Mkapa: Yote yanayosemwa juu yangu namuachia Mungu

Mkapa: Yote yanayosemwa juu yangu namuachia Mungu

Wote wanaombeza Mkapa ni maadui wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Miafrika ndivyo ilivyo siku zote itasifia hata vitu visivyostahili kusifiwa. Mkapa angekuwa kwenye dunia ya kwanza, zamani angeshaburuzwa mahakamani kwa ufisadi wake na labda angekuwa ameshafilisiwa na ili kulipa deni lake kubwa kwa Taifa lakini kwenye hii nchi ya kichwa cha mwendawazimu bado wengi wanamuona Mkapa ni shujaa!!! Wacha Tanzania ibaki nyuma kimaendeleo. Kweli Miafrika ndivyo ilivyo kama alivyojisemea Julius.
 
Hili la kwako ni Chuki Binafsi uliyonayo baada ya yeye kutokupa Uongozi kipindi chake.

Ukistaajabu ya Mussa! Kweli utaona ya firauni!. Kwa hiyo kwa akili yako wewe yeyote yule anayemsema Mkapa na yale mabaya aliyoyafanya akiwa Ikulu basi alinyimwa uongozi na huyo Fisadi wa Tanzania!!!! ha ha ha ha...LOL! Na wewe unayempigia debe ulipewa nafasi ya uongizi ndiyo maana unampigia debe!!!! KIGUMU CHAMA CHA MAFISADI! KIGUMU!
 
Miafrika ndivyo ilivyo siku zote itasifia hata vitu visivyostahili kusifiwa. Mkapa angekuwa kwenye dunia ya kwanza, zamani angeshaburuzwa mahakamani kwa ufisadi wake na labda angekuwa ameshafilisiwa na ili kulipa deni lake kubwa kwa Taifa lakini kwenye hii nchi ya kichwa cha mwendawazimu bado wengi wanamuona Mkapa ni shujaa!!! Wacha Tanzania ibaki nyuma kimaendeleo. Kweli Miafrika ndivyo ilivyo kama alivyojisemea Julius.

Na wewe ndivyo ulivyo na Chuki zako binafsi kwa Mkapa na wale waliokunyima uongozi kipindi chake. Wewe ulie tu.
 
Mkapa bashing, if this is what it is -I see it more as truth telling and setting the record straight- is quite a necessary step for several reasons.

In order to build successive and sustainable governance, we need to realize our past mistakes and address them squarely.This will not only give us perspective, but we need to do so in order to set precedents, precedents need records.Hata kama hatuwezi kumfunga (debatable,ile presidential immunity ina apply kwenye official presidential business, kwa hiyo hawezi kushitakiwa kwa mauaji ya January 27 kwa sababu alisaini kama Ben W. Mkapa, president of Tanzania, na ananweza kushitakiwa kwa uporaji wa Kiwira kwa sababu alisign kama ben W. Mkapa, mtu binafsi) but let's say the practicality of the situation says he will never see a trial, you always have the trial of public opinion, which is where JF comes to play. Yeye ana nafasi kubwa ya kuita press conference na kujitetea, lakini kaamua kusema anamwachia mungu, which is typical of mafisadi na mafarisayo wanaotaka kujionyesha wacha mungu kuliko walivyo.

Kumsema Mkapa na mafisadi wenzake si vizuri na haki tu, ni wajibu.
Nakubaliana 100% nawewe mkuu katika hili.
Tatizo kubwa la Mkapa ni ile macho image anayofikiri anayo, hataki kuomba radhi ili historia imhukumu lightly
 
Uzuri wenyewe hao mnaowasema kwamba ni mafisadi, wala hawakosi usingizi kwa maneno haya.
 
Na wewe ndivyo ulivyo na Chuki zako binafsi kwa Mkapa na wale waliokunyima uongozi kipindi chake. Wewe ulie tu.

LOL! Kwa akilia yako fupi unadhani kila mtu anataka kufanya kazi serikalini!!!...LOL! wewe ndiyo bado kweli adui mkubwa wa Watanzania!
 
ukistaajabu ya mussa! Kweli utaona ya firauni!. Kwa hiyo kwa akili yako wewe yeyote yule anayemsema mkapa na yale mabaya aliyoyafanya akiwa ikulu basi alinyimwa uongozi na huyo fisadi wa tanzania!!!! Ha ha ha ha...lol! Na wewe unayempigia debe ulipewa nafasi ya uongizi ndiyo maana unampigia debe!!!! Kigumu chama cha mafisadi! Kigumu!

kidumu chama cha mapinduzi
kidumu chama tawala hadi miisho ya nyakati.
 
LOL! Kwa akilia yako fupi unadhani kila mtu anataka kufanya kazi serikalini!!!...LOL! wewe ndiyo bado kweli adui mkubwa wa Watanzania!

Ungekuwa na "Akili zisizokuwa fupi" usingeliandika unayoandika

Nyerere ni Shujaa wa Tanzania
Mwinyi ni Shujaa wa Tanzania
Mkapa ni Shujaa wa Tanzania
Kikwete ni Shujaa wa Tanzania

CCM Hoyee.
 
Uzuri wenyewe hao mnaowasema kwamba ni mafisadi, wala hawakosi usingizi kwa maneno haya.

Mrembo, hakuna anayewasema hawa kwa nia ya kuwakosesha usingizi bali kusema kile kinachojiri ndani ya nchi yetu ambacho kinachangia sana katika kutopata maendeleo ya kuridhisha miaka nenda miaka rudi pamoja na kujaliwa rasilimali chungu nzima na kupata misaada na mikopo toka mashirika mbali mbali ya kimataifa na nchi mbali mbali za wahisani. Walale usingizi tani yao lakini nafsi zao zinawasuta kwa ufisadi mkubwa wanaoufanya dhidi ya nchi yetu.
 
LOL! Kwa akilia yako fupi unadhani kila mtu anataka kufanya kazi serikalini!!!...LOL! wewe ndiyo bado kweli adui mkubwa wa Watanzania!

Hebu elezea kuhusu ufupi na urefu wa akili?


Kidumu Chama Cha Mapinduzi

Kidumu Chama Tawala hadi miisho ya Nyakati

CCM ni Nambari Wani.
 
Kitu ninachoweza kuhitimisha katika hii ishu ya Mkapa ni kuwa Tanzania ilivyo sasa hivi .... ni ngumu kuwa na uongozi utakaorudisha imani ya Watanzania bila kufanya mapinduzi ya kifikra kwa wote wanaoongozwa na wale wenye kuongoza na nitatoa sababu:
1. Mifumo ya utawala imeshaingia sumu mbaya sana ya rushwa, ubinafsi, kutokujali uadilifu, kutokumuogopa Mungu n.k.Sumu hii ubaya wake kuitibu sijui tutatumia antidote ya namna gani maana ni complex sana na inaua polepole na kwa wingi!

2. Watanzania by their very nature, ni watu wa kuridhika na kila kitu japo kwa kupiga kelele behind closed doors ni mabingwa sana.Utashangaa ni watu wachache wenye kuja na ufumbuzi wa kufaa kutatua matatizo.Tuko wazuri mno kwenye kukosoa na kuimba ngonjera za lawama.... baada ya hizi ngonjera nini kifanyike? Wengi hatujui!

3.Uongozi na utawala ( Administration and Governance) kama dhana bado haijaeleweka kwa undani na watanzania wengi. Most of us tunazungumzia utawala bora kama vile ni katawi fulani kanakotakiwa kushughulikiwa na mtu mmoja au watu fulani huku wengine wakitazama kuona matokeo. Uongozi na utawala ni dhana tofauti japo zinahusiana kwa karibu mno. Uongozi ni wa wote - kila mtu alipo ni kiongozi - iwe kwenye familia, kwenye jamii, kwenye serikali, kwenye sekta binafsi maana uongozi ni pamoja na mifumo, fikra, wepesi wa kushiriki kwa namna moja ama nyingine katika kutoa maamuzi, kutatua migogoro, kuchagua viongozi watakaotuwakilisha n.k. Utawala ni kusimamia haya yote.Hii ni kwa kifupi na very simplistic.Kama sisi wenyewe hatuko makini kujichagulia wenye kutuwakilisha kwa dhati,na badala yake tukajishughulisha zaidi kuchagua wenye kujiwakilisha wenyewe, tunategemea nini?..Kama sisi wenyewe kama wananchi, fikra zetu ni za umimi, za kupata mali kiujanjajanja kupitia rushwa, dhuluma,utapeli, n.k. tunatoa wapi moral legitimacy hata kuwaadhibu wale wenye kutukosea? Tunatoa wapi mamlaka ya kuwawajibisha wale wasiokuwa waadilifu? Kama sisi wenye tunakaa pembeni na kuangalia kama vile tunatizama tamthilia ili mambo yakiwa mabaya tulaumu, basi tuendelee kucheza role ya spectator hadi mwisho wa wakati!

Ukiangalia serikali inayoongoza katika kipindi chochote kile tupende tusipende ni reflection yetu sisi wenyewe kwa vile sisi ndio tuliowachagua kupitia kura zetu. Kama ni wabovu maana yake sisi wananchi tuna ubovu fulani.Kuna watakaosema kuwa hawakuwachagua kwa vile hawakupiga kura. FINE! Je, unajua kutokupiga kura nako ni uzembe? Ungepiga kura si ajabu ingeleta tofauti.

All in all...... tujiandae sana kuendelea kuibiwa na kufisadiwa kama fikra zetu zitaendelea kuwa zilezile zenye kuatamia mienendo mibovu.
 
Nambari Wani ni CCM
Hakuna kingine, angalieni mnavyosambaratika kwenye vyama vyenu

Yeah! Nambari one wa nini mbona husemi!?😉 ngoja nikukumbushe kama umesahau. Ni nambari one kwa ufisadi. Vyama vyenu na akina nani!? Wewe unadhani kila anayeandika hapa lazima awe ni mwanachama wa chama cha siasa Tanzania!? Wengine tunaipenda tu nchi yetu kwa mapenzi ya kweli na tunapopigania maslahi ya nchi yetu hatufanyi hivyo eti kwa sababu ni wanachama wa chama fulani cha siasa Tanzania. Na nyie CCM hamsabaratiki!? Au umesahau kwamba kuna makundi siku hizi ndani ya chama cha mafisadi na wanarushiana maneno ya ajabu ajabu tena hadharani. Kweli ukipenda, chongo utaenda kengeza! Kigumu chama cha mafisadi!
 
Hebu elezea kuhusu ufupi na urefu wa akili?


Kidumu Chama Cha Mapinduzi

Kidumu Chama Tawala hadi miisho ya Nyakati

CCM ni Nambari Wani.

Ndiyo kama hiyo ya kwako ambayo unashindwa kuitumia kama inavyostahili. Kwamba huwezi kuyasema mabaya ya Mkapa ila tu kama alikunyima nafasi ya uongozi, kitu ambacho hakina ukweli wowote ule. Na wale waliomnyima zawadi ya Mo Ibrahim sijui nao aliwanyima nini!
 
Yeah! Nambari one wa nini mbona husemi!?😉 ngoja nikukumbushe kama umesahau. Ni nambari one kwa ufisadi. Vyama vyenu na akina nani!? Wewe unadhani kila anayeandika hapa lazima awe ni mwanachama wa chama cha siasa Tanzania!? Wengine tunaipenda tu nchi yetu kwa mapenzi ya kweli na tunapopigania maslahi ya nchi yetu hatufanyi hivyo eti kwa sababu ni wanachama wa chama fulani cha siasa Tanzania. Na nyie CCM hamsabaratiki!? Au umesahau kwamba kuna makundi siku hizi ndani ya chama cha mafisadi na wanarushiana maneno ya ajabu ajabu tena hadharani. Kweli ukipenda, chongo utaenda kengeza! Kigumu chama cha mafisadi!

Mafisadi ni nyie mnaosambaratika kwa kugombania Ruzuku!

Kidumu Chama Cha Mapinduzi
Kidumu Chama Tawala Tanzania hadi miisho ya Nyakati
CCM ni Chama Dume!
CCM ni Nambari Wani kwa kiuongozi Afrika na Duniani.
 
Ungekuwa na "Akili zisizokuwa fupi" usingeliandika unayoandika

Nyerere ni Shujaa wa Tanzania
Mwinyi ni Shujaa wa Tanzania
Mkapa ni Shujaa wa Tanzania
Kikwete ni Shujaa wa Tanzania

CCM Hoyee.

Nyerere ni shujaa wangu pia pamoja na kuwa alikuwa na mapungufu yake kama binadamu hapo tutakubaliana siku zote. Yule alikuwa kiongozi makini aliyeweka maslahi ya Tanzania na Watanzania mbele. hakuwa mroho wa utajiri na kamwe hakutumia cheo chake kujitajirisha yeye, familia yake, ndugu, jamaa au marafiki zake, lakini hao wengine tunaujua ukweli wa mambo hata wewe unaujua lakini kwa vile fisadi Mkapa alikupa nafasi ya uongozi basi siku zote utampigia debe kama hayawani bila hata kutafakari unapiga debe la nini hasa.
 
Ndiyo kama hiyo ya kwako ambayo unashindwa kuitumia kama inavyostahili. Kwamba huwezi kuyasema mabaya ya Mkapa ila tu kama alikunyima nafasi ya uongozi, kitu ambacho hakina ukweli wowote ule. Na wale waliomnyima zawadi ya Mo Ibrahim sijui nao aliwanyima nini!

Ungekuwa na Akili ndefu usingalikuwa kama ulivyo.

Mo Ibrahim anatokea Sudani kwa wale wanaowanyanyasa Wa-Darfur

Na wewe na Chama Chako Mliosambaratika inaonekana mnatapatapa sasa kwa kumsema Mkapa.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi
 
Back
Top Bottom