jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Nilienda semina Mtwara..nikalala lodge moja hivi..huko mitaa ya stendi ya zamani..mida kama ya sa6 usiku..niliguswa na mguso wa ajabu ambao sijawahi upata tangu ni zaliwe..huku nikiwa nimekabwa...daaah...nilipiga yowe kama nakata roho sijawahi lia vile..kuja kushtuka na kuwasha taa sioni kitu..baada ya muda mhudumu akaja kugonga kuuliza nini kimetokea..nika mweleza ni ndoto mbaya..nilikuja kusinzia badae sana..kesho yake nikasepa sikurudi kulala tena kwenye ile gest..
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app