyingi zangu na za watu wengine, kitendo chake cha jana kimeamsha matumaini yaliyokufa, ndani yangu. Kwa wanaosema eti ni Dowans nyingine, wamepitwa na wakati, kama wakati wa Dowans JK asingekuwa emajichanganya na wakina Rostam basi Tanzania ingepona kama itakavyopona sasa. Kwa ujasiri wa Magufuli na sisi wengine japo ni kenge kwenye msafara wa Mamba, hakuna atakayetuburuza, kwani Gadafi na Fidel Castro waliwezaje? hivi kwa leo hii kuna namna yoyote Trump na Putin watakubaliana na upumbavu wa mabeberu hao, madalali wa uchumi wa Tanzania kama kina Mkapa? W
Benjamin William Mkapa, Jasusi, Dalali na Adui # 1 wa Tanzania
Wakati Muhongo na kiburi chake anawajibishwa, Lazima Benjamin Mkapa nae ajumlishwe kama mtuhumiwa namba moja kwenye janga hili. Ninakumbuka wazi wakati huo bwana Lyatonga Mrema aposhangaa inakuwaje Mkapa anapewa mzinga wa jiwe la Dhahabu, eti zawadi na Mrema alishangaa zawadi iliyokuwa nzito kuliko mfuko w cement ambapo lijitu la miraba minne kama Mkapa lilishindwa kuibeba, anapeleka wapi? Hich ndicho chanzo.
Lyatonga Mrema na vita ya Ufisadi wa Mikataba ya Dhahabu
Ni kwa vile tu huyu bwana amechalala na yuko hoi ndip maana ujasiri wake umepotea. Huyu kiongozi ndio alikua wa kwanza kushitukio udadali wa wakina Mkapa, lakini tukampuuza. Leo hii yametufika tunakosa hata kumnukuum na yeye kwa sababu ya kujipendekeza hana nguvu ya kukumbusha. Wananchi tumehamasika, Wezi tunawajua, tofauti na hao madalali wa uchumi wetu, tunaye mfunga paka kengele, anachohitaji ni sisi kusimama nae. Umenza vema, lakini kuna viporo vimalizie kazi. Tunashukuru tunaona dalili njema, Mwanaidi Maarja alipewa ubalozi kwa kukuwadia na kusimamia majambazi wa Dowans, why? tunataka justice, nao wapelekwa mahakamani na kufilisiwa, kujiuzulu kwa huyo Jaji partner wao hakuna Tija washitakiwe, na tuendelee kupiga magoti mungu aendelee kuwaonyesha maana wanachokipitia tayari ni dalili kuwa maombi yanajibu. Tunataka tume ya kuchunguza Kiwira Coal Mining, Mbarali Rice Farm, Mwanza leather company ambako wakina Rostam wamefungua mashine zetu za mamilioni na kufunga majengo, jamaniiiii acheni Rais atoe machozi.
Naunga mkono hoja makaburi lazima yafukuliwe ili twende sawa. Hii mikataba toka enzi za BWM. Barrick ikiitwa Placerdome enzi hizo. Hawa wakina malima wote viburi wamevipatia wizara ya madini.Tumeanza Safari, tuko na wewe
Naungana na wale wote wanaoshangilia uamuzi wa kishujaa wa Rais wa Tanzania kupitia chama cha CCM. Pamoja na reservations nyingi zangu na za watu wengine, kitendo chake cha jana kimeamsha matumaini yaliyokufa, ndani yangu. Kwa wanaosema eti ni Dowans nyingine, wamepitwa na wakati, kama wakati wa Dowans JK asingekuwa emajichanganya na wakina Rostam basi Tanzania ingepona kama itakavyopona sasa. Kwa ujasiri wa Magufuli na sisi wengine japo ni kenge kwenye msafara wa Mamba, hakuna atakayetuburuza, kwani Gadafi na Fidel Castro waliwezaje? hivi kwa leo hii kuna namna yoyote Trump na Putin watakubaliana na upumbavu wa mabeberu hao, madalali wa uchumi wa Tanzania kama kina Mkapa? W
Benjamin William Mkapa, Jasusi, Dalali na Adui # 1 wa Tanzania
Wakati Muhongo na kiburi chake anawajibishwa, Lazima Benjamin Mkapa nae ajumlishwe kama mtuhumiwa namba moja kwenye janga hili. Ninakumbuka wazi wakati huo bwana Lyatonga Mrema aposhangaa inakuwaje Mkapa anapewa mzinga wa jiwe la Dhahabu, eti zawadi na Mrema alishangaa zawadi iliyokuwa nzito kuliko mfuko w cement ambapo lijitu la miraba minne kama Mkapa lilishindwa kuibeba, anapeleka wapi? Hich ndicho chanzo.
Lyatonga Mrema na vita ya Ufisadi wa Mikataba ya Dhahabu
Ni kwa vile tu huyu bwana amechalala na yuko hoi ndip maana ujasiri wake umepotea. Huyu kiongozi ndio alikua wa kwanza kushitukio udadali wa wakina Mkapa, lakini tukampuuza. Leo hii yametufika tunakosa hata kumnukuum na yeye kwa sababu ya kujipendekeza hana nguvu ya kukumbusha. Wananchi tumehamasika, Wezi tunawajua, tofauti na hao madalali wa uchumi wetu, tunaye mfunga paka kengele, anachohitaji ni sisi kusimama nae. Umenza vema, lakini kuna viporo vimalizie kazi. Tunashukuru tunaona dalili njema, Mwanaidi Maarja alipewa ubalozi kwa kukuwadia na kusimamia majambazi wa Dowans, why? tunataka justice, nao wapelekwa mahakamani na kufilisiwa, kujiuzulu kwa huyo Jaji partner wao hakuna Tija washitakiwe, na tuendelee kupiga magoti mungu aendelee kuwaonyesha maana wanachokipitia tayari ni dalili kuwa maombi yanajibu. Tunataka tume ya kuchunguza Kiwira Coal Mining, Mbarali Rice Farm, Mwanza leather company ambako wakina Rostam wamefungua mashine zetu za mamilioni na kufunga majengo, jamaniiiii acheni Rais atoe machozi.
Benjamin William Mkapa, Jasusi, Dalali na Adui # 1 wa Tanzania
Wakati Muhongo na kiburi chake anawajibishwa, Lazima Benjamin Mkapa nae ajumlishwe kama mtuhumiwa namba moja kwenye janga hili. Ninakumbuka wazi wakati huo bwana Lyatonga Mrema aposhangaa inakuwaje Mkapa anapewa mzinga wa jiwe la Dhahabu, eti zawadi na Mrema alishangaa zawadi iliyokuwa nzito kuliko mfuko w cement ambapo lijitu la miraba minne kama Mkapa lilishindwa kuibeba, anapeleka wapi? Hich ndicho chanzo.
Watanzania tunamjua Mh. Mkapa kwa 100%. Tuna mwachia MUNGU na Mkombozi wetu Mh. Magufuli. Roho inauma sana.Huyo anahusika na kila kitu kuhusu utandawazi
Kwenye mchanga wa madini Serikali ya CCM inastahili kuwajibika kwa watanzania kwa kuwaingiza wananchi wake kwenye mikataba mibovu iliyoliingza taifa kwenye hasara kubwa. Lazma CCM ibebe lawama hizi kwa kushindwa kuisimamia nchi. Na mikataba minhine yote ya kimataifa iwekwe wazi ili wananchi wajionee nchi yao ilivyotafunwa kwa miaka 50 na ushee.