Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
who cares?Well researched speech flows well but does he talk the talk and walk the walk?mmhh
kule kwenye thread ya waraka kuna sehemu sikonge kakwambia ukiacha udini huwa unaandika vitu vya maana hata mimi kuna thread nilishawahi kukwambia hivyo. Hapa pia umedhihirisha hivyo lakini sijui kama hujasukumwa na Ukatoliki wa mkaa Hapa. Kwangu mimi sijali rangi ya paka bora akamate panya. Kwa hapa umenena kweli nakuunga mikono na vidole.akilia zake nyingi ni for evil deeds, uwizi, ujeuri, corruption etc..so akiweza kuandika vizuri inasaidia nini? lol..tina unajipendekeza bila aibu.
No doubt Mkapa is good in English speech next to Mwalimu among the 4 presidents. Remember English is our second language if not third.
This question would be fit for the fore quatationwho cares?
Watu wote tungekuwa tunafikiri kama wewe bilaa shaka ungetakiwa kuwa peke yako duniani.Wabongo mmezoea kuponda, na hata angekua nani mtaponda tu...Muwe mnajaribu kusema hata ambacho kizuri, mmnakatisha tamaa na mnakera kabisa.
katiba ya URT inakuruhusu kutoa maoni yako, hayo juu ni maoni yako.kule kwenye threas ya waraka kunasemu sikonge kakwambia ukiacha udini huwa unaandika vitu vya maana hata mimi kuna thread nilishawahi kukwambia hivyo. Hapa pia umedhihirisha hivyo lakini sijui kama hujasukumwa na Ukatoliki wa mkaa Hapa. Kwangu mimi sijali rangi ya paka bora akamate panya. Kwa hapa umenena kweli nakuunga mikono na vidole.
This question would be fit for the fore quatation
Watu wote tungekuwa tunafikiri kama wewe bilaa shaka ungetakiwa kuwa pke yako duniani.
Hapo mkuu umesema sahihi kabisa, si kuzunguka na kujaa majungu majungu tu.Kama haya aliyosema angekuwa ameyafanya kwa dhati basi leo ningelimuona ni role model wa kweli. Lakini hakuacha mifano mizuri ya kuigwa kwasababu ya corruption aliyoilea wakati wa madaraka yake.
Asubuhi ulisema hayo hapo juu. Jioni ukasema hayo hapo chini,Ni aje hapo una ubongo wa ndege ama vipi?Wabongo mmezoea kuponda, na hata angekua nani mtaponda tu...Muwe mnajaribu kusema hata ambacho kizuri, mmnakatisha tamaa na mnakera kabisa.
Hapo mkuu umesema sahihi kabisa, si kuzunguka na kujaa majungu majungu tu.
Rudia tena kusoma post yangu utaona nimesema wote hatuwezi kufikiri kama wewe. Ama mimi ningekuwepo na wewe usingekuwa na haja ya kuwepo ama kinyume chake.katiba ya URT inakuruhusu kutoa maoni yako, hayo juu ni maoni yako.
Ametoa changamoto ambayo hata yeye inamwuhusu..Huo ndio uongozi wakuweza kujadili hata mapungufu ambayo unahusika nayoo..He posed this question skillfully "When I was given the invitation to make these remarks I decided to ask the alumni, but especially the graduating classes of the nineteen sixties, my contemporaries. What kind of a future have we built? How have we lived to our education mottos injuction?
Unfortunately.. he miserably failed to answer it
Bwa mdogo, wewe ndo ubongo wako mdogo, labda uwelewaji wako ndo mdogo sifaham....HOJA ILIYOPO HAPA NI SPEECH YA BEN...NILICHOKISIFU HAPO JUU NI SPEECH YA BEN. JAMAA MWINGINE AKAJA NA KUSEMA THOUGH SPEECH NI NZURI, ANAKABILIWA NA TUHUMA.Asubuhi ulisema hayo hapo juu. Jioni ukasema hayo hapo chini,Ni aje hapo una ubongo wa ndege ama vipi?
Rudia tena kusoma post yangu utaona nimesema wote hatuwezi kufikiri kama wewe. Ama mimi ningekuwepo na wewe usingekuwa na haja ya kuwepo ama kinyume chake.
Huyu ndo ajatoka off topic kajibu kuhusu spch, akamcompare na aliyoyasema, ndo maana nikamgonga thanks na big up, sio kuja kutoatoa majungu tu hapa.Kama haya aliyosema angekuwa ameyafanya kwa dhati basi leo ningelimuona ni role model wa kweli. Lakini hakuacha mifano mizuri ya kuigwa kwasababu ya corruption aliyoilea wakati wa madaraka yake.
Tatizo la watanzania, ukisifu kizuri unakua enemy of the people...sijui ndo MIAFRIKA NDIVYO TULIVYO?.me memkubali Ben kwa spch yake nzuri....watu wameshindwa kuiondoa CCM, wanabaki kuponda tu kila kitu...Tukubali tukatae, kila binadamu aliyezaliwa na mwanamke ana mapungufu yake!! Je wewe huna mapungufu? Mimi ninayo na ninajaribu kuya overcome ( as long as I know my weakest parts, accepting them and deal with them). Tunachotakiwa ni kuyafahamu na kuyatendea kazi, trying to minimize them if not get rid of them!!!
Mkapa in comparison na viongozi wengine ana mapungufu yake na strengths zake. Nafutilia mbali mapungufu yake, generally ni kiongozi mzuri na anaelewa mambo. Ni mchambuzi wa mambo na si mtu wa safari tu!!! Hebu mwenye taarifa ya expendiutres zake za safari wakati wake alinganishe na sasa ( of course tuweke na price incremental factor). Pia alikuwa na safari za tija!!!!
Alikuwa na authority hata katika speech zake kwa wananchi na si ubabaishaji. Huyu ni mtu wa speech za maana. Kubali au kataa ni hiari yako. God bless Tanzania and its people. Let us be objective not blaming all the time. Penye mazuri tuseme jamani.
Angekuwaa yeye ndo tatizoo leo hayupo madarakani tungekuwa na ahueni...Bora asiyejua kiingereza akawa na moyo safi wa uzalendo na matendo mema! Akili za darasani hazina uhusiano na uongozi na busara, na hakima za kuongoza watu. Makapa was supposed to be languishing in jail, Mungu amlaani kwa kudhuluma machozi ya yatima wa TZ. Alitakiwa anyongwe akiwa uchi! Nchi haina sheria hii!
who is more worse aliyeuza madini kajenga barabara na anayeuza sasa kwa bei hiyo hiyo na kutumia kwenye bembea ughabuni?Bora asiyejua kiingereza akawa na moyo safi wa uzalendo na matendo mema! Akili za darasani hazina uhusiano na uongozi na busara, na hakima za kuongoza watu. Makapa was supposed to be languishing in jail, Mungu amlaani kwa kudhuluma machozi ya yatima wa TZ. Alitakiwa anyongwe akiwa uchi! Nchi haina sheria hii!