Tetesi: Mkapa Anahusika na Sakata la Mchanga

Tetesi: Mkapa Anahusika na Sakata la Mchanga

Hayo yote bure kama katiba haitabadilishwa na hii mambo ya kuwa na kinga ya kutoshitakiwa ni bure!
 
Kwani huyo Magufuli hakuwepo serikali ya Mkapa? Hakuwepo kwenye cabinet?
 
Alikuwa anasaka kitumbua
Na kitumbua kakipata mwezi wa ngapi sasa? Kama hili muhimu na kila siku tulikuwa tunapigwa, 2015 kawa rais mwishoni (tunapigwa tu), 2016 nzima yeye rais (tunapigwa tu), 2017 karibu nusu sasa yeye rais (tunapigwa tu) ndo anaamka.

Hili jambo alilijua tangu utawala wa Mkapa. Kuna video kaliongelea.

Na yeye alilipitisha. Kama Waziri.

Kaliachia mwaka mmoja na nusu akiwa rais.

Kwa nini?
 
Vyovyote iwavyo ila response ya ACACIA ina statement inasema, nanukuu;

"If the amount of gold in our concentrates was in line with the Committee findings, then it implies that both Bulyanhulu and Buzwagi would produce more gold than any other mine in the world. Sadly this is not the case."

Ni jukumu sasa la Mruma na Kamati yake ku-prove hilo.
Waprove hilo.kwamba sisi ndio tunaongoza kuliko.migodi yote duniani kwa kutoa dhahabu..
..wataanzia wapi ni uongo mtupu
 
Tumeanza Safari, tuko na wewe
Naungana na wale wote wanaoshangilia uamuzi wa kishujaa wa Rais wa Tanzania kupitia chama cha CCM. Pamoja na reservations nyingi zangu na za watu wengine, kitendo chake cha jana kimeamsha matumaini yaliyokufa, ndani yangu. Kwa wanaosema eti ni Dowans nyingine, wamepitwa na wakati, kama wakati wa Dowans JK asingekuwa emajichanganya na wakina Rostam basi Tanzania ingepona kama itakavyopona sasa. Kwa ujasiri wa Magufuli na sisi wengine japo ni kenge kwenye msafara wa Mamba, hakuna atakayetuburuza, kwani Gadafi na Fidel Castro waliwezaje? hivi kwa leo hii kuna namna yoyote Trump na Putin watakubaliana na upumbavu wa mabeberu hao, madalali wa uchumi wa Tanzania kama kina Mkapa? W

Benjamin William Mkapa, Jasusi, Dalali na Adui # 1 wa Tanzania
Wakati Muhongo na kiburi chake anawajibishwa, Lazima Benjamin Mkapa nae ajumlishwe kama mtuhumiwa namba moja kwenye janga hili. Ninakumbuka wazi wakati huo bwana Lyatonga Mrema aposhangaa inakuwaje Mkapa anapewa mzinga wa jiwe la Dhahabu, eti zawadi na Mrema alishangaa zawadi iliyokuwa nzito kuliko mfuko w cement ambapo lijitu la miraba minne kama Mkapa lilishindwa kuibeba, anapeleka wapi? Hich ndicho chanzo.

Lyatonga Mrema na vita ya Ufisadi wa Mikataba ya Dhahabu
Ni kwa vile tu huyu bwana amechalala na yuko hoi ndip maana ujasiri wake umepotea. Huyu kiongozi ndio alikua wa kwanza kushitukio udadali wa wakina Mkapa, lakini tukampuuza. Leo hii yametufika tunakosa hata kumnukuum na yeye kwa sababu ya kujipendekeza hana nguvu ya kukumbusha. Wananchi tumehamasika, Wezi tunawajua, tofauti na hao madalali wa uchumi wetu, tunaye mfunga paka kengele, anachohitaji ni sisi kusimama nae. Umenza vema, lakini kuna viporo vimalizie kazi. Tunashukuru tunaona dalili njema, Mwanaidi Maarja alipewa ubalozi kwa kukuwadia na kusimamia majambazi wa Dowans, why? tunataka justice, nao wapelekwa mahakamani na kufilisiwa, kujiuzulu kwa huyo Jaji partner wao hakuna Tija washitakiwe, na tuendelee kupiga magoti mungu aendelee kuwaonyesha maana wanachokipitia tayari ni dalili kuwa maombi yanajibu. Tunataka tume ya kuchunguza Kiwira Coal Mining, Mbarali Rice Farm, Mwanza leather company ambako wakina Rostam wamefungua mashine zetu za mamilioni na kufunga majengo, jamaniiiii acheni Rais atoe machozi.

Watanzania lazima wademand MARAIS wa zamani waliifanya makosa kama haya washitakiwe. Benjamini Mkapa Ali wait a Watanzania marofa kwa kuwa anajuwa hatujui chochote, waogamna kiingereza chake cha kikoloni cha kunyamazisha Watanzania. Aliposhika madaraka akamudharau hata Baba wa Taifa Julius Kambarage Nyerere, kwa UCHUNGU na majonzi makubwa akauza banki ya taifa kinyume na matako ya Baba wa taifa kwa jeuri. Mpaka leo tunamuheshimu kwa mabaya na wizi wote huu kweli Watanzania tuko gizani.

Soma familia ya Nyerere inanyomuzania Mkapa.

Google Groupes
 
Rais angekuwa anaitakia mema hii nchi,angeipitisha katiba ya Warioba.
Hawa wakina mkapa ma wezi wengine wangeshughulikiwa vizuri.
 
Kwenye mchanga wa madini Serikali ya CCM inastahili kuwajibika kwa watanzania kwa kuwaingiza wananchi wake kwenye mikataba mibovu iliyoliingza taifa kwenye hasara kubwa. Lazma CCM ibebe lawama hizi kwa kushindwa kuisimamia nchi. Na mikataba minhine yote ya kimataifa iwekwe wazi ili wananchi wajionee nchi yao ilivyotafunwa kwa miaka 50 na ushee.
 
Tumeanza Safari, tuko na wewe
Naungana na wale wote wanaoshangilia uamuzi wa kishujaa wa Rais wa Tanzania kupitia chama cha CCM. Pamoja na reservations nyingi zangu na za watu wengine, kitendo chake cha jana kimeamsha matumaini yaliyokufa, ndani yangu. Kwa wanaosema eti ni Dowans nyingine, wamepitwa na wakati, kama wakati wa Dowans JK asingekuwa emajichanganya na wakina Rostam basi Tanzania ingepona kama itakavyopona sasa. Kwa ujasiri wa Magufuli na sisi wengine japo ni kenge kwenye msafara wa Mamba, hakuna atakayetuburuza, kwani Gadafi na Fidel Castro waliwezaje? hivi kwa leo hii kuna namna yoyote Trump na Putin watakubaliana na upumbavu wa mabeberu hao, madalali wa uchumi wa Tanzania kama kina Mkapa? W

Benjamin William Mkapa, Jasusi, Dalali na Adui # 1 wa Tanzania
Wakati Muhongo na kiburi chake anawajibishwa, Lazima Benjamin Mkapa nae ajumlishwe kama mtuhumiwa namba moja kwenye janga hili. Ninakumbuka wazi wakati huo bwana Lyatonga Mrema aposhangaa inakuwaje Mkapa anapewa mzinga wa jiwe la Dhahabu, eti zawadi na Mrema alishangaa zawadi iliyokuwa nzito kuliko mfuko w cement ambapo lijitu la miraba minne kama Mkapa lilishindwa kuibeba, anapeleka wapi? Hich ndicho chanzo.

Lyatonga Mrema na vita ya Ufisadi wa Mikataba ya Dhahabu
Ni kwa vile tu huyu bwana amechalala na yuko hoi ndip maana ujasiri wake umepotea. Huyu kiongozi ndio alikua wa kwanza kushitukio udadali wa wakina Mkapa, lakini tukampuuza. Leo hii yametufika tunakosa hata kumnukuum na yeye kwa sababu ya kujipendekeza hana nguvu ya kukumbusha. Wananchi tumehamasika, Wezi tunawajua, tofauti na hao madalali wa uchumi wetu, tunaye mfunga paka kengele, anachohitaji ni sisi kusimama nae. Umenza vema, lakini kuna viporo vimalizie kazi. Tunashukuru tunaona dalili njema, Mwanaidi Maarja alipewa ubalozi kwa kukuwadia na kusimamia majambazi wa Dowans, why? tunataka justice, nao wapelekwa mahakamani na kufilisiwa, kujiuzulu kwa huyo Jaji partner wao hakuna Tija washitakiwe, na tuendelee kupiga magoti mungu aendelee kuwaonyesha maana wanachokipitia tayari ni dalili kuwa maombi yanajibu. Tunataka tume ya kuchunguza Kiwira Coal Mining, Mbarali Rice Farm, Mwanza leather company ambako wakina Rostam wamefungua mashine zetu za mamilioni na kufunga majengo, jamaniiiii acheni Rais atoe machozi.

Issue hapo wote wafukuliwe MAKABURI yao haya yeye afukue ya kwake ,kama anataka kuwa msafi aanze kurejsha vyote alivyokwapua,kuanzia zile Bilioni nane,vile vihoteli alivyojengewa kule,aombe radhi watanzania,na yule jamaa yake RC wa Dar naye achukuliwe hatua za kinidhamu,maana panapofuka moshi,moto utakuja.

Bila hivyo hili sakata ni sinema itakayoishia na kufukuza vimende na kuacha mipanya.
 
Alikuwa kalala kimyaa leo ndio anajifanya ameamka.
Halafu Watanzania wanasherehekea maigizo haya hata bilankuhoji mswali ya msingi kabisa.

Kama kweli tumepigwa, Magufuli yukobresponsibke tangu akiwa Waziri.

Na yuko responsibke zaidi kwa kila siku aliyokuwa rais mpaka aliposimamisha.
 
Mrema alikuwepo jana ikulu wakawasiliana na raisi
hizi harakati za mikataba mibovu ya madini alianzisha mrema na tundu lissu miaka ya tisini mwishoni
 
Tumeanza Safari, tuko na wewe
Naungana na wale wote wanaoshangilia uamuzi wa kishujaa wa Rais wa Tanzania kupitia chama cha CCM. Pamoja na reservations nyingi zangu na za watu wengine, kitendo chake cha jana kimeamsha matumaini yaliyokufa, ndani yangu. Kwa wanaosema eti ni Dowans nyingine, wamepitwa na wakati, kama wakati wa Dowans JK asingekuwa emajichanganya na wakina Rostam basi Tanzania ingepona kama itakavyopona sasa. Kwa ujasiri wa Magufuli na sisi wengine japo ni kenge kwenye msafara wa Mamba, hakuna atakayetuburuza, kwani Gadafi na Fidel Castro waliwezaje? hivi kwa leo hii kuna namna yoyote Trump na Putin watakubaliana na upumbavu wa mabeberu hao, madalali wa uchumi wa Tanzania kama kina Mkapa? W

Benjamin William Mkapa, Jasusi, Dalali na Adui # 1 wa Tanzania
Wakati Muhongo na kiburi chake anawajibishwa, Lazima Benjamin Mkapa nae ajumlishwe kama mtuhumiwa namba moja kwenye janga hili. Ninakumbuka wazi wakati huo bwana Lyatonga Mrema aposhangaa inakuwaje Mkapa anapewa mzinga wa jiwe la Dhahabu, eti zawadi na Mrema alishangaa zawadi iliyokuwa nzito kuliko mfuko w cement ambapo lijitu la miraba minne kama Mkapa lilishindwa kuibeba, anapeleka wapi? Hich ndicho chanzo.

Lyatonga Mrema na vita ya Ufisadi wa Mikataba ya Dhahabu
Ni kwa vile tu huyu bwana amechalala na yuko hoi ndip maana ujasiri wake umepotea. Huyu kiongozi ndio alikua wa kwanza kushitukio udadali wa wakina Mkapa, lakini tukampuuza. Leo hii yametufika tunakosa hata kumnukuum na yeye kwa sababu ya kujipendekeza hana nguvu ya kukumbusha. Wananchi tumehamasika, Wezi tunawajua, tofauti na hao madalali wa uchumi wetu, tunaye mfunga paka kengele, anachohitaji ni sisi kusimama nae. Umenza vema, lakini kuna viporo vimalizie kazi. Tunashukuru tunaona dalili njema, Mwanaidi Maarja alipewa ubalozi kwa kukuwadia na kusimamia majambazi wa Dowans, why? tunataka justice, nao wapelekwa mahakamani na kufilisiwa, kujiuzulu kwa huyo Jaji partner wao hakuna Tija washitakiwe, na tuendelee kupiga magoti mungu aendelee kuwaonyesha maana wanachokipitia tayari ni dalili kuwa maombi yanajibu. Tunataka tume ya kuchunguza Kiwira Coal Mining, Mbarali Rice Farm, Mwanza leather company ambako wakina Rostam wamefungua mashine zetu za mamilioni na kufunga majengo, jamaniiiii acheni Rais atoe machozi.

Story hii ni ya majonzi makubwa, kawaida Viongozi wanaopigania haki kwa wote tunawapuuza wanakosa support mpaka wanaishiwa na NGUVU. Tunawashangilia Viongozi wezi, wenye ubinafsi ni kama tumezibwa masikini na tumefunikwa macho. Nakubaliana na wewe Mkapa ni jeuri na mwenye zarau. Zarau alimuuonyesha hata baba wa Taifa Nyerere. Nyerere alifariki akiwa na majonzi makubwa ya vitendo vilivyofanywa na Mkapa. Mkapa ni mmoja wa maadui number 1 ya Watanzania.
 
Tumeanza Safari, tuko na wewe
Naungana na wale wote wanaoshangilia uamuzi wa kishujaa wa Rais wa Tanzania kupitia chama cha CCM. Pamoja na reservations nyingi zangu na za watu wengine, kitendo chake cha jana kimeamsha matumaini yaliyokufa, ndani yangu. Kwa wanaosema eti ni Dowans nyingine, wamepitwa na wakati, kama wakati wa Dowans JK asingekuwa emajichanganya na wakina Rostam basi Tanzania ingepona kama itakavyopona sasa. Kwa ujasiri wa Magufuli na sisi wengine japo ni kenge kwenye msafara wa Mamba, hakuna atakayetuburuza, kwani Gadafi na Fidel Castro waliwezaje? hivi kwa leo hii kuna namna yoyote Trump na Putin watakubaliana na upumbavu wa mabeberu hao, madalali wa uchumi wa Tanzania kama kina Mkapa? W

Benjamin William Mkapa, Jasusi, Dalali na Adui # 1 wa Tanzania
Wakati Muhongo na kiburi chake anawajibishwa, Lazima Benjamin Mkapa nae ajumlishwe kama mtuhumiwa namba moja kwenye janga hili. Ninakumbuka wazi wakati huo bwana Lyatonga Mrema aposhangaa inakuwaje Mkapa anapewa mzinga wa jiwe la Dhahabu, eti zawadi na Mrema alishangaa zawadi iliyokuwa nzito kuliko mfuko w cement ambapo lijitu la miraba minne kama Mkapa lilishindwa kuibeba, anapeleka wapi? Hich ndicho chanzo.

Lyatonga Mrema na vita ya Ufisadi wa Mikataba ya Dhahabu
Ni kwa vile tu huyu bwana amechalala na yuko hoi ndip maana ujasiri wake umepotea. Huyu kiongozi ndio alikua wa kwanza kushitukio udadali wa wakina Mkapa, lakini tukampuuza. Leo hii yametufika tunakosa hata kumnukuum na yeye kwa sababu ya kujipendekeza hana nguvu ya kukumbusha. Wananchi tumehamasika, Wezi tunawajua, tofauti na hao madalali wa uchumi wetu, tunaye mfunga paka kengele, anachohitaji ni sisi kusimama nae. Umenza vema, lakini kuna viporo vimalizie kazi. Tunashukuru tunaona dalili njema, Mwanaidi Maarja alipewa ubalozi kwa kukuwadia na kusimamia majambazi wa Dowans, why? tunataka justice, nao wapelekwa mahakamani na kufilisiwa, kujiuzulu kwa huyo Jaji partner wao hakuna Tija washitakiwe, na tuendelee kupiga magoti mungu aendelee kuwaonyesha maana wanachokipitia tayari ni dalili kuwa maombi yanajibu. Tunataka tume ya kuchunguza Kiwira Coal Mining, Mbarali Rice Farm, Mwanza leather company ambako wakina Rostam wamefungua mashine zetu za mamilioni na kufunga majengo, jamaniiiii acheni Rais atoe machozi.
Naunga mkono hoja makaburi lazima yafukuliwe ili twende sawa. Hii mikataba toka enzi za BWM. Barrick ikiitwa Placerdome enzi hizo. Hawa wakina malima wote viburi wamevipatia wizara ya madini.

Raisi kusikia uchungu na kulalamika haitotisaidia sana lazima wahusika waliotupeleka hapa wawajibishwe. Alihojiwa Kamishna wa Takukuru akasema Jinai haiozi na ufisadi hauozi utakuja siku itashitakiwa tuu.

Yupo askofu wa jimbo la kusini wa Anglicana aliuliza swali la mwisho pale ukumbini Je waliotufikisha hapa huko nyuma watashughulikiwa??
 
Benjamin William Mkapa, Jasusi, Dalali na Adui # 1 wa Tanzania
Wakati Muhongo na kiburi chake anawajibishwa, Lazima Benjamin Mkapa nae ajumlishwe kama mtuhumiwa namba moja kwenye janga hili. Ninakumbuka wazi wakati huo bwana Lyatonga Mrema aposhangaa inakuwaje Mkapa anapewa mzinga wa jiwe la Dhahabu, eti zawadi na Mrema alishangaa zawadi iliyokuwa nzito kuliko mfuko w cement ambapo lijitu la miraba minne kama Mkapa lilishindwa kuibeba, anapeleka wapi? Hich ndicho chanzo.

Mrema alishangazwa sana na aina ya kinyago walicho mzawadia Benjamin Mkapa...

....Mbona kinyago kizito sana...

Ile ilikuwa taktrima kwa kukubali kuingia nao mkataba ambao walijua watapiga hii nchi kwa muda mrefu
 
Kwenye mchanga wa madini Serikali ya CCM inastahili kuwajibika kwa watanzania kwa kuwaingiza wananchi wake kwenye mikataba mibovu iliyoliingza taifa kwenye hasara kubwa. Lazma CCM ibebe lawama hizi kwa kushindwa kuisimamia nchi. Na mikataba minhine yote ya kimataifa iwekwe wazi ili wananchi wajionee nchi yao ilivyotafunwa kwa miaka 50 na ushee.

Sio chama kibebe lawama, Viongozi waliokuwepo wakati huo. Kuna watu ndani ya CCM hawakukubaliana na mikataba hii ikiwa pamoja na baba wa Taifa Nyerere, lakini Watu kama Mkapa waliposhika madaraka wakaifanya Tanzania kama Mali yao binafsi. Hawakumdikiliza mtu yeyote. Mtanzania mmoja ama kumi wakifanya vibaya haiwezekani kuwalaumu Watanzania wote. Aliyegundua wizi Huu ni Rais ambaye ametoka kwenye chama cha CCM. Huu ni Wakati wa kuungana Watanzania wote bila ya kujali chama. Kwa sauti moja ikiwezekana Watu kama Mkapa tuwaone mahakani,
 
Back
Top Bottom