#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

IUPDATE: THURSDAY, 23rd JANUARY 2025

PATTERN ILIYOJITOKEZA KATI YA MEZA YA BWANA (MYB) AMBAYO HUWA INAFANYIKAMARA KWA MARA KANISANI KWA MHUSIKA NA GARI MBILI ZENYE RANGI NYEKUNDU


J2 ya tarehe 12/01/2025; KM-A alitangaza kuwa J2 iliyokuwa inayofuata ya tarehe 19/01/2025; kutakuwa na Meza ya Bwana (MYB) Kanisani hapo

Baada ya tangazo hilo kutoka, kesho yake J3 ya 13/01/2025, gari nyekundu ambayo huwa inakuja na kupaki kwenye block jirani analoishi mama wa kiroho wa mhusika, ilirudi tena na kuja kupaki pale

Gari hiyo ilikuwa imepotea pale kwa kipindi kirefu kiasi, na mara ile ya mwisho ilipokuwa imewahi kuonekana pale, ilikuwa ni baada ya MYB kuwa imefanyika Kanisa A

Ilipofika J2 ya tarehe19/01/2025, MYB ilifanyika pale Kanisa A kama ilivyokuwa imetangazwa na KM-A

Baada ya MYB kuwa imefanyika J2 hiyo, kesho yake J3 ya tarehe 20/01/2025, gari nyingine tena ya pili nyekundu, ilianza kuwa inakuja na kupaki kwenye mazingira ya ofisini kwa mhusika; na kwenye sehemu ambayo ni NO PARKING SPACE, pembezoni mwa barabara

  • Gari hiii nayo pia iliwahi kuonekana mara ya mwisho baada ya MYB kuwa imefanyika Kanisa A na hatimaye kupotea tena baada ya kuwa imepaki pale kwa siku moja au mbili hivi
  • Baada ya hapo, gari hii imekuja kuonekana tena wiki hii, baada ya MYB kuwa imefanyika J2 iliyopita
Katika hali ya kawaida, sehemu hii ya NO PARKING ambayo mara zote gari hii imekuwa ikipaki, magari yote ambayo huwa yanakamatwa yakiwa yamepaki pale, huwa yanatozwa faini ya papo kwa papo isiyopungua kiasi cha elfu 50

Picha iliyopo kwenye attachment hii hapa chini ni ya gari hiyo ambayo imekuwa ikifika kwenye mazingira ya ofisini kwa mhusika, kila inapotokea kuwa J2 iliyopita kulifanyika MYB Kanisa A

Uwezekano mkubwa pia ni kwamba gari hii si ya mtu ambaye ni mfanyakazi wa Taasisi husika bali ya mtu amnbaye huwa anatoka nje ya mazingira ya taasisi, isipokuwa huwa inakuja tu pale kwa lengo la kuitegesha gari hiyo kwenye sehemu ambayo itakuwa ni rahisi kwa mhusika kuweza kuiona




In the war between falsehood and truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
BY THE WAY: SWALI LA TAFAKURI YA MWAKA 2025

Nani aliwahi kubuni MAKINIKIA? Alikuwa na lengo gani?

In the war between falsehood and truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: FRIDAY, 24th JANUARY 2025
KUHUSIANA NA SWALA LA WATOTO KUANDIKA MATUSI KWENYE MITIHANI YAO YA MWISHO TAIFA

HUU NI MLOLONGO MWINGINE WA MATUKIO MENGINE YA WANAFUNZI AMBAYO NI YA KUTENGENEZWA KWA MAKUSUDI


Mlolongo wa matukio yasiyokoma ya wanafunzi kila mwaka kuandika matusi kwenye mitihani ya kuhitimu masomo yao ya kidato cha nne, yamekuwa kila mwaka yanatengenezwa kwa makusudi

Haya ni baadhi tu ya mojawapo ya matukio mengine mengi yanayohusiana na wanafunzi, ambayo mhusika amekuwa akiyaongelea humu kwa kipindi kirefu sasa

Matukio haya ya kuandika matusi kwenye mitihani yanarutubishwa somewhere kwa makusudi na watu wazima mahali fulani; na chances ni kwamba watoto hao, huwa wanalipwa

Kama yasingekuwa yanarutubishwa, yangekuwa yameshakoma, na aidha yangekuwa yamekoma kwenye ule mwaka wa kwanza tu wa kuanza kwake au ule uliofuata

Still, hali haiko hivyo na matukio haya yanaendelea kuongezeka mwaka hadi mwaka, kiasi kwamba kwa sasa yameshazoeleka na kuwa hali ya kawaida

Intention ya matuko haya ni kurusha pepo kwa wanafunzi, WAKIWEMO WANAFUNZI WA YESU

TUKIO JINGINE LA WANAFUNZI LILILOPITA SIKU ZA HVI KARIBUNI TU

Wananchi wanatakiwa walipongeze sana Jeshi la Polisi kwa tukio jingine la hivi karibuni lililohusisha kuchafuliwa kwa Shule moja binafsi ikiwa ni pamoja na wanafunzi wa shule hiyo iliyopo hapa jini dar es salaam

Tukio hilo nalo pia lilikuwa lina-operate kwenye code hii hii ya WANAFUNZI WA YESU isipokuwa safari hiyo mhusika mwishowe aliamua kukaa kimya

Bahati nzuri Jeshi la Polisi tayari lillishaubaini upumbavu huo na kutoa taarifa yake kwenye vyombo vya habari

BY THE WAY: SWALI LA TAFAKURI YA MWAKA 2025
Nani aliwahi kubuni MAKINIKIA? Alikuwa na lengo gani?

In the war between falsehood and truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
SENIOR MSTAAFU WA KIUME (SMME) NA MICHAKATO MIWILI YA CURRICULUM REVIEW YA MASOMO YA WANAFUNZI

HAYA MATUKIO YA AJABU AJABU YA WANAFUNZI YANAYOENDELEA NCHINI; YANAO UHUSIANO NA CURRICULUM REVIEWS MBILI AMBAZO SENIOR MSTAAFU WA KIUME (SMME) AMEWAHI KUSHIRIKI KWENYE MIAKA YA HIVI KARIBUNI


Ushaidi uliopo hadi kufikia muda huu, unaonyesha kuwa SMME aliingia kwenye reviews hizo muhimu akiwa na nia ya kutengeza KEYS na wanafunzi wote nchini kuanzia Darasa la Kwanza hadi Chuo Kikuu

USHAHIDI UNAOTOKANA NA KEYS AMBAZO SMME ALIFANIKIWA KUZITENGNEZA WAKATI ALIPOKUWA AKISHIRIKI MICHAKATO YA REVIEWS HIZO MBILI


Baadhi tu ya yale yaliyopelekea SMME kushriki kwenye michakato miwili ya CURRICULUM REVIEW mbili kwenye miaka hii ya hivi karibuni, yameshaanza kuonekana wazi

Inaonyesha kuwa maelezo yaliyotolewa kwenye post zilizotangulia hapo juu ndiyo yale yaliyopelekea SENIOR MSTAAFU WA KIUME (SMME) kwenda kuingia kwenye mchakato mwingine tena wa CURRICULUM REVIEW ya nchi nzima, baada ya kuwa amemaliza ule wa idarani kwake

Baada ya SMME kuwa ameshiriki kwenye michakato hii miwili, alifanikiwa kutengenza “KEYS” na wanafunzi wote waliopo ndani na nje ya nchi; kuanzia Darasa la Kwanza hadi Chuo Kikuu

Hii ni baada ya mtaala wa masomo ya shule za Sekondari kuwa reviewed na kupelekea kufutwa kwa darasa la saba, hatua iliyopelekea watoto wawe wanafululiza kusoma kuanzia la kwanza hadi Form Four

Alichofanya SMME kwenye CURRICULUM REVIEW hizi ni kama ifuatavyo

  • Pale idarani kwake, SMME alifanya review ya mtaala wa wanafunzi ambao tayari walishahitimu kidato cha sita; kwa maana hiyo hadi hapa SMME aliweza ku-establish KEYS na wanafunzi WOTE waliowahi kusoma fom five na form six, na hatimaye kuendelea na masomo mengine ya ngazi za juu yanayotolewa baada ya form six
  • Baada ya hapo, kule nje ya idara yake, akaenda akafanya review nyingine ya mtaala wa kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha nne, baada ya darasa la saba kuwa limefutwa na kupelekea watoto kuwa wanaanza darasa la kwanza na kufululiza moja kwa moja hadi Form Four
Kwa hiyo hadi kufikia hapa, SMME akawa ameshatengeneza KEYS na wanafunzi wote kuanzia Darasa la kwanza hadi Chuo Kikuu, kulikosabibishwa na COINCIDENCE hiyo aliyokutana nayo kwenye review hiyo kwamba mabadiliko yalitokea yaliyopelekea madarasa ya Primary na Sekondari kuunganishwa pamoja na hivyo kupelekea review ya mtaala ulioanzia DARASA LA KWANZA hadi la FORM FOUR

Vinginevyo kama masomo ya madarasa haya yasingeunganishwa, SMME asingeweza kushriki kwenye review ya mtaala wa masomo ya madarasa ya shule za msingi na hivyo angekosa link ya kutengeneza KEYS na wanafunzi wa shule za msingi

KILE AMBACHO KINGETOKEA KAMA MTAALA WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI USINGEFANYIWA MAREKEBISHO


SMME angeweza ku-estblish link na wanafunzi wa kuanzia Sekondari kwenda juu tu; na hivyo angekosa link ya kutengeneza KEYS na wanafunzi wengine wale wa shule za PRIMARY

Kwa hiyo bila mtaala wa shule za msingi kuhusika kwenye review hiyo, kwa namna yoyote ile, SMME asingeweza ku-establish link ya KEYS za wanafunzi wa shule za msingi, yaani wale wa kuanzia Darasa la kwanza hadi la Saba

BY THE WAY: SWALI LA TAFAKURI YA MWAKA 2025

Nani aliwahi kubuni MAKINIKIA? Alikuwa na lengo gani?

In the war between falsehood and truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
MTANDAO AMBAO SMME AMEKUWA AKIFANYA NAO KAZI: SEHEMU NYINGINE AMBAYO MTANDAO HUO UNAWEZA KUWA UPO

STRONG EVIDENCE ALIZONAZO MHUDIKA ZINAONYESHA KUWA BAADHI YA WATU WANAOFANYA KAZI PAMOJA NA SMME, YAANI WALE WALIOPO KWENYE MTANDAO WAKE, WANAWEZA KUWA WAPO KWENYE CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE KILICHOPO KIGAMBONI

In the war between falsehood and truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
USHAHIDI ULIOJITOKEZA UNAOTHIBITISHA KUWA KASHFA YA RICHMOND YA MWAKA 2007N NAYO PIA YALIKUWA NI MAKINIKIA MENGINE

UHUSIANO KATI YA SMME, MTAALA MPYA, SHULE ZA SEKONDARI ZA KATA NA KIONGOZI MWANDAMIZI WA NCHI (RIP) ALIYEWAHI KUJIUZULU UONGOZI MWAKA 2007


KWA KUANZIA, SMME NI SWAHIBA WA KARIBU SANA WA MTU ALIYEWAHI KUJADILIWA KWENYE THREAD HII HAPA


KILICHOPLELEKEA MHUSIKA KULIFAHAMU HILO, ILIKUWA NI BAADA YAYEYE NAYE ( MHUSIKA) KUBAHATIKA KUFAHAMIANA NA MTU HUYU, WALIPOKUTANA SIKU MOJA SEHEMU MOJA KWENYE CLUB MOJA ILIYO MAENEO JIRANI NA MAHALI ANAPOISHI MHUSIKA, INAYOITWA ARISA

ILIKUWA MWAKA 2009 AU 2010 MWANZONI

BAADA YA KUFAHAMIANA, MTU HUYU ALIMJULISHA MHUSIKA KUWA NI RAFIKI WA KARIBU SANA WA SMME, NA BAADA YA HAPO ALIMUOMBA MHUSIKA ASAIDIE KUMFUNDISHA MTOTO WAKE BINTI MREMBO ALIYEKUWA KWA WAKATI HUO, ANAJIANDAA KUFANYA MTIHANI WA KUHITIMU KIDATO CHA SITA

ZAIDI ALIENDA MBALI SIKU MOJA NA KUMDOKEZA MHUSIKA KWA KINYWA CHAKE KUWA YEYE NDIYE YULE ALIYEWAHI KUISAJILI KAMPUNI YA RICHMOND:; KAMPUNI AMBAYO MWAKA 2007, ILIPELEKEA KIONGOZI MKUBWA WA NCHI KUJIUZULU UONGOZI

KIONGOZI HUYU ALIYEWAHI KUJIUZULU MWAKA 2007, ALIKUWA ANASIHIRIKIANA NA MACHO YA NCHI YA WAKATI HUO, KUJENGA SHULE ZA KATA

HIZI SHULE ZA KATA NDIYO ZILE AMBAZO ZILITAKIWA KUJA KUWA-ACCOMMODATE SASA WATOTO AMBAO SASA HIVI TAYARI WAMESHAANZA KUSOMA CHINI YA MTAALA MPYA WA KUUNGANISHA MADARASA KUTOKA DARASA LA KWANZA HADI FORM FOUR, SHULE AMBAZO HADI KUFIKIA MUDA HUU, KUNA WASIWASI KAMA ZIPO

KWA HIYO PLAN ILIFANYIKA KUMUONDOA KIONGOZI HUYU ILI KUJA KUFANIKISHA ZOEZI LA UHABA WA SHULE HIZO PINDI MTAALA MPYA UTAKAPOKUWA UMEANZA, NA AMBAO TAYARI UMESHAANZA TANGU JANUARI HII YA MWAKA 2025

KWA HIYO SWALA LA MTAALA MPYA AMBAO SMME AMESHIRIKI KUUANDAA, SMME ALIWAHI KUWA NA WAZO HILO MIONGO MINGI NYUMA KABLA YA UTEKELEZAJI WAKE

HAYA MAMBO SMME AMESOMEA NA AKAHITIMU KISAWASAWA, HABAHATISHI!!!!

In the war between falsehood and truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Jiwe alikufa kindezi sana kwa Covid19
 
UPDATE: MONDAY 27th JANUARY 2025

MATUKIO YASIYOKUWA YA KAWAIDA AMBAYO YAMEKUWA YAKITOKEA NDANI YA NCHI YETU, YAKIWEMO YALE AMBAYO YAMEWAHI KUSABABISHA MAAFA YASIYO YA KAWAIDA KAMA VILE LILE LA MV BUKOBA

UHUSIANO KATI YA MATUKIO HAYA NA SIFA ZA KITAALAMU ZA WATAWALA (MACHO YA NCHI) AMBAO WAMEKUWA WAPO MADARAKANI WAKATI MATUKIO HAYO YALIPOKUWA YANATOKEA

KWA MFANO,
KUWEZA KULIBAINI KWA USAHIHI ZAIDI, TUKIO KAMA LILE LA MV BUKOBA LILIKUWA LINAENDANA ZAIDI NA MTAWALA AMBAYE NI PROFESSIONAL KWENYE MAMBO YA USALAMA

TUKIO HILI NA MENGINE YANAYOFANANA NA HILI, LILITOKEA KWENYE AWAMU YA TATU; AWAMU AMBAYO MTAWALA WAKE HAKUWA PROFESSIONAL KWENYE MAMBO YA USALAMA

BAADA YA MTAWALA HUYU KUONDOKA, ALIINGIA MWINGINE WA AWAMU YA NNE AMBAYE YEYE ALIKUWA NI PROFESSIONAL KWENYE MAMBO YA USALAMA

HUYU YEYE ILIKUWA HAIWEZEKANI KUMPA TAARIFA ZA TUSEME KUWA MELI IMEANGUKA KWA KUJAZA ABIRIA WAKATI KUMBE ILIANGUSHWA NA DHORUBA, AU KUMWELEZA KUWA TETEMEKO LA ARDHI LIMESABABISHWA NA UFA MKUBWA KWENYE ARDHI WAKATI KUMBE KUNA MTU ALILIPUA BARUTI KUBWA

HUYU ILIKUWA HAIWEZEKANI KUMPATIA TAARIFA KAMA HIZI, KABLA HAJAKUKAMATA VIZURI MTOA TAARIFA ZISIZO SAHIHI

KWA HIYO BAADA MTAWALA HUYU KUINGIA, MATUKIO YALIGEUKIA KWENYE SHERIA, KWENYE UWANJA AMBAO HAKUWA PROFESSIONAL.; NA HIVYO YEYE AWAMU YAKE ILIKUMBWA NA MATUKIO YALIYOKUWA KWENYE MLENGO WA KISHERIA ZAIDI

KWA MFANO, MATUKIO MAWILI YALIYOWAHI KUPELEKEA MAAFISA WAKE WAWILI WAANDAMIZI WA NGAZI JUU KUJIUZULU, YALIHUSIANA NA MIKATABA YA KISHERIA, KWENYE ENEO AMBALO MTAWALA HUYU HAKUWA PROFESSIONAL

UKIONDOA TUKIO LA UJAMBAZI WA KIBITI HAKUNA TUKIO JINGINE LA MAAFA YASIYOKUWA YA KAWAIDA, LILILOWAHI KUTOKEA WAKATI MTAWALA WA AWAMU YA NNE ALIPOKUWA YUPO MADARAKANI

BAAADA YA MTAWALA HUYU KUMALIZA MUDA WAKE, ALIINGIA TENA MTAWALA MWINGINE (RIP) AMBAYE NAYE PIA HAKUWA PROFESSIONAL KWENYE MAMBO YA USALAMA

BAADA YA MTAWALA HUYU MPYA KUINGIA MADARAKANI, KUANZIA PALE IKARUDI TENA ILE STYLE YA MATUKIO YASIYOKUWA YA KAWIDA ILIYOWAHI KUTUMIKA WAKATI WA AWAMU YA TATU

UKIACHILIA MBALI MELI KADHAA KUANGUKA MAJINI, ILIFIKIA HADI WATU ( WAPATAO 20) WAKAPOTEZA MAISHA KWENYE TUKIO MOJA LA TAMASHA LA KUKANYAGA MAFUTA YA UPAKO

MATUKIO HAYA YAMEENDELEA HIVI HADI LEO, KWA WATWALA WOTE WAWILI WALIOMFUATIA YULE WA AWAMU YA NNE

NI BAADA YA WATWALA HAWA KUWA SIYO PROFESSIONAL KWENYE MAMBO YA USALAMA

HITIMISHO
KWENYE UTAWALA WA AWAMU YA NNE AMBAO MTAWALA WAKE ALIKUWA NI PROFESSIONAL KWENYE MAMBO YA USALAMA, HAKUNA MATUKIO YA YASIYOKUWA YA YA MAAFA YALIYOWAHI KUTOKEA

MATUKIO YASIYOKUWA YA KAWAIDA YALIYOWAHI KUTOKEA KWENYE AWAMU YAKE YA NNE YALIKUWA NI YA KISHERIA ZAIDI KULIKO KIUSALAMA

HATA HIVYO, AWAMU ZINGINE ZOTE KABLA NA BAADA YA AWAMU YA NNE, ZIMEKUWA ZIKIKUMBANA NA MATUKIO YA AINA ILIYOELEZWA HAPO JUU, YA MAAFA YASIYOKUWA YA KAWAIDA

HII INAONYESHA DHAHIRI KABISA KUWA MTAWALA AMBAYE NI PROFESSIONAL KWENYE MAMBO YA USALAMA, ALIKUMBANA NA MATUKIO MENGINE TOFAUTI HUKU, AKIKWEPANA NA YALE YALIYOKUWA YANAANGUKIA KWENYE PROFESSION YAKE

KWA HIYO MATUKIO YASIYOKUWA YA KAWAIDA YA KIUSALAMA, YALIWAHI KUKWEPANA NA MTAWALA MMOJA TU YULE AMBAYE ALIKUWA NI PROFESSIONAL KWENYE ENEO HILO

In the war between falsehood and truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNESDAY, 29th JANUARY 2025

HUJUMA NYINGINE KUBWA ILIYOWAHI KUFANYIKA NDANI YA NCHI KUPITIA WANAFUNZI


Hujuma hii ni ile iliyowahi kufanyika wakati wa utawala wa awamu ya tano, huku ikiwa inahusisha maamuzi yaliyokuwa yamefanywa na Serikali ya utawala wa awamu ya nne

  • Wanafunzi wengi sana waliokuwa wanafanya special degree programme kule Dodoma kwa ridhaa ya maamuzi ya Serikali ya awanu ya nne, walifukuzwa wote kwa mkupuo mmoja ndani ya siku moja, mwaka 2016
  • Serikali ya awamu ya nne iliyokuwa imeondoka madarakani mwaka uliokuwa umepita, ilikuwa imewachagua wanafunzi hao kwa ajli ya kusoma Special Degree Programme; na wakati wanafukuzwa, walikuwa bado wapo kwenye maandalizi ya awali
  • Wengi wa wanafunzi hao walikuwa ni watoto wa wakulima na walifukuzwa wote kwa mkupuo mmoja ndani ya siku moja
Aliyewafukuza wanafunzi hao ni Waziri mwenye dhamana wa kipindi hicho; ikiwa ni ndani ya muda mfupi tu mara baada ya kiongozi huyo kuwa ameanza kazi, kufuatia uteuzi wake

Kwa hiyo mara tu baada ya kuwa amekabidhiwa ofisi, Kiongozi huyu alianza na wanafunzi hao wa Dodoma

KILICHOTOKEA BAADA YA WANAFUNZI HAO KUWA WAMEFUKUZWA CHUO


Siku chache tu baada ya wanafunzi hao kufukuzwa, “MACHO YA NCHI (MYN)” ya awamu ya tano; na ambayo yalikuwa yamedanganywa kuwa wanafunzi hao walikuwa ni VILAZA (hawana akili); na hivyo hawakuwa wanastahili kusoma degree programme, YALIYOTUMIWA SASA KUUHALALISHA UAMUZI HUO WA KUFUKUZWA KWA WANAFUNZI HAO, KWA UMMA WA WATANZANIA

Kilichofanyika ni kwamba baada ya siku chache kuwa zimepita kufuatia kufukuzwa kwa wanafunzi hao, MYN yalifanya ziara kwenye taasisi anayofanyia kazi mhusika na WAKATI WA HOTUBA YAKE, MYN yaliuthibitishia umma wa watanzania kupitia vyomba vya habari kwamba ilikuwa ni halali kwa wanafunzi hao kufukuzwa kwa sababu walikuwa ni VILAZA

Kwa hiyo hadi kufikia siku hiyo, MYN ya awamu ya tano yalikuwa yamehujumiwa na pia kudanganywa kuhusiana na wanafunzi hao, pasipo kufahamu

Kwa upande mwingie, MYN YA AWAMU YA NNE yaliyokuwa yamewaweka wanafunzi hao kwenye programme hiyo mwaka uliokuwa umepita, ndiyo yale ambayo yalikuwa yako sahihi hadi siku wanafunzi hao walipokuwa wanafukuzwa chuo

UHALALI ULIOPELEKEA WANAFUNZI HAO KUSOMA SPECIAL DDGEREE PROGRAMME HIYO


Wanafunzi hao walikuwa wanafanya special degeree programme hiyo kwa ridhaa ya vyote Serikali pamoja na “MYN YA KIPINDI KILICHOKUWA KIMEPITA”, yaliyowahi kuongoza awamu ya nne

“Macho ya Nchi” ya awamu ya nne
ndiyo yale yalyokuwa yameridhia wanafunzi hao wasome degree programme hiyo

In the war between falsehood and truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
WANAFUNZI HAO WALIOWAHI KUFUKUZWA UDOM MWAKA 2016 WALIKUWA ZAIDI YA ELFU SABA, NA MOJAWAPO YA LINK ZINAZOONGELEA TAARIFA YA WANAFUNZI HAO NI HII HAPA


WANAFUNZI HAO WALIKUWA WANAANDALIWA KUJA KUWA WALIMU WA MASOMO YA HESABU, SAYANSI PAMOJA NA TEHAMA; MASOMO AMBAYO YANA WALIMU WACHACHE SANA KWENYE SHULE ZA SEKONDARI HADI LEO HII

In the war between falsehood and truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
BAADHI TU YA MASWALI MUHIMU YA KUJIULIZA KUHUSIANA NA NAMNA WATOTO HAO WALIVYOWAHI KUFUKUZWA CHUO

HAWA WATOTO HATA KAMA ILIKUWA NI KWELI KWAMBA BAAFHI YAO HAWAKUWA NA QUALIFICATIONS, UNAWEZAJE KUFUKUZA WANAFUNZI WOTE ZAIDI YA ELFU SABA KWA MKUPUO MMOJA, KISA TU KUNA BAAFHI YAO AMBAO WALIONEKANA KUWA NA MATATIZO?

KWA NINI USINGEFANYIKA MCHUJO WA KUWAPATA WALE WACHACHE AMBAO WANAWEZA KUWA WALIKUWA WAMEJICHOMEKA?

KULIKUWA NA UHARAKA GANI WA KUWAFUKUZA WOTE KWA MKUPUO MMOJA NA NDANI YA SIKU MOJA, ILHALI MUDA WA KUWAHAKIKI ULIKUWEPO, UKIZINGATIA KUWA WOTE WALIKUWA WAPO MAHALI PAMOJA NA CHINI YA UTAWALA WA TAASISI MOJA?

In the war between falsehood and truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
BAADAYE TENA HUKO SIKU ZA MBELE, KIONGOZI MMOJA AKAJITAHIDI NA KULBAHATIKA KUPEWA MSAADA WA VIFAA VYA MASHULENI KUTOKA NJE YA NCH KWA AJILI YA WALIMU.

VIFAA HIVYO VILIKWAMA BANDARINI NA SABABU ZILIZOPELEKEA KUKWAMA KWAKE KILA MTU MWENYE AKILI TIMAMU ANAZIFAHAMU VIZURI SANA

HIVYO VIFAA SIJUI KAMA WALIMU HAO WALIWAHI KUVIPATA

In the war between falsehood and truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
PRESIDENT NELSON MANDELA (RIP) ONCE SAID:

"Destroying any nation does not require the use of atomic bombs or the use of long range missiles. It only requires lowering the quality of education and allowing cheating in the examinations by the students."


Patients die at the hands of such doctors

Buildings collapse at the hands of such engineers.

Money is lost in the hands of such economists & accountants.

Humanity dies at the hands of such religious scholars.

Justice is lost at the hands of such judges...

"The collapse of education is the collapse of a nation."

In the war between falsehood and truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY, 04th FEBUARY 2025

UMUHIMU WA SHULE ZA SEKONDARI ZA KATA ZILZOASISIWA KWENYE SERIKALI YA AWAMU YA NNE; UNAWEZA KUDHIHIRSHWA VIZURI KWA KUTUMIA MFANO MDOGO HUU UFUATAO HAPA CHINI


Tukio lililoelezewa kwenye post hii hapa #286 linamwongelea mtoto binti ambaye aliwahi kupasuka kilio mbele ya umati wa wasafiri, baadhi yao wakiwa ni Watanzania waliokuwa wanatokea Amstedam; na ambao kati ya hao baadhi yao walikuwa wanatokea Marekani na waliunganisha ndege pale Amsterdam

Wakati huo shule za kata zilikuwa hazipo. ilikuwa ni mwishoni mwa mwka 2000

In the war between falsehood and truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: THURSDAY, 06th FEBUARY 2025

UJAMBAZI MWINGINE TENA ALIOKUMBANA NAO
MHUSIKA JANA J5 YA TAREHE 05 MARCH 2025
ALIPOKUWA ANATOKEA BENKI KUFUATILIA
SWALA LA FEDHA ZAKE MIL 2.5 ZILIZOIBIWA
MWAKA JANA AUGUST 2024

Maeleo ya utangulizi

Baada ya fedha hizi kuibiwa mwishoni mwa August
2024, tangia pale mhusika amekuwa akifika Benki
kwa ajili ya kufuatilia swala hilo, kwa mara moja tu
kila kwa mwezi na kwenye tarehe zile za mwisho
wa mwezi tu; kwa sababu anazijua risks ambayo
huwa inaambatana na frequent unnecessary vists
kwenye ofisi za watu wengine

Risks hizo ambazo muda wote mhusika amekuwa
akijitahidi sana kuzikwepa tangu fedha hizo
zipotee, mojawapo ndiyo ile ambayo alikumbana
nayo jana J5

Kwa mwezi huu wa February 2025, mhusika
amelazimika kufika tena Benki jana J5 ya tarehe 05;
baada ya kushindwa kufanikiwa kupata majiibu yake
mwishoni mwa Desemba 2024 mwaka jana

Kinachoendelea kumpeleka Benki hadi muda huu ni kwamba
kwenye mawasiliano yake ya mwisho KUPITIA BARUA aliyoiandikia Benki NOVEMBA 2025, aliiomba Benki imsaidie kuzirudisha fedha zake kwenye
account yake, lakini hadi muda huu bado hazijarudishwa; huku majibu ya barua aliyowahi kupewa na Benki yakiwa hayajulikani yaliandikwa na
nani; barua ilitaja cheo tu pasipo jina la mwandishi wake

Kwa mwaka huu, mwishoni mwa January 2025,
mhusika alifika Benki na kuahidiwa kuwa ilikuwa
inawezekana kwa mhusika kupatiwa majibu kupitia barua iliyoandikwa na mtu mwenye jina linalojulikana

Kutokana na halli hiyo, mhusika aliacha namba ya
simu ili barua itakapokuwa imekamailika,
wamjulishe ili aende akaichukue

Hadi kufikia siku ya jana J5 mhusika alikuwa bado
hajajulishwa ni nini kilikuwa kinaendele juu ya swala
la fedha hizo, na hicho ndiyo kile kilichopelekea
akaenda tena Benki

Kwa kifupi hii ndiyo scenario NZIMA iliyopelekea mhusika
akenda Benki jana J3 ya tarehe 05 Februari 2025, na
wakati yupo njiani kurudi ofisini, alikumbana na
mob ya watu watatu; wawili wanaume na mmoja
binti ambaye alikuwa amevaa kitambaa cha ushungi cheupe kichwani

Mwanamme mmoja alikuwa na PIKIPIKI na ndiye
aliyewatangulia pale mhusika alipokuwa amepakai
gari kwa muda; na hili swala PIKIPKI atakuja kuliongelea kwa kina baadaye kwa sababu lilianzia ofisini jana yake siku ya J4 ya wiki hii
Pikipiki ina connection na maswala kadhaa
yaliyokuwa yametokea jana yake J4 ofisini kwa
mhusika
………………………..inaendelea
 
UJAMBAZI MWINGINE TENA; ……inaendelea

MAELEZO KAMILI YA TUKIO LENYEWE


Kwenye siku ya J5 muda wa saa 5 asubuhi, mhusika aliondoka kuelekea Benki kuchukua majibu ya barua kama alivyokuwa ameahidiwa mara ya mwisho alipokuwa huko, huku akimuacha office mate-2 (OM-2) ofisini

Kawaida mara zote huwa anamuaga OM-2 inapotokea kuwa anaelekea Benki, isipokuwa kwa siku hiyo hakuona haja kwa sababu alikuwa anajua kuwa asingechelewa kurudi

Vile vile siku ya Ijumaa ya wiki iliyopita, kupitia ujumbe mfupi wa simu mhusika alimuomba mtaalamu wa IT wa pale Benki, amjulishe BOSS kuwa mhusika angefika hapo Benki siku ya J5 kuchukua majibu final ya swala lake; majibu ambayo ingekuwa ni barua iliyoandikwa na mtu mwenye jina linalojulikana

Baada ya kuwa ameingia ndani ya uzio wa mazingira ya benki ila akiwa bado yupo nje ya security check point; mwenye mamlaka ya ukaguzi wa security alimuashiria mhusika kuingia ndani ya uzio wa Benki pasipo kukagua gari lake, kitu ambacho mhusika hakukiafiki

Na hiki ndiyo kitu kingine kilichopelekea mhusika asimuage OM-2 kwa sababu kuna siku moja ambayo aliwahi kumuaga na alipofika kwenye kwenye sehemu hii ya security check point za magari, aliwakuta wakaguzi hawapo

BAADA YA KUFIKA BENKI

Mhusika alijulishwa kuwa majibu yake yalikuwa hajayabadilika ni yale yale yaliyowahi kuwepo kwenye barua ya kwanza; na hivyo hapakuwa na haja ya yeye kujibiwa kwa kutumia barua nyingine

Mhusika alitoa hoja kuwa majibu hayo ya barua ya awali, hayakuwa na jina la mwandishi wake na hivyo kusisitiza kupewa barua ambayo itakuwa imesainiwa na mtu mwenye jina linalojulikana kutkana na kuwa barua ile ya mwanzo haikuwa na jina la mwandishi wake

Baada ya hapo mhusika aliombwa asubirie kwa muda kidogo ili aweze kupewa barua yenye jina la mtu aliyewahi kuiandika barua waliyokuwa wanaiongelea

Baada ya kuwa zimepita takribani dakika 20, mhusika aliitwa ofisini kwa Boss na kwenda kukabidhiwa copy ya barua ambayo ilikuwa imepigwa chapa, huku jina la mwandishi likiwa imeandikwa mwishoni kabisa mwa barua hiyo kwa KWA MKONO na kwa kutumia kalamu

Hapo mhusika aliomba tena kuwa jina hilo lionekane kwenye barua hiyo likiwa limechapwa kama ilivyochapwa barua yenyewe kwa sababu vinginevyo, inaweza baadaye ikaja ikaonekana kuwa ni yeye aliyebandika jina hilo kwenye barua kwa kutumia kalamu

Ombi hilo la mhusika lilikubaliwa kwa makubaliano kuwa barua hiyo ikishakuwa tayari, Boss atamjulisha mhusika ili aende akaichukue

Baada ya hapo mhusika alianza safari ya kuondoka kurudi ofisini kwake

Kule njiani kabla hajatoka nje ya jengo, alikutana na bidhaa aliyokuwa akiihitaji na hela aliyokuwa nayo ilikuwa ni pungufu

Kutokana na hali hiyo, mhusika alilazimika kurudi tena Benki, akaongeza hela na kwenda kuchukua bidhaa husika, na hatimaye kutoka nje ya jengo akielekea kwenye parking

Wakati alipokuwa anaingia maeneo hayo akitokea ofisini, mhusika alipaki kwenye kivuli cha uzio, jirani na BAJAJ NYEKUNDU, na wakati anarudi Bajaj hiyo hakuikuta, ilikuwa tayari imeshaondoka

Mhusika aliwasha gari na kutoka nje ya uzio wa eneo ilimo Benki, na hatimaye kuanza safari ya kurudi ofisini

Baada ya kuwa ametoka nje ya uzio, mbele kidogo alisimama na kupaki kwenye sehemu kandokando ya barabara ili akachukue nishati ya kupikia kwenye duka moja lililo jirani na garage ambayo huwa anapeleka gari lake; jiko lake la umeme limeshazeeka na halifanyi kazi tena

Mhusika alipaki gari kwenye nafasi sahihi pembezoni mwa bararabara huku akiiacha ikiwa imewasha indoicators za hazard

Haikumchukua muda mrefu, alirudi akiwa amebeba nishati yake na kunyoosha moja kwa moja hadi kwenye sehemu aliyokuwa amepaki gari yake, na hapo ndiyo timing ya watu hawa watatu ilipofanyika

WATU WATATU WAMZINGIRA MHUSIKA WAKIONGOZWA NA MWANAMME ALIYEKUWA NA PIKIPIKI

Kulia kwa gari la mhusika ilikuwa ni barabarani magari yanamopita, na kushoto kwake ndiyo kulikuwa na nafasi kidogo ambayo watu hao walisimama

Mwanamme mwenye pikipiki alianza kwanza akafika pale na kumsalimia, na baada ya hapo alitoa kitambulisho chake akimwonyesha mhusika bila kujitambulisha kuwa yeye ni nani na anafanya kazi chini ya mamlaka gani

Baada ya hapo alirudisha kitambulisha mfukoni na kumjulisha mhusika kuwa amemkamata kwa kupaki isivyoruhusiwa na hivyo inabidi alipe faini

Hapo hapo ghafla, wenzake wengine wawili, mmoja akiwa mzee mrefu mwenye mvi, makamo ya miaka isiyopungua 70; mguu wake mmoja ukiwa umepinda kidogo; alifika akiwa ameambatana na binti, na wao pia kubana upande wa kushoto mwa gari la mhusika, huku gari hilo pamoja na mhusika mwenyewe, vikiwaficha kwa kiasi kikubwa, kuonekana na watu wengine waliokuwa wanapita barabarani maeneo hayo

Mwanzoni mhusika alitaka kupata picha kuwa ni maofisa wa TARURA, lakini kadri muda ulivyokuwa unaenda, aliweza kuwa-categorize kama WATEKAJI na alikuwa sahihi asilimia 100%; hawakuwa matapeli

Kosa la kukamatwa kwa mhusika ilikuwa ni kupaki visivyo halali kandokando ya barabara

Mhusika alijitetea kuwa alikuwa amewasha harzard kwa sababu aliacha gari pale kwa muda mfupi tu, lakini yule mwenye pikipiki alijibu kuwa kawaida ukiwasha harzard, inabidi uwe ndani ya gari

Wakati huo mbele ya gari la mhusika, kulikuwa tena na BAJAJ NYEKUNDU ikiwa imepaki pale, Bajaj ambayo baadaye mhusika alikuja kupata picha kuwa ilikuwa imeletwa pale makusudi na watu hao watatu

BAADA YA MHUSIKA KUJULISHWA KUWA ALITAKIWA KULIPA FAINI

Mhusika alikubali kulipa faini na hivyo kuomba kupewa utaraibu wa namna ambavyo angeweza kuilipa faini hiyo

Mwenye pikipiki alijibu kuwa inabidi kuambatana wote kwenda kwenye ofisi zao zilizopo MAWASILIANO,kuchukua control namba; na hilo pia mhusika alilikubali

Hapo hapo wakataka kuingia ndani ya gari la mhusika, kitu ambacho mhusika aliwazuia

Mhusika aliwapa condition moja kwamba wataongozana kwenda mawasiliano na hayupo mtu atakayepanda kwenye gari lake

Baada ya hapo, mwenye pikipiki alitoa amri kuwa inabidi mhusika aende pamoja nao kwa usafiri mwingine na gari lake aliache hapo bararbarani, na mhusika alikataa

Wakati huo tayari walikuwa wameshaanza kupaniki na kutaharuki.

Ghafla mwenye pikipiki aliwaonyesha wenzake Bajaj nyekundu iliyokuwa mbele na kuwaelekeza kuwa wapande humo ili wafuatane na mhusika kuelekea Mawasiliano

SAFARI YA KUELEKEA MAWASILIANO

Safari ilianza ya kuelekea mawasiliano, mzee na binti wakiwa kwenye Bajaj nyekundu huku mwenye piki piki akiwa haonekani tena

Baada ya kufika pale kwenye mataa ya Super Star; taa zilizuia, na mhusika akiwa yupo nyuma ya Bajaj, alimuona mzee mwenye mguu uliopinda, akishuka kwenye Bajaj na kuja kumuomba mhusika wauahirishe muamala huo wa kwenda mawasilaano kwa sababu yule mwenzao mwenye pikipiki walikuwa hawamuoni

Chances kubwa ni kwamba mzee huyu anaweza kuwa ALIKUWA NI MGANGA WA KIENYEJI na mwenye asili ya kabila la mhusika, ila mwenye Kiswahili cha lafudhi isiyokuwa ya kabila hilo

Kwa mara ya kwanza mhusika alisahau ku-note namba kamili ya Bajaji, ila tarakimu zake zilikuwa ni T.624; BAJAJ NYEKUNDU

NAMNA PLANS A&B ZA WATU HAWA ZILIVYOKUWA


Plan A ya watu hawa ilikuwa ni kuingia kwenye gari la mhusika na hatimaye kushuka wakiwa wamemwacha salama, ila wakiwa wamemwachia SURPRISE ndani ya gari, amnbayo ingeenda kumpata huko mbele ya safari muda mfupi uliokuwa unafuata; WALIKUWA NI MAGAIDI PIA

Ile nishati aliyoonekana akiwa ameibeba kutoka kwenye duka jirani aliloenda kuinunua, ndiyo ingekuwa cover yao ya kuwafanya waonekane kuwa walikuwa ni innocent

Plan B ilikuwa ni kuingia naye kwenye Bajaj; na mule ndiyo angeenda kukutana na wataalamu wengine ambao wangemchukua kumpeleka kwenye sehemu iliyo sahihi

Chances ni kwamba kulikuwa tayari kuna watu wengine kwenye Bajaj iliyokuwa imepaki mbele ya gari la mhusika; na watu hawa WALIKUWA NI WATEKAJI PIA

KWA MARA YA KWANZA:

OMBI LA MHUSIKA KWA MAKAMU MKUU WA TAASISI AMBAYO MHUSIKA HUWA ANAFANYIA KAZI


Mtendaji Mkuu wa Taasisi anayofanyia kazi mhusika, ni MAKMU MKUU WA TAASISI (MMT)

Mhusika anamuomba MMT huyu aingilie kati ili madai yake yaweze kulipwa; ukizingatia kuwa tarehe 15 April 2024 (mwaka jana), mhusika alipokuwa amempelekea kopi yake MMT; ya barua ya madai yake (mhusika) ofisini kwake, walionana ofisini hapo japo hawakuongea

Mhusika anachukua nafasi hii kumjulisha Boss wake huyo kwamba, hadi leo madai yake hayajashughulikiwa na kile kinachoendelea kwake ndiyo haya aliyoyaeleza kwenye post hii, na haya ni baadhi tu

Mbali na hilo, in some cases, mhusika amekuwa akikatwa hela kwenye mshahara wake; ilihali mshahara wake unahitaji marekebisho ya nyongeza

UPNEXT:

YALE YA MUHIMU YALIYOJIRI OFISINI KWAKE MHUSIKA SIKU CHACHE KABLA YA TUKIO HILI LA WATEKAJI KUTOKEA


Maandalizi ya tukio hili la watekaji yalianzia ofisni kwake mhusika, na hadi kufikia siku ya J5 ambayo mhusika alikuwa amepanga kwenda Benki, yule mwanafunzi aliyewahi kuonekamna mwaka jana Desemba 2024 kwenye presentation ya masomo ya ngazi za juu yaliyokuwa yamebakiza miezi 12 kati ya miezi 24, alionekana tena ndani ya jengo la idara

Kwa sasa mwanafuzi huyu amebakiwa na miezi 10 tu. Na tangu alipoonekana mwaka jana kwenye presentation, alikuwa hajawahi kuonekana tena idarani isipokuwa jana J5

Details zaidi kuhusiana na mwanafuzni huyu zitafuarta baadaye

Moja tu la muhimu ni kwamba, kama yule mzee mmoja wa watekaji atakuwa ni wa kutoka kwenye kabila la mhusika, uwezekano mkubwa ni kwamba mwanafunzi huyu na mtekaji huyo wanaweza kuwa wanafahamiana

…………………….inaendelea
 
YALE YALIYOJIRI OFISINI KWAKE MHUISIKA

…………………inaendelea

MTEKAJI ALIYEKUWA NA PIKIPIKI: CODE ILIYOFANYA KAZI J5, IMEFICHWA KWENYE SOUND WAVES ZA PIKIPIKI


Jumanne asubuhi ya wiki hii, mhusika na OM-2 wakiwa wapo ofisini; mlango wa ofisi yao ulifunguliwa ghafla na mtu mgeni ambaye mhusika hakumfahamu; possibly OM-2 anaweza kuwa anamfahamu; au hata yeye hamfahamu pia

Mtu huyu alionekana kuwa si mwanafunzi bali mgeni kutoka nje ya mazingira ya taasisi, na aliingia ofisini na kuanza kuwasemesha mhusika na OM-2 pasipo KUWASALIMIA

  • Mtu huyu aliuliza swali kuwa ofisi ya MR FULANI ilikuwa wapi na OM-2 alimwelekeza
  • Mbali na hilo, OM alimfahamisha pia mgeni huyo kuwa aliyekuwa anamtafuta hakuwa MR bali Doctro
  • Baada ya OM-2 kumwelekeza mgeni huyu mahali ofisi ya mtu aliyekuwa anamtafuta ilipo, mgeni aliondoka
Baada ya muda mfupi, mgeni alirudi tena kwa mara ya pili akisema kuwa mwenyeji wake hakuwepo ofisini, na hatimaye alitoka tena na kwenda kusimama jirani na mlango wa ofisi ya mwenyeji wake huyo, ofisi ambayo haiko mbali na pale ilipo ofisi yao mhusika

Punde si punde, OM-2 naye alitoka nje na kwenda kum-joini mgeni mahali alipokuwa amesimama na baada ya dakika chache kupita wawili hao wakiwa wako pale huku wakiwa kama wanateta jambo fulani, waliongozana wote na kurudi tena ofisini kwao mhusika

Baada ya maongezi ya muda mfupi ambayo mhusika hakuwa makini nayo, mgeni huyu alitoka na safari hii hakurudi tena

Yakiwa yamepita takribani masaa mawili tangia pale; mhusika alipotoka nje ya ofisi; wakati wa kurudi alienda akapumzika kidogo kwenye kijiwe chake cha siku zote

Akiwa yuko pale, ghafla alisikia muungurumo mkubwa unaofana na wa yale mapikipiki makubwa aina ya SPORTS, na kabla ya kuiona pikipiki yenyewe, alidhani kuwa kuna lipikipiki likubwa sana la aina hiyo linakuja

Baada ya muungurumo kukaribia, mhusika aliiona pikipiki kweli ikiwa ni model ya SPORTS, ila haikuwa kubwa bali ya kawaida tu, isipokuwa muungurumo wake tu ndiyo ule uliokuwa umefanana na ule wa mapikipiki makubwa zaidi

Mgeni mwenye pikipiki hii ndiyo yule yule aliyekuwa amefika ofisini kwao mhusika masaa machache yaliyokuwa yamepita, na alifika na kupaki kwenye RESERVED PARKING ya MKUU WA MAJOR UNIT; ambayo kwa siku hiyo ilikuwa wazi

Baada ya kushuka, aliingia ndani ya jengo na mhusika hakuweza kufahamu alielekea wapi

Muungurumo wa pikipiki hii ndiyo ule uliopelekea mmoja wa wa watekaji wa J5 naye pia kuwa na PIKIPIKI

Siku hiyo, mgeni huyu alifika mazingira ya ofisini kwao mhusika akiwa anamtafuta MR FULANI ambaye alielekezwa kuwa siyo MR bali ni DOCTOR; na ambaye pia ni mwalimu wa mwanafunzi huyu aliyebakiza miezi 10 tu muda wake wa masomo umalizike

Mgeni huyu alifika ofisini siku ya J4 na ilipofika J5 asubuhi mhusika alipokuwa anaingia ofisini, walisalimiana na mwanafunzi wa miezi kumi mahali fulani kwenye korido na ambapo Kamera huwa haziwezi kuona kabisa

Ilikuwa ni baada ya mhusika kuwa amepita pasipo kumuona mwanafunzi huyo, lakini baadaye alisikia sauti ikimwita kwa kilugha “mzee” na alipogeuka, nyuma alimuona mwanafunzi huyo

Mhusika alimuona mwanafunzi huyo akiwa kwenye sehemu ambayo wakati mhusika anapita pale, mwanafunzi huyu hakuwepo mahali pale

Kwa hiyo kilichotokea ni kwamba mwanafunzi alikuwa amebana mahali fulani kwanza akitegea mhusika apite, na baada ya kuwa amepita, mwanafunzi alimwita mhusika katika namna ambayo alikuwa amepanga wasalimiane wakiwa kwenye sehemu ambayo haimulikwi na Kamera, na alifanikisha vizuri sana zoezi hilo

Mwanafunzi huyu alikuwa anakwepa Kamera kwa sababu alikuwa anajua kuwa masaa machache tu mbele ya iku hiyo kulikuwa kuna tukio lililokuwa linaenda kutokea

Uwezekano mkubwa ni kwamba mtu yeyote akitaka kuwapata watekaji wa J5, anatakiwa aongee vizuri na mwanafunzi huyu

In the war between falsehood and truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: MONDAY, 10th FEBRUARY 2025

YAFUATAYO HAPA CHINI NI MAWASILIANO YA BARUA YA MWISHO AMBAYO MHUSIKA ALIIANDIKIA BANK KUHUSIANA NA MADAI YA FEDHA ZAKE

………………..mwanzo wa kunukuu


The Manager;
XXXX Bank;
KKKKK Branch


Dear Sir/ Madame

REQUEST FOR MY MONEY AMOUNTING TO TWO MILLION AND FIVE HUNDRED THOUSND ONLY (2,500,000/=); TO BE DEPOSITED IN MY XXXXX (name of bank) SAVINGS ACCOUNT NO. YYYYYYYYY (customers’ bank account number)

I acknowledge receipt of your letter dated 01st October 2024

I’m responding to the above mentioned letter (attached with this letter) assuming that it was written and signed by you, though it has only a signature but no name of a signature bearer

I still request that the above stated sum of TZS 2,500,000/= be deposited in my stated Bank Account number and where possible, as soon as possible

Some reasons mentioned below still entitles me to claim this amount through you/ from you and not from my Mobile Phone Service Provider (MSP)

You will recall the situation that after the stated amount was accidentally diverted to a wrong, different mobile money account number; I immediately took the following measures


FIRST: I immediately reported the incidence to the MSP before the wrong recipient had withdrawn the cash; who (the MSP) later disabled the recipient account for the purpose of safeguarding my cash

SECOND: Thereafter, while my money was in safe hands of the MSP, the MSP had sent me to you so that you could recover the money back to my Bank account

THIRD: After I have submitted my case to you, you examined it and after you had ascertained that the transaction had actually taken place as well as that the money was actually with the reach of your recovery system; you then accepted the request of solving my case: otherwise you could have dismissed it; assuming the money wasn’t recoverable by your system

FOURTH: After your confirmation, you allowed me to leave your premises.
So I left your offices at the moment you had already ascertained that the cash was recoverable by your system and at the moment the wrong recipient’s account was not able to access her mobile money account because it was still blocked


CONCLUSION

I’m not refuting your assertion that the wrong recipient latter withdrawn the money but rather I’m still of the opinion that If at all such a withdrawal transaction actually happened , it did later and after I had already left your offices; and obviously, at the time of the process dealings between you and the MSP


So, I left the premises of both of your offices, yours as well as those of the MSP; while my cash was still safe and in the hands of both you; and not in the hands of the wrong recipient hands

In this regard therefore; I’m still insistent that you immediately help me recover my money either through you or from you

With regards

-------------------’


cc: Head, ZZZZZ Department (mhusika’s department)

cc: The General Manager; XXXXX (name of bank)


………………..mwisho wa kunukuu

In the war between falsehood and truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KUHUSIANA NA TUKIO LA UTEKAJI LILILOTOKEA KULE NAIROBI LILILOHUSISHA GARI AINA YA NOAH

Tukio hilo la Nairobi na ambalo liliwahi kuhusisha gari aina ya NOAH, lina uhusianao na tukio ambalo lilimpata mhusika J5 ya wiki iliyopita tarehe 05/02/2024 alipokuwa anatokea Mlimani City

Gari aina ya NOAH, zinamuwakilisha aliyewahi kurusha pepo kwenye Madhabahu ya Kanisa A na baada ya hapo, alihamishwa kwenda Katavi

Kwa hiyo walio na gari aina za NOAH na ambao wako kwenye mpango huu wa urushaji mapepo, wako connected na mtu mwingine ambaye kwa sasa yupo KATAVI

Mbali na hilo, kwenye siku ya Christmas, kulikuwa na NOAH nyingine ngeni kwenye mazingira ya Kanisa A, iliyokuwa imetoka KANISA B

Kanisa B ni Kanisa ambalo mhusika aliwahi kuhama mwaka 2017 akirudi Kanisa A

Aliyekuwa na NOAH hiyo kutoka Kanisa B, ni muumini ambaye jina lake ni NAMESAKE wa gari aina ya ALEX; jina ambalo liko AXED; yaani lina shoka

Taarifa zaidi zitafuata baadaye

n the war between falsehood and truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY, 12th FEBRUARY 2025

KIKUBWA ZAIDI KILICHOKUWA NYUMA YA TUKIO LA J5 ILIYOPITA YA TAREHE 05/02/2025 LILILOMPATA MHUSIKA WAKATI ALIPOKUWA ANATOKEA MLIMANI CITY

UTAFITI ULIOKAMILIKA: UWEPO WA MATUMIZI YA KIFAA CHA ELECTRONICS AU REMOTE CONTROL GADGET

REMOTE CONTROL GADGET (RCG) AMBAYO HAPO KABLA ILIKUWA INAMILIKIWA NA ALIYEWAHI KUWA JIRANI WA MHUSIKA ANAYEJULIKANA KAMA JIRANI MAJI MACHAFU (JMM); NA AMBAYO JMM ALIKUWA ANAITUMIA KUSHAMBULIA VIFAA VYA ELECTRONICS VYA NYUMBANI KWA MHUSIKA VIKIWEMO TV NA JIKO LA UMEME, SASA HIVI INAMILIKIWA NA OFFICE MATE NUMBER ONE (OM-1) WA MHUSIKA

MAELEZO YA UTANGULIZ


Remote Control Gadget (RCG) hii ina uhusiano na tukio lilompata mhusika wiki jana kwenye siku tajwa

Akiwa yupo maeneo ya shopping center siku hiyo, ilitarajiwa kuwa mhusika angenunua TV nyingine siku hiyo, na hivyo wale waliomfuta na kumkamata kuwa amepaki vibaya, walijua kuwa alikuwa amenunua TV kwa sababu aliondoka ndani ya shopping malls akiwa anakokota kitu kikibwa kwenye trolley, kilichokuwa kipo ndani ya box

Mhusika alinunua bidhaa hiyo ambayo haikuwa TV, na aliinunua baada ya jiko lake la umeme kuacha kufanya kazi hic=vi karibuni

Hapo kabla RCG ya aina hii ilikuwa ikitumika na JMM ku-disable vifaa vya ndani vya nyumbani kwa mhusika ikiwemo TV yake ya sasa ambayo ni nzima isispokuwa imepoteza VISUAL SIGNAL (VS), kwa maana kwamba haionyeshi picha

  • Kabla JMM hajahama, kifaa hiki kilikuwa na uwezo wa kuitoa na pia kuirudisha tena VS ya TV yake
  • Baada ya JMM kuwa amehama na pia muda mrefu kabla hajahama, VS ya TV ya mhusika haikuweza kurudi tena ila kwa wakti huo, hakuwa na uhakika wa nani amabye alikuwa anafanya hujuma hizo
  • JMM aliiondoa kwa makudusi VS ya TV ya mhusika, nia ikiwa kum-trigger ili akanunue TV nyingine mpya
Kwa hiyo, J5 iliyopita baada ya mhusika kuonekana amebeba kitu kwenye trolley wakati anatoka ndani ya shopping malls za Mlimani City, ilidhaniwa kuwa alikuwa amenunua TV nyingine, na hiki ndiyo kile kilichopelekea wakamataji wa parking wakamzonga pale nje ya uzio kwenye gari lake

KAMA ILIVYO KAWAIDA KWA MATUKIO YA AINA HII PINDI YANAPOKUWA YANAMPTA MHUSIKA, OM-1 HUWA ANAKUWA HAYUPO OFISINI


Tukio la J5 iliyopita nalo lilitokea wakati OM-1 akiwa hayupo tena mazingira ya ofisini huku kwa kipindi hiki, akiwa anamiliki kifaa tajwa; RCG

Mhusika ana-estimate kwamba OM-1 ameanza kumiliki RCG hii kuanzia mwishoni mwa Desemba mwaka jana; na muda huo ndiyo ule alianza kuwa na kawaida ya kutoonekana ofisini hadi leo

  • Ilidhaniwa kuwa kwenye LIKIZO FUPI YA MWISHO WA MWAKA, mhusika angechukua Laptop yake ofisini na kwenda nayo nyumbani.kitu ambacho hakufanya
  • Ikumbukwe kuwa hadi kufikia muda huo, JMM alikuwa tayari ameshahamia sehmu nyingine
  • Vile vile kabla ya hapo, ilidhaniwa kuwa mhusika angeweza kununua TV nyingine kabla JMM hajahamia sehemu nyingine kitu ambacho nacho vile vile mhusika hakufanya
Baada ya JMM kuhama, RCG hiyo ikakabidhiwa kwa OM-1 ili iweze kufanya kazi kwenye Laptop ya mhusika, assuming angeichukua Laptop hiyo ofisini na kuipeleka nyumbani wakati wa likizo ya mwisho wa mwaka 2024

  • Wakati huo huo OM-1 akawa tayari ameshahamia sehemu iliyo jirani na mazingira anayoishi mhusika, akapewa nyumba maeneo hayo
  • Baada ya mhusika kuacha kuichukua Laptotp yake, OM-1 akatumia kifaa hicho kuharibu CMOS battery ya Laptop ya mhusika wakati wa likizo fupi, ili mhusika atakaporudi kutoka ofisini mwanzoni mwa mwaka abadilishe battery ya Laptptop yake, kitu ambacho nacho pia hakufanya
Kabla ya kuwa amefanya haya, mwishoni mwaka jana OM-1 alileta UPS yenye battery mbovu ofisini na kukaa nayo hadi ilipofika January mwaka huu ndiyo alipoindoa tena UPS hiyo huku ikiwa katika ubovu ule ule ambao aliwahi kuileta ikiwa nao

Zaidi ni kuwa tangu Desemba 2024 hadi leo, angalau 98% ya muda wake OM-1 anautumia nje ya ofisi na wakati mwingine kwenye mazingira ambayo yanakuwa hata hayajulikani ni wapi

  • Kama ilivyodokezwa hapo juu, tangu Desemba mwaka jana OM-1 amekuwa akionekana ofisini kwa siku chcahe sana na kwa masaa tu, ikiwa kama ushahidi wa watu kumuona kuwa yupo mazingira ya ofisini
  • Baada ya hapo OM-1 hutoweka tena kwa siku au wiki kadhaa, kabla hajaonekana tena kwa siku nyingine kama ushahidi mwingine wa kumuonyesha kwamba yupo mazingira ya ofisini
Still, OM-1 anakuwa ana udhuru wa kutokuwepo ambao unaleta ukiusikia unaleta mantiki, ikiwemo udhuru alioupata mwishoni mwa mwaka jana wa kuchimba kisima, isipokuwa evidence za sasa za OM-1 kumiliki RCG unaleta picha nyingine kwamba pengine kifaa hicho ndiyo kile ambacho kimekuwa kikimpelekea kubuni udhuru wenye mantiki wa kutokuwepo ofisini, kukwepa kifaa hicho kisije kuwa detected na mitambo ya watu wa usalama

MWISHONI MWA MWAKA JANA 2024, OM-1 NA MNUNUZI WA GARI (MWG) WALICHIMBA KISIMA NDANI YA MAENEO YA TAASISI


Mwishoni mwa mwaka jana 2024, wawili hawa walipewa mradi wa kuchimba kisima; na evidence alizonazo sasa mhusika zimnamuonyesha kuwa walichimba kisima hicho kwa sababu kule Kanisani kuna mtu mwongozaji wa Ibada ambaye jina lake linatengeneza KEY na neno Kisima

Ni kwa sababu kwenye eneo walilochimba kisima hicho ndani ya mazingira ya Taasisi, Ilisemekana kuwa hapo kabla, Taasisi ilikuwa imepiga marufuku kuchimbwa Kisima, na hiki kilichochimbwa safari hii, kimekuwa ni cha kwanza kuwahi kuchimbwa ndani ya eneo ta Taasisi

Maelezo zaiidi yanafuata

…………………………inaendelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…