Mpangwa,ndiyo kipindi chake ilikuwa na mafinikio
Yepi hayo Maendeleo, wakati Mwenyewe Mkapa ananukuliwa Akisema "Anaogopa kuongea bila kuweka rekkodi" na punde tu kadai ana sifa za Uongozi?. Si abainishe tu kuwa WaTz: MBICHI ni hizi KIWIRA, RADA, NDEGE nk na Mbivu ni hizi: USHURU, BARABARA, UWANJA WA MPIRA nk halafu tutaona ukurasa ataufunga vipi. Asialete za kuleta haya ni ya KAISARI na yaishie hapahapa kwa KAISARI!!