Mkapa ni mtu wa Msumbiji??

Mkapa ni mtu wa Msumbiji??

Mkitaka kutafuta asili ya Mtanzania halisi zaidi ya 70% watakuwa watu wa kuja.
 
Mi hapa chichemi mwicho watachema anakula na wale wanyama wale we umesahau!!
 
Mi nadhani hoja ya jamaa si kumpokonya uraia. nia yake ni kuona kuna ukweli wowote kwenye madai haya.thats why kataka mwenye kumbukumbu ya tuhuma hizi amkumbushe. mbona watu mmeanza kuihusisha na urais? sijaona aliyejibu chochote,ukweli ni kwamba jamaa anataka akumbushwe. hukumbuki au hutaki kukumbushwa ok.lkn mwache jamaa akumbushwe.

So what?
 
Sina lengo baya la kutaka kujua asili ya huyu bwana!hii inatokana na kumshangaa kulikopitiliza kwa maovu aliyoyafanya hasa yale ya kuruhusu biashara ya silaha- kama tulivyoisoma ripoti ya meremete na mambo mengine mengi ya kutia aibu.
wapo wengi waliotolewa mifano ya nyerere kuwa mtusi au obama kuwa mkenya lakini mimi nawakumbusha hawa watu hawakutoka hizo nchi zao asilia wakiwa wazima'yaani wameshazaliwa, it either mababu zao ndiyo walikuwa wazaliwa wa nchi husika na wao kufanyiwa featuring na mmoja wa wazazi.kwa mfano nyerere ni mababu zake ndiyo wana uasilia na tabia za kitusi na si nyerere aliyekwishafanyiwa featuring.
yote ni kujaribu kuonyesha kuwa kama mkapa angekuwa featuring asingekuwa mtemi, asiye shaurika fisadi wa hali yajuu..kwa asili watanzania ni waoga wa kumwangamiza mtanzania mwenzake kweupe..am telling u pale tulichemsha
 
Huyo shetani alimnyan'ganya Ulimwengu uraia wakati yeye ni wakuja tu.
 
Mi nadhani hoja ya jamaa si kumpokonya uraia. nia yake ni kuona kuna ukweli wowote kwenye madai haya.thats why kataka mwenye kumbukumbu ya tuhuma hizi amkumbushe. mbona watu mmeanza kuihusisha na urais? sijaona aliyejibu chochote,ukweli ni kwamba jamaa anataka akumbushwe. hukumbuki au hutaki kukumbushwa ok.lkn mwache jamaa akumbushwe.
Wewe unaehoji wapi watu wametokea umelifanyia ni la maana taifa hili?
 
Back
Top Bottom