Elections 2010 Mkapa, Malecela, Sumaye wamkimbia Kikwete

These bunch of thives, let them avoid one another!!!
 
Sera za JK za kuwatumia wenzie kwa manufaa yake sasa zimemfika vilivyo. Pia kauli zake kampeni za uraisi ni suala la kifamilia limechochea kabisa. Hivi tunahitaji ushahidi gani mwingine wa ziada?

 
Kubenea Mwana wa Mwanahalisi, historia yako inafahamika. Mimi nadhani, kama kweli hayo ndio yaliyotokea ndani ya CCM, basi wazee wamtose waziwazi tu, wajipange waongee na wenyeviti wa mikoa wa chama ambao asilimia kubwa ni wazee kama wao, kisha wambwage chini Komredi wao. Au la, watangaze kuhamia CHADEMA.
 
duh! mwaka huu tutazichapa! mporomoko wote huu wa maadili na ulafi watu bado wanang'ania ikulu! sikio la kufa halisikii dawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…