Vyovyote iwavyo ila response ya ACACIA ina statement inasema, nanukuu;
"If the amount of gold in our concentrates was in line with the Committee findings, then it implies that both Bulyanhulu and Buzwagi would produce more gold than any other mine in the world. Sadly this is not the case."
Ni jukumu sasa la Mruma na Kamati yake ku-prove hilo; kuishawishi dunia kwamba migodi miwili hiyo (combined) inaongoza kwa kuzalisha dhahabu duniani. Vinginevyo, takwimu zao ni za kutilia mashaka; and sooner or later, "raha" waliyotupa watanzania itapotea ghafla kama umande wa asubuhi.
Huyo anahusika na kila kitu kuhusu utandawazi
Hapo tutashindwa kabla hata ya kuanza. Wahusika walijificha kwa kivuli cha chama. Chama kinawaumbua tupambane na hao waliotufikisha hapa. Tukumbuke Tanzania inataka kwanza nidhamu ya utumishi wa umma ili hata siasa zikae sawa. Chama dola kitatumia walewale kutawala hata kama ni upinzaniCCM yote inahusika.........dawa pekee ni kuiweka pembeni, wizi upo kila kona, Katiba mupya ni muhimu sana.
Hapo tutashindwa kabla hata ya kuanza. Wahusika walijificha kwa kivuli cha chama. Chama kinawaumbua tupambane na hao waliotufikisha hapa. Tukumbuke Tanzania inataka kwanza nidhamu ya utumishi wa umma ili hata siasa zikae sawa. Chama dola kitatumia walewale kutawala hata kama ni upinzani