Makalangilo
Senior Member
- Mar 9, 2009
- 130
- 18
Mi nadhani hoja ya jamaa si kumpokonya uraia. nia yake ni kuona kuna ukweli wowote kwenye madai haya.thats why kataka mwenye kumbukumbu ya tuhuma hizi amkumbushe. mbona watu mmeanza kuihusisha na urais? sijaona aliyejibu chochote,ukweli ni kwamba jamaa anataka akumbushwe. hukumbuki au hutaki kukumbushwa ok.lkn mwache jamaa akumbushwe.
Wewe unaehoji wapi watu wametokea umelifanyia ni la maana taifa hili?Mi nadhani hoja ya jamaa si kumpokonya uraia. nia yake ni kuona kuna ukweli wowote kwenye madai haya.thats why kataka mwenye kumbukumbu ya tuhuma hizi amkumbushe. mbona watu mmeanza kuihusisha na urais? sijaona aliyejibu chochote,ukweli ni kwamba jamaa anataka akumbushwe. hukumbuki au hutaki kukumbushwa ok.lkn mwache jamaa akumbushwe.