Anastasia21
JF-Expert Member
- Jul 27, 2023
- 1,056
- 2,118
Sasa si kadogo ka 2000πππKwaio hii story wengine hatujazaliwa duh ππΎ
Damn kumbe watu ni mubabazπΉSasa si kadogo ka 2000πππ
ππDamn kumbe watu ni mubabazπΉ
Mkuu ; nimeisoma lakini dah! Hayo mambo mbona kama yanafikirisha sana? Ni ya kweli? Huku Mikoani hatuyasikii wala kuyaona. Niko interested sana nayo.Hao ata kwetu wapo mkuu yaan wapo wapo TU hawajui nn mana ya maisha na nn mana ya changamoto ndo mana kwao kila kitu n chai yanawaza kula TUπππ
Majambo mazito kama hayo hayajakukuta Wala kukusibu basi mshukuru Mungu Kwa Imani Yako,mana Kuna watu wanataabika nayoππ½Mkuu ; nimeisoma lakini dah! Hayo mambo mbona kama yanafikirisha sana? Ni ya kweli? Huku Mikoani hatuyasikii wala kuyaona. Niko interested sana nayo.
Mkuu; Naomba connection. If you cannot fight them, join them.Majambo mazito kama hayo hayajakukuta Wala kukusibu basi mshukuru Mungu Kwa Imani Yako,mana Kuna watu wanataabika nayoππ½