#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

RCG NA TUKIO LA MHUSIKA LA KUKAMATWA KWENYE PARKING J5 YA WIKI ILIYOPITA

……………………inaendelea


Siku hiyo OM-1 hakuwepo ofisini na ilikuwa haijulikani alikuwa wapi na kwa wiki hiyo nzima, OM-1 hakuwahi kuonekana ofisini

UHUSIANA KATI YAA WAKAMATAJI WA MHUSIKA NA RCG

Evidence za kimazingira alizonazo mhusika muda huu kuhusiana na wakamataji hao zinaonyesha kuwa MKAMATAJI YULE ALIYEKUWA NA PIKIPIKI, na ambaye yeye hakupanda kwenye BAJAJ kwa sababu alikuwa na pikipiki, ndiyo yule ambaye alikuwa na mawasiliano na mtu mwenye RCG; na ambaye hakuwa mbali na pale walipokuwa wao na mhusika

Baada ya mhusika kukubali kwenda kuchukua control number ili alipe faini, wakamataji hao wote watatu, walizuga kwa makusudi kama wanataka kuingia ndani ya gari la mhusika, kitu ambacho walikuwa na uhakika kuwa ni lazima tu mhusika angewazuia; details zote walikuwa wameshazipata kabla

Baada ya mhusika kuwazuia kuingia ndani ya gari lake, hawakung’ang’ania hoja hiyo na hivyo yule mwenye pikipiki aliwashauri wenzake wakapande kwenye Bajaj; halafu hapo hapo yeye akatoweka kuelkea kusikojulikana

MWENYE PIKIPIKI NDIYO YULE AMBAYE ALIKUWA NA MAWASILIANO NA MTU MWENYE RCG

Baada ya kutoka pale, mwenye pikipki akawa amewasiliana sasa na mtu mwenye kifaa; huku assumption yao ikiwa ni kwamba mhusika alikuwa amebeba TV mpya kwenye gari lake, kitu ambacho hakikuwa sahihi

Baada ya kuanza safari ya kuelekea MAWASILIANO, waliopanda kwenye Bajaj, wakawa sasa wanatarajia tukio kumpata mhusika akiwa ndani ya gari lake, kwenye muda ambao walikuwa wanaujua kuwa ni sekunde ngapi au dakika ngapi, kitu ambacho hakikutokea

Hadi wanafika kwenye mataa ya Super Star ambayo yaliwasimamisha kwa muda; tukio tarajiwa lilikuwa bado halijampata mhusika, kitu kilichopelekea Mzee aliyekuwa ndani ya Bajaj, kushuka na kwenda kumweleza mhusika kuwa wauahirishe muamala huo

Hapo ndipo mzee huyo alipomchaji mhusika kwa kiwango cha juu mno, kitu kiilichopelekea mhusika kulazimika kutamka maneno kwa ukali na kwa sauti ya juu mno kiasi kwamba wenye magari waliokuwa jirani waliisikia

Mhusika alimwambia mzee huyo kwa sauti ya juu sana na ya ukali mno akisema TWENDENI KITUONI, na alirudia tena akasema TWENDENI KITUONI!!

Ni kwa sababu tangu wanaondoka kwenye sehemu waliyojidai watu hao kumkamata, mhusika alikuwa tayari ameshawabaini kuwa walikuwa ni vishoka

RCG ilitakiwa kufanya kazi kwenye TV mpya, na duka ambalo mhusika alinunua TV ndiyo lile ambalo lingechafuliwa kuwa lilimuuzia bidhaa yenye matatizo, ilhali siyo kweli

  • RCG hii ndiyo ile ambayo kwa sasa inamilikiwa na OM-1, na ambaye hakuwepo ofisini siku hiyo
  • Kwa ujumla wiki yote hiyo OM-1 hakuwa ameonekana ofisini na tangu kipindi cha mwisho alipowahi kuonekana ofisni, OM-1 alikuja kuonekana tena ofisini jana J4 ya tarehe 11/02/2025 na ilikuwa ni kwa muda tu
OM-1 akiwa yupo ofisni jana J4, kuna mfanyakazi alifika ofisini hapo na kumkabidhi mapanga matatu na sululu moja; vitu ambayo OM-1 alivihifdhi ofisini kwa kuviweka chini ya sakafu, pembezoni mwa sehemu ambayo huwa anakaa

Mfanyakazi huyu aliyemletea mapanga OM-1, ana zaidi ya mwaka mmoja tangu ahamie idarani hapo, isipokuwa kwa jana J4, ndiyo ilikuwa ni mara yake ya kwanza kuingia ofisini kwao mhusika

Kama mfanyakazi huyu aliwahi kuingia kwenye ofisi hiyo kabla, basi itakuwa ni kwenye siku ambayo mhusika alikuwa ametoka kidogo nje ya ofisi

Mhusika anayataja mapanga haya ya OM-1 kwa sababu kwa namna ambavyo ameshamfahamu OM-1, hakipo kitu kidogo au kikubwa ambacho OM-1 huwa anafanya pasipokuwa kimebeba maana kubwa nyuma yake; hakipo

YALE AMBAYO OM-1 AMEYAFANYA KWENYE LAPTOP YA MHUSIKA KUPITIA KIFAA HICHO (AMBACHO MHUSIKA ANAKIITA RCG) KUANZIA DESEMBA MWAKA JANA HADI JANA J4 YA TAREHE 11/02/2025


Chances ni kwamba kilichokuwa kimemleta OM-1 ofisini jana J4 ya tarehe 11/02/2025, ilikuwa ni kwa ajili ya ku-renew operations zake ambazo amekuwa mara kwa mara akizifanya kwenye Laptop ya mhusika, kupitia kifaa hicho

………………….inaendelea
 
DOKEZO MUHIMU KUHUSIANA NA PLAN YA NAMNA RCG ILIVYOTAKIWA KUWA IMEFANYA KAZI

RCG ILITAKIWA IFANYE KAZI KABLA YA JMM KUHAMA, IWAPO TU MHUSIKA ANGENUNUA TV MPYA KABLA YA JMM KUHAMA

KWA SASA UWEZEKANO MKUBWA NI KWAMBA UKARABATI WA JENGO AMBAO UMESHACHUKUA TAKRIBANI MIAKA MIWILI SASA, UNATARAJIWA KUKAMILIKA PALE TU MHUSIKA ATAKAPOKUWA AMENUNUA TV MPYA

CHANCES NI KWAMBA MHUSIKA AKINUNUA TV MPYA, UKARABATI WA JENGO ANALOISHI UTAKAMILIKA SIKU CHACHE TU MBELE YAUNUNUZI HUO

.............INAENDELEA
YALE AMBAYO OM-1 AMEFANYA KWENYE LAPTOP YA MHUSIKA
 
YALE ALIYOFANYA OM-1 KWENYE LAPTOP YA MHUSIKA KUPITIA KIFAA CHA RCG

Baada ya mhusika kurudi ofisini kutoka likizo fupi ya mwaka, alikuta CMOS battery ya laptop yake imekufa

Kuanzia pale LAPTOP yake kila siku akiiwasha, kabla na baada yak u-BOOT Operating System, ikawa inampa message hiyo ya ubovu wa CMOS battery kwa maandishi kwenye screen nyeusi; pasipo kutoa BEEPING SOUND

CMOS battery inahusika na kutunza muda wa computer (Year, Time, Date) wakati computer inapokuwa imezima

Battery hii ikiharibika, computer huwa inaatoa message ya manena kwenye screen au message ya maneno pamoja na beeping sound ya “dwiii, dwiii, dwiii, dwiii……………”

Sauti hii inakuwa inatoka kwenye MOTHERBOAD ya computer na haina uhusiano na Operating System Software ambayo iko installed kwenye machine

Ili kuiondoa sauti ii, inabidi kuingia kwenye BIOS na ku-enable QUIET BOOT, ndiyo sauti inaweza kupotea, na sauti pekee itakayobaki ni ile ya kwanza kabisa ambayo huwa inasikikia mra moja tu “dwi” pale computer inapoanza kuwaka

Sauti hii inaitwa POST au POWER ON SELF TEST

Kwa hiyo uki-enable QUIET BOOT, bado kutakuwa na hii beeping sound moja tu ambayo ni lazima itakuwepo

MHUSIKA AMESHINDWA KU-ENABLE QUIET BOOT HADI LEO NA HIVYO KUSHINDWA KUIONDOA SAUTI HIYO

Ku-enable QUIET BOOT kumeshindikana hadi leo kwa sababu BIOS ya LAPTOP yake nayo pia imechezewa, hakuna option ya kuingia kwenye BOOT OPTIONS na ku-enable QUIET BOOT

Hata hivyo, kuna sababu maalumu zilizopelekea BOOT OPTION hiyo kukosekana

BEEPING SOUND ni SOUND WAVES na maelezo ya kina kuhusiana na namna SOUND WAVES zinavyotumika kwenye hujuma, mhusika tayari alishayaleta humu

Definition

CMOS (Complementary Metal Oxide Semicoductor) What is a CMOS Battery?

A CMOS (Complementary Metal-Oxide-Semiconductor) battery is a small, coin-shaped battery found in a computer’s motherboard. It provides power to the CMOS chip, which stores important system information such as the date, time, and hardware settings in the CMOS memory.

Battery hii huwa ni family ya battery kama CR 2032 na zinatumika pia kwenye zile calculator kubwa; mini computers

CHRONOLOGY OF IMPORTANT EVENTS

January 2025 CMOS battery ya laptop ya mhusika ikawa ni mbovu; na hivyo laptop ikawa inatoa message ya maandishi tu kwenye screen pasipo beeping sound

Siku ya kwanza ambayo mhusika aligundua tatizo hilo, OM-1 alikuwepo ofisini

  • Baada ya siku hiyo OM-1 akapotea mazingira ya ofisini
  • Baada ya siku kadhaa kupita OM-1 akaonekana tena ofisini na siku hiyo hiyo message ya CMOS nayo ikabadilika tena
Badala ya LAPTOP kuwa inatoa message ya maandishi peke yake kwenye screen kama ilivyokuwa inafanya awali, message ilibadilika kwa kuongezeka beepig sound

Hadi leo hii ni wiki ya nne tangu LAPTOP ilipoongeza message ya kutoa beepig sound

Baada ya hapo, OM-1 akapotea tena ofisini na aliporudi ilikuwa tayari ni February 2025, siku ya jana J4 ya tarehe 11/02/2025

  • Kwa siku ya jana, kwa mara ya kwanza beeping sound ilidumu kwa siku nzima
  • Hapo kabla, beeping sound ilikuwa inaanza muda tu computer inapowaka na kudumu kwa takribani saa nzima, halafu baada ya hapo inatulia
Kwa siku ya jana kwa mara ya kwanza beeping sound ilidumu kwa siku nzima

KILE ALICHOKIDHIHIRISHA OM-1 WAKATI AKIFANYA HUJUMA HIZI KWENYE LAPTOP YA MHUSIKA

Aliianza program yake hujuma zake hizi akiwa makini na msiri na kadri siku zilivyokuwa zinaenda, na kwa kuzingatia kuwa hakuna hata ile tu chembe ya tuhuma iliyokujwa imewasilishwa kwake kabla, taratibu alianza kupoteza umakini na usiri na kuanza kutwanga kawaida pasipo kuwa na ukmakini wowote as if anafanya jambo lisilo la siri bali la kawaida

OM-1 amacho kifaa hicho ambacho mhusika amekiita REMOTE CONTROL GADGET (RCG)

Taarifa zingine za nyoneza zitafuata baadaye

In the war between falsehood and truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: FRIDAY, 14TH FEBRUARY 2024

TAARIFA ZA AWALI AMBAZO MHUSIKA ALISHAWAHI KUZILETA HUMU ZINAZOHUSISHA MATATAIZO YANAYOFANANA NA YALIYOSABABISHWA NA KIFAA CHA RCG


Taarifa hizo ziko kwenye posts hizi hapa:
#1,858
#1,860
#1,864
#1,174
#1,180
#1,907

Taifa zingine pia kwenye thread nyingine kupitia post hii hapa chini
#14,518

In the war between falsehood and truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: MONDAY, 24th FEBRUARY 2025

UTAFITI ULIOKAMILIKA

SABABU ZILIZOPELEKEA MATUSI MAWILI MAKUBWA KUTAMKWA KUTOKEA MADHABAHUNI WAKATI WA IBADA YA PILI, J2 YA TAREHE 23 FEBRUARY 2025


Neno la tusi lillitamkwa halina tofauti na neno linalotumika kuelezea pasipo kutumia tafsida, faragha kati ya mwanamme na mwanamke wanapokuwa wanafanya tendo la ngono kitandani

Maneno kama ngono, ni maneno ambayo yanatumia tafsida kuelezea kile ambacho huwa kinafanyika wakati wa trendo la ndoa

Maneno haya “punyeto” na “kujichua” yanaweza kutamkwa mbele ya umati wa watu pasipo kutumia tafsida, na mtu ambaye ana shoti kubwa ya umeme kichwani kwake, achilia mbali kuwa mtu huyo ni mtumishi wa Mungu

Hata mtu wa kawaida tu aliyepo mtaani ambaye si mtumishi wa Mungu, kuweza kutamka maneno ya namna hii mbele ya umati wa watu, inabidi awe na shoti kubwa kichwani kwake

Maneno haya yanapatikana kwenye muda wa kuanzia 1:01:00 na 1:01:08 wa audio clip iliyoambataniwshwa kwenye post hii

Sababu za kwa nini matusi haya yalitamkwa kutokea Madhabahuni zinafuata

………………………….inaendelea

 
SABABU ZILIZOPELEKEA MATUSI MAWILI MAKUBWA KUTAMKWA KUTOKEA MADHABAHUNI…..

…………………inaendelea


Mojawapo ya maneno haya mawili yaliyotamkwa kutokea madhabahuni J2 iliyopita, yanatengeneza KEY na jina la ukoo kwa baadhi ya watu waliopo kwenye mazingira ya mhusika

COINCIDENCES MUHIMU KUHUSIANA NA JINA HILI

Kwa sasa, jina hili linapatikana kila mahali ambapo mhusika huwa anakuwepo kuanzia ofisini, nyumbani na Kanisani pia

Kwa upande wa ofisini, jina hili limekuwepo kwa takribani miaka mitano au sita sasa; kitu ambacho si cha kawaida sana kwa sababu kawaida lilitakiwa kuwepo kwa muda wa miaka mitatu tu

Kwa upande wa Kanisani, jina hili ndiyo lile linalobeba wanafamilia wengi zaidi wanaoabudu Kanisani hapo, ukilinganisha na familia zingine zote zinazoabudu kwenye Kanisa hilo

Hawa wa Kanisani pamoja na yule wa ofisini, ndiyo wale walioanza kuonyesha pattern ya wazi tangu kipindi kirefu nyuma, ambayo hatimaye ilipelekea mhusika kuwa na interst na jina hilo

Mbali na hayo, mwaka jana aliwahi kukutana na jina hilo Barabarani siku za J2 alipokuwa anaelekea Kanisani, na baada ya hapo, jina hilo amekuwa akilipita mara kwa mara pale roundabout ya Mlimani City au sehemu nyingine iliyopo karibu na maeneo yale

PATTERN NYINGINE MUHIMU ILIYOJITOKEZA KUHUSIANA NA JINA HILI KWENYE SIKU ZA WIKI ILIYOPITA KUANZIA SIKU YA IJUMAA HADI J2

Siku ya Ijumaa jina hilo (tuliite JN-1) lililkuwepo KWA MARA YA KWANZA, chumba jirani cha Microscope likiwa linafanya kazi, na mara ya mwisho mhusika hakumbuki hata kule kuliona tu likiwa kwenye chumba hicho, achilia mbali kuwepo humo likifanya kazi

Ikumbukwe kuwa jina hili JN-1 lina takribani miaka 5-6 likiwa lipo idarani

  • Ijumaa vilevile, akiwa anatokea kazini anaelekea Mwenge, mhusika alilipita jina hilo (tuliite JINA J2) njiani jirani na maeneo ya Kanisa la Askofu Kakobe
  • Kesho yake tena yaani Jumamosi, jina hili (tuliite JINA J3) lilikuwepo kwenye ukarabati wa jengo analoishi mhusika, na tangu ukarabati uanze takribani miaka miwili iliyopita, kwa mara ya pili mhusika alifanikiwa kusalimiana na jina hilo
  • Vile vile siku ya J2 iliyopita kule Kanisani, jina hili (tuliite JINA J4) likiwawakilishwa na mwanamama ambaye mhusika alikuwa hajawahi kuonana naye tangu mwaka huu uanze, alikutana nalo mahali fulani karibu na lango kuu la mbele la Kanisa, baada ya Ibada ya pili kuhitimishwa, na walifanikiwa kusalimiana
Ikumbukwe pia kuwa majina haya JN-1, JN-2, JN-3 na JN-4 kila moja linawakilishwa na mtu tofauti na mwingine

Details za coincedences zinazohusiana na jina hili mhusika anazo nyingi, isipokuwa amechagua hizi chache kwa sasa kwa sababu ndiyo zile ambazo zinaweza kuleta mantiki kirahisi zaidi kwa wasomaji
In the war between falsehood and truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNESDAY, 26th FEBRUARY 2025

MHUSIKA AMETANDIKWA KOO KUTOKEA OFISINI KWAKE SIKU YA JANA J4 YA TAREHE 25/02/2025; MA-OFFICE NATE WAKE WOTE WAWILI WAME-COLLABORATE
NAMBA TUKIO HILO LILIVYOTEKELEZWA


JUZI J3 YA TAREHE 24/02/2025, MHUSIKA ALISIKIA KITU KAMA KINAMPALIA KOONI NA BAADA YA HAPO, ALILAZIMIKA KUPIGA CHAFYA

WAKATI ANAFANYA HIVYO, MA-OFFICE WAKE WOTE WAWILI WALIKUWA WAMETOKA NJE KIDOGO

BAADA YA KUPIGA CHAFYA, HAKUJISIKIA CHOCHOTE CHA AJABU HADI ULIPOWADIA MUDA WA KUONDOKA OFISINI, ALIONDOKA AKIWA YUKO SAWA

KWA HIYO J3 MHUSIKA ALIONDOKA OFISINI AKIWA SALAMA, NAJANA J4 ALIRUDI TENA AKIWA SALAMA, HADI ILIPOFIKIA MAJIRA YA MCHANA NDIYO PALE MAMBO YALIPOHARIBIKA

YALE YA MUHIMU YALIYOJIRI HANA J4 MUDA MFUPI KABLA HAJATANDIKWA KOO

KWA SIKU YA JANA J4, MHUSIKA ALIINGIA OFISINI NA KUMKUTA OM-1 AKIWA YUPO OFISINI PEKE YAKE, OM-2 ALIKUWA BADO HAJAFIKA NA HAKUFIKA KABISA OFISINI, NA KAMA ALIFIKA BASI ATAKUWA ALIAMUA KUTJMIA OFISI NYINGINE

WAKATI HUO WATOTO WA USAFI WALIKUWA TAYARI WAMESHAFANYA USAFI OFISINI HAPO , KITU AMBACHO NI NADRA SANA KWA MHUSIKA KUKUTA WATOTO HAO WAKIWA TAYARI WAMESHAFANYA USAFI OFISINI HAPO

KARIBIA MARA ZOTE, 99.9% YA SIKU ZOTE MHUSIKA HUWA ANAKUTA WATOTO HAWA WAKIWANBADO HAWAJAFANYA USAFI OFISINI HUMO; NA A VERY RARE COINCIDENCE NYINGINE ILIYOJITOKEZA KWA MARA YA KWANZA NI KWAMBA HATA J3 YA WIKI ILIYOPITA, MHUSIKA ALIKUTA WATOTO HAO TAYARI WAMESHAFANYA USAFI

NI MARA YA KWANZA IMETOKEA KWAMBA KWA WIKI MBILI MFULULUZO, MHUSIKA MHUSIKA, AMEFIKA OFISINI NA KUKUTA WATOTO TAYARI WAMESHAFANYA USAFI OFISINI HAPO

KWA KIFUPI: NAMNA MHUSIKA ALIVYOPIGWA KOO
OM-1 AMBAYE KAWAIDA HUWA HAKAI AKATULIA OFISINI ISIPOKUWA KUKAA ANAZUNGUKA ZUNGUKA HUKU NA KULE, ALIINGIA OFISINI BAADA YA KURUDI KUTOKA KULE ALIKOKUWA AMEELEKEA

BAADA YA MUDA KITAMBO, ALIICHUKUA LAPTOP YAKE KUTOKA MEZANI KWAKE AKASIMAMA AKIWA AMEINYANYUA JUU KWA KUTUMIA MKONO MMOJA, NA KUIELEKEZA KARIBU KABISA NA SEHEMU AMBAYO UPEPO WA AC HUWA UNATOKEA

OM-1 ALIDAI KUWA KWA MARA YA KWANZA KAPTOP HIYO ILIKUWA YA MOTO, KWA HIYO ALIKUWA ANAJARIBU KUIPOZA KWA KTUMIA UPEPO UNAOTOKEA KWENYE AC

KATIKA YOUOTE ILE, YA KAWAIDA AU ISIYO YA KAWAIDA, OM-1 HUWA HAFANYI KITU CHOCHOTE KILE, KIDOGO AU KIKUBWA, PASIPOKUWA NA MAANA NYINGINE KUBWA ILIYOJIFICHA NYJMA YAKE

CONFUGURATION YA OFISINI HAPO ILIVYO NI KWAMBA MHUSIKA HUWA ANAKAA UMBALI KIDOGO KUTOKA AC HIYO KULIKO WENZAKE, NA KWENYE POSITION AMBAYO IMETIZAMANA DIRECTLY NA UPEPO UNAOTOKA KWENYE AC, HUKU OM-1 AKIWA YUPO CHINI YA AC DIRECTLY; AKIWA AMEUPA KISOGO UPEPO HUO, NA OM-2 AKIWA MBELE KIDOGO OM-1HUKU. AKIWA AMEUPA UBAVU UPEPO HUO
.....................inaendelea
 
MHUSIKA ATANDIKWA KOO AKIWA YUPO OFISINI KWAKE, inaendelea......

BAADA YA OM-1 KUHITIMISHA ZOEZI LA KUPOZA LAPTOP YAKE KWA KUTUMIA UPEPO WA AC, ALITOKA TENA NA BAADA YA MUDA, ALIRUDI NA KUKUTA MHUSIKA AKIWA YUPO TAYARI HUKU AKIWA AMEZIMA AC NA KUFJNGUA MILANGO NA MADIRISHA YA OFISI

BAADA YA HAPO, OM-1 ALIZUGA ZUGA KWA KUKAA OFISINI KWA MUDA MFUPI, NA BAADAYE ALITOWEKA NA HAKUONEKANA TENA OFISINI HAPO HADI MUDA WA SAA 11 JIONI MHUSIKA ALIPOKUWA ANAONDOKA OFISINI, MUDA UKIWA NI DAKIKA CHACHE BAADA YA SAA 11 JIONI

YALE YA MUHIMU YALIYOJIRI KWENYE SIKU ZA HIVI KARIBUNI KABLA YA MHUSIKA KUWA AMETANDIKWA KOO

TAKRIBANI WIKI MHILI ZILIZOPITA, MAJI YALIKATIKA NYUMBANI KWA MHUSIKA NA HADI LEO HAKUNA MAJI NYUMBANI KWAKE, HAYATOKI

CHANCES NI KWAMBA KUNA MTU AMEFUNGA MAJI HAYO, KITENDO AMBACHO KILIWAHI KUFANYIKA TENA HUKO NYUMA KWA MUDA WA MIAKA MITATU KUANZIA 2018 HADI 2021
...........inaendelea
 
MHUSIKA ATANDIKWA KOO AKIWA YUPO OFISINI KWAKE, inaendelea......
BAADA YA MAJI KUWA YAMEKATIKA KWA TAKRIBANI WIKI MBILI SASA, ASUBUHI YA J2 YA WIKII, TAREHE 23/02/2025, MHUSIKA AKIWA YUPO NDANI NYUMBANI KWAKE, ALIPEWA TAARIFA KUWA MOJAWAPO YA TAIRI ZA GARI LAKE ILIKUWA HAINA UPEPO, NA HIVYO ALILAZIMIKA KUTOKA NJE KWA MUDA WA TAKRIBANI NUSU SAA HIVI KWA AJILI YA KUBADILISHA TAIRI; UPEPO ULIKUWA UMETOLEWA

CHANCES NI KWAMBA HATA MAJI YA AKIBA ANAYOTUMIA SASA, YANA HITILAFU UKIZINGATIA KUWA HAKUNA MAJI MENGINE ANAYOTUMIA KWA SABABU BOMBANI HAYATOKI

VINGINEVYO KUNA MTU ASIYEJULIKANA AMBAYE YEYE AMEZIBA TENA CHOO CHA MHUSIKA, NA HUYU NDIYE AMBAYE NI HATARI ZAIDI KULIKO HATA JIRANI MAJI MACHAFU (JMM)

JMM YEYE ALIKUWA ANA-OPERATE UOGA KIDOGO KWA SABABU YEYE NI MWAJIRIWA WA TAASISI; HUYU ALIYEZIBA KIPINDI HIKI INAONYESHA ANA COLLABO TU NA MSIMAMIZI WA WATU AMBAO HUWA WANAHUSIKA NA MAJI MACHAFU

HUYU MSIMAMIZI WA WATU WA MAJI MACHAFU ALISHAGOMA KABISA KUPELEKA WATU WA KUZIBUA BAFU LA MHUSIKA TANGU LILIPOXIBWA NA JMM ALIPOKUWA JIRANI YAKE, KABLA JMM HAJAHAMIA KWINGINE

MHUSIKA AMEKUWA AKIENDA KUMUONA MSIMAMIZI WA WATU WANAOHUSIKA NA MAJI HAYA MACHAFU NA KILA ANAPOFANYA HIVYO, BOSS HUYO HUWA ANAMPA AHADI NZURI MHUSIKA, NA MHUSIKA AKISHAMGEUZIA MGONGO TU, BOSS HUYO HUWA ANAFANYA TOFAUTI

TANGU BAFU LAKE LILIPOWAHI KUZIBWA KIPINDI KILE CHA JMM, HALIJAWAHI KUZIBULIWA TENA HADI LEO, NA MHUSIKA HUWA AKIJAZA ONLINE WORKS ORDER, BOSS HUYO HUWA ANADAI KUWA HUWA HAZIMFIKII, NA HICHO NDIYO KILE AMBACHO HUWA KINAPELRKEA ANALAZIMIKA KWENDA KUMUONA

YAANI WATU WAKUBWA SANA NCHI HII WAPO, NA MHUSIKA ANAYO BAHATI YA KU-INTERACT NAO

WATU WAKUBWA SANA NCHI HII WAPO NA PIA WANA BAHATI SANA KWAMBA HAWAKO CHINI YA MHUSIKA

In the war between falsehood and truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UTAFITI ULIOKAMILIKA: CODE YA UZIO ULIOZUNGUSHIWA KWENYE JENGO ANALOISHI MHUSIKA

MATUSI YALYOTAMKWA KUTOKEA MADHABAHUNI J2 ILIYOPITA NA UHUSIANO WAKE NA UZIO ULIOZUNGUSHWA KWENYE JENGO ANALOISHI MHUSIKA; NA PIA UHUSIANO WAKE BA TUKIO LA UTEKAJI LILILOFELI MWANZONI MWA MWEZI HUU SIKU MHUSIKA ALIPOKUWA ANATOKEA BENKI


MATUSI YALIYOTAMKWA MADHABAHUNI J2 ILIYOPITA YANA UHUSIANO NA JINA LA MMILIKI WA CODE YA UZIO ULIOZUNGUSHIWA KWENYE JENGO ANALOISHI MHUSIKA

KILICHOFANYIKA MADHABAHUNI J2 ILIYOPITA ILIKUWA NI RENEWAL YA CODE HII, BAADA YA KUWA IMEFELI KUFANYA KAZI KWENYE TUKIO LA UTEKAJI MWANZONI MWA MWEZI HUU WA FEBRUARY 2025

WATU WENGINE WENYE JINA LINALOTENGENEZA KEY NA NENO HILI HUSIKA WALIOPO KWENYE SEHEMU ZINGINE KAMA VILE KANISANI NA OFISINI KWAKE MHUSIKA, NI WAWAKILISHI TU WA CODE HII, MMILIKI AKIWA NI YULE ANAYEHUSIKA NA UZIO HUO

UZIO HUU NDIYO ILE ULIOPELEKEA MWANAFUNZI WA NGAZI ZA JUU ALIYEPO IDARANI KWA MHUSIKA NA AMBAYE JINA LAKE LINATENGENEZA KEY NA MMILIKI WA CODE HII, KUSHINDWA KUHITIMISHA MASOMO YAKE KWA SABABU ANATAKIWA KUENDELEA KUWEPO IDARANI KWA MHUSIKA AKIMUWAKILISHA MMILIKI WA CODE HI, KWA UPANDE HUU WA OFISINI KWAKE MHUSIKA

TUKIO LA WIKI HII NA UHUSIANO WAKE NA MKUU WA IDARA (MWI) YA MHUSIKA
HAYA MATUKIO HUWA MARA ZOTE YANATOKEA MWI ANAPOKUWA YUPO SAFARI.

AIDHA HUWA ANACHAFULIWA AU HUWA ANAHUSIKA KUYAPANGA KWANZA HALAFU NDIYO ANASAFIRI

In the war between falsehood and truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY, 04rth MARCH 2025
KUHUSIANA NA REMOTE CONTROL GADGET (RCG) INAYOMILIKIWA NA OM-1


STRONG EVIDENCE ZILIZOPO ZINAONYESHA KWAMBA OM-1 BADO ANAYO RCG, AU AMESHATENGENEZA NYINGINE KWA KUTUMIA VIFAA VYA ELECTRONICS AMBAVYO AMEKUWA AKIVIVIHASMISHA ASUBUHI MAPEMA KABLA YA MHUSIIKA KUINGIA OFISIN

INAONYESHA KUWA RIG HIZI NI ZA KUTENGENEZA LOCALLY, NA UWEZEKANO MKUBWA NI KWAMBA ANAYEHUSIKA KUTENGENEZA RIG HIZI LOCALLY NI YULE MTAALAMU WA IT AMBAYE HUWA HAHUDHURII VIKAO VYA IDARA NA WALA HSKYWAHI KUTAMBULIDHWA IDAEANI KAMA MMOJAWAPO WA WAFANYAKAZI WA IDARA

STIRONG EVIDENCE NYINGINE ZINSONYESGA PIA KUWA KYWA SASA HATA MTAALAMU HUYO WA IT NAYE PIA ANAYO RCG NYINGINE ANAYOMILIKI

VIFAA VINAVYOTUMIKA NI VYA ELECTRONICS VILIVYOKUWA NDANI YA MAKABATI YA OFISINI HUMO, VIKIWA VIMETUNZWA KAMA SPARES KWA AJILI YA DATA ACQUISITION SYSTEMS ZA MATETEMEKO YA ARDHI

TAARIFA ZAIDI ZITAFUATA BAADAYE

In the war between falsehood and truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: SATURDAY, 08th MARCH 2025

UTAFITI ULIOKAMILIKA: MWANAFUNZI ALIYEUAWA KWA KUPIGWA N.A. MWALIMU WAKE HUKO MKOANI


J2 YA TAREHE 23 MARCH 2025 WAKATI WA IBADA YA P ILI, PEPO LILIRUSHWA KUTOKEA KWENYE MADHABAHU YA KANISA KUPITIA MANENO KUPIGA PUNYETO, USHAHIDI UKIWA UPO KWENYE POST HII GAPA CHINI

#COVID19 - Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

RCG NA TUKIO LA MHUSIKA LA KUKAMATWA KWENYE PARKING J5 YA WIKI ILIYOPITA ……………………inaendelea Siku hiyo OM-1 hakuwepo ofisini na ilikuwa haijulikani alikuwa wapi na kwa wiki hiyo nzima, OM-1 hakuwahi kuonekana ofisini UHUSIANA KATI YAA WAKAMATAJI WA MHUSIKA NA RCG Evidence za kimazingira...
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com

AU POST NUMBER #2,385

KWA HIYO NENO PIGA LILIRUSHIWA PEPO NA BAADA YA HAPO, MWANAFUNZI ALIPIGWA NA KUUAWA HUKO MIKOANI, TUKIO AMBALO LINAWEZA KUWA NI LA KWANZA KUTOKEA NDANI YA NCHI YETU, LA MWANAFUNXI KUPIGWA HADI KUUAWA

NA KWA VILE SENIOR MSTAAFU WA KIUME (SMME) WA IDARANI KWAKE MHUSIKA ALIFANIKIWA KUJIPENYEZA HADI KUFIKIA HATUA YA KUPATA MWANYA WA KUWEZA KUINGIA KWENYE WIZARA HII INAYOHUSIANA NA WANAFUNZI, BADO HUKO MBELE YA SAFARI MNAWEZA KUJA KUSIKIA MAKUBWA ZAIDI YA HAYA YANAOHUSIANA NA WANAFUNZI

In the war between falsehood and truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: SATURDAY, 08th MARCH 2025
HOAX NYINGINE ILIYOFANYIKA KUTOKEA KWENYE MADHABAHU YA KANISA A J2 YA LEO TAREHE 09/03/2025 ILIHUSIANA NA MUUMINI MWENYEJI ALIYETAMBULISHWA


KUNA MUUMINI ALITAMBILISHWA KUWA ALIKUWA AMESAFIRI KWENDA KWENYE MSIBA.

MHUSIKA HAKANUSHI KUHUSIANA NA TAARIFA ZA MUUMINI HUYO KUPATA MSIBA ISIPOKUWA:

MUUMINI HUYO HAKUWEPO KANISANI HAPO KWA KIPINDI CHA MIAKA MINGI SANA NA LEO NDIYO ILIKUWA MARA YAKE YA KWANZA KUONEKANA TENA KANISANI HAPO, BAADA YA KUWA AMEPOTEA KWA KIPINDI CHA MIAKA MINGI SANA

MUUMINI HUYO ALIKOMA KUONEKANA KANISANI HAPO KABBLA YA MWAKA 2020.

KWA HIYO WAKATI KM-A ANAFUNDISHA SOMO LILILOHUSIANA NA MWILI, NAFSI NA ROHO MWISHONI MWA MWAKA 2020, MUUMINI HUYO ALIKUWA TAYARI HAYUPO KANISANI HAPO, ALIKUWA AMESHAONDOKA

FACT NI KWAMBA MUUMINI HUYU ALIONDOKA ANGALAU MIAKA MIWILI AU MITATU NYUMA, KABLA YA WAUMINI KUANZA KUABUDU KWENYE KANISA JIPYA

KWA HIYO TANGU WAUMININI WAANZE KUABUDU KWENYE KANISA JIPYA, MUUMINI HUYU ALIKUWA HAJAWAHI KUONEKANA KANISANI HAPO ISIPOKUWA LEO, NA HIVYO LEO NDIYO ILIKUWA SIKU YAKE YA KWANZA KUABUDU KWENYE KANISA JIPYA KWA SABABU MARA YA MWISHO ALIWAHI KUABUDU KWENYE LILE KANISA LA ZAMANI

In the war between falsehood and truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNESDAY, 12th MARCH 2025

……..“TUACHE MKWALA KWENYE MAMBO YA MUNGU”


Hii ni quote ya mhusika kutoka kwa Mtumishi wa Mungu (MTM) mmoja ambaye atamtaja jina mwishoni mwa maelezo haya

Ujumbe huu una uhusiana na kikao cha dharura cha wanaume wa Kanisa A, kilichofanyika J2 iliyopita ya tarehe 09/03/2025

MAUDHUI YA USHUHUDA WENYEWE WA MTM
Siku moja mhusika akiwa anafuatilia kupitia TV, Ibada iliyokuwa inaendekea Kanisani kwa MTM huyu, mhusika alibahatika kusikia ushuhuda wa MTM kwa waumini wa Kanisa lake

Ushuhuda ulimhusu kijana ambaye alipanda ngazi kutoka kwenye utumishi wa kawaida Kanisani hadi kufikia level ya kuwa na Kanisa lake aliloaminiwa kulitumika

Kabla ya kuwekewa mikono kwa ajili ya utumishi huo mpya, mtumishi huyu (tumwite MTM-2) alifika kwa MTM kumpa taarifa za tukio la kuwekwa kwake wakfu au kusimikwa, na hivyo MTM-2 kumuomba MTM aweze kuhudhuria Ibada siku hiyo

Kabla ya MTM-2 kufika ofisni kwa MTM kumuomba ahudhurie Ibada, taarifa za awali zilizokuwa zimemfikia MTM ni kwamba MTM-2 alikuwa anatarajiwa kusimikwa kuwa Askofu, ilhali MTM-2 alikuwa ndiyo anatarajiwa kusimikwa kwa mara ya kwanza katika maisha yake yote kwa ajili ya utumishi juu ya Madhabahu ya Kanisa linalojitegemea

  • MTM-2 alimjulisha MTM kuwa alikuwa anatarjiwa kusimikwa kwa ajili ya utumishi katika cheo ambacho kiko chini ya kile cha Askofu
  • Baada ya kusikia hivyo kutoka kwa mhusika wa tukio lenyewe, MTM alimweleza MTM-2 kuwa taarifa za awali zilizokuwa zimemfikia yeye (MTM) ni kwamba MTM-2 alikuwa anatarajia kusimikwa kuwa Askofu
MTM-2 alikanusha taarifa za kusimikwa kuwa Askofu, huku akimweleza MTM kuwa “hapana sitarajii kusimikwa kuwa Askofu, huo ulikuwa ni mkwara tu”

Huu ulikuwa ni ushuhuda MTM alikuwa anautoa mbele ya waumini wa Kanisa lake wakati wa Ibada

Baada ya MTM kufika kwenye point hiyo ya “mkwara”, alibadilika uso ghafla akakunja uso na mood yake ikawa imechange na akawambia waumini wake kwa sauti ya juu na ya ukali kidogo kuonyesha msisitizo akisema “TUACHE MKWARA KWENYE MAMBO YA MUNGU”

UJUMBE HUU NA UHUSIANO WAKE NA KILE KILICHOTOKEA KWENYE KIKAO CHA DHARURA CHA WANAUME WA KANISA A J2 ILIYOPITA YA TAREHE 09/03/2025

……..“TUACHE UBABAISHAJI KWENYE MAMBO YA MUNGU”


Kikao hicho kiliitishwa kwa nia ya kujadili namna wanaume wa Kanisa A watakavyokuwa wanaendesha Ibada zao, huku mwenyekiti wa Kikao akiwa tayari ana pendekezo la kufanya Ibada mara moja kwa mwezi

Hoja ya M/Kiti kupendekeza hivi, eti ilitokana na kubanana kwa ratiba kwamba kila siku ya wiki kuanzia J3 hadi Ijumaa, kuna kundi ambalo huwa linakutana Kanisani ambalo ni tofauti na wanaume

  • Hii ndiyo hoja kubwa iliyopelekea M/Kiti akaitisha mkutano huo
  • Baada ya M/Kiti kuwa amteoa hoja yake, baadhi ya wajumbe wakachangia na kusema kuwa muongozo wa Kanisa kutoka ngazi ya Uongozi wa juu wa Kanisa kiTaifa, unaelekeza wanaume wakutane mara moja kila wiki, na makanisa mengine yote huwa yanafanywa hivyo, ispokuwa Kanisa A tu
  • Mbali na hilo, M/Kiti alielezwa kuwa kila kundi lililopo Kanisa A linalotakiwa kukutana mara moja kwa wiki, lipo pia kwenye makanisa mengine lakini still, makanisa mengine yanayo siku ya kila wiki ya wanaume kukutana, huku kwa upande wa Kanisa A, ikidaiwa kuwa hapana nafasi hiyo ya wanaume kukutana kwa sababu siku za kukutana za wiki zimejazwa na makundi mengine yaliyopo Kanisani hapo
Kwa hiyo hoja ya siku zote ya Kanisa A kwa wanaume kutokukutana kila wiki, eti inatokana na mwingiliano wa ratiba za wiki

KILICHOTOKEA BAADA YA HOJA YA MWENYEKITI KUKOSA NGUVU KUTOKANA NA KUPINGANA NA MUONGOZO ULIOPO WA UONGOZI WA KANISA KITAIFA

M/Kiti alikuwa amekuja kwenye kikao hicho akiwa ana kundi nyuma yake ambalo alikuwa ameliandaa tayari kama backup yake

Kwa hiyo baada ya kushindwa hoja, M/Kiti aliamua kulitumia kundi hilo kwa kupiga kura ili lipitishe wanaume wa Kanisa A wawe wanakutana mara moja kwa mwezi na si kila wiki, huku akijua kuwa ni kitu kinachopingana na muongozo wa uongozi wa Kanisa wa Kitaifa

Hatimaye kundi hilo lilipiga kura na likapitisha kukutana mara moja kwa mwezi

UJUMBE WA MHUSIKA KWA VIONGOZI WA KANISA A

……..“TUACHE UBABAISHAJI KWENYE MAMBO YA MUNGU”

KILE KINACHOPELEKEA FREQUENCY YA IBADA ZA WANAUME WA KANISA A KULAZIMISHWA KUWA MARA MOJA KWA MWEZI BADALA YA MARA MOJA KWA WIKI

Kikubwa ni kwamba, wanaume wakiwa wanakutana kila wiki, watadhibiti mambo mengi ya kipumbavu yanayoendelea Kanisani hapo mithili ya yale ya viongozi kurusha mapepo kutokea madhabahuni huku wakitumia matusi kama vile “KUPIGA PUNYETO” au wanaume kuambiwa “MNAWAGEUZA NYUMA WAKE ZENU”

Katika hili, mhusika anamuomba sana M/Kiti aache kuwa anaitisha vikao na kuanza kuviendesha kama wanaume hawana akili timamu

Uwezekano mkubwa ni kuwa kikao cha J2 iliyopita ni maandalizi kwa ajili ya ujio wa uongozi mpya unaotarajiwa kufika Kanisani hapo wakati wa ufunguzi wa Kanisa mwaka huu

Viongozi hao wapya watakapokuja na kuuliza kwa nini Ibada za wanaume Kanisani hapo ni mara moja kwa mwezi na si kila wiki, KM-A atajibu kirahisi tu kuwa ni wao wanaume waliwahi kuamua hivyo kwenye kikao chao, tena kwa kupiga kura

Kungekuwa na machine ya kupima na kuona ni ubongo wa aina gani upo ndani ya kichwa cha mtu, mhusika angeitafuta ili aweze kuupima ubongo wa KM-A, ili aone ukoje

In the war between falsehood and truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: SATURDAY, 15th MARCH 2025
UTAFITI ULIOKAMILIKA
GRAND CODE AU CODE YA SALAMA (CODSA)


WAMILIKI WA CODE HII NI WATATU AMBAO NI WAFUATAO:

KANISANI KWA MHUSIKA: KIONGOZI MKUU WA KANISA A ( KM-A)
OFISINI KWA MHUSIKA NI WAWILI AMBAO NI MKUU WA MAJOR UNIT ( MMU ) PAMOJA NA WAJINA WA MR X (TUMWITE WJNX)

CODE HII NDIYO INAYOBEBA MATUKIO YOTE MAKUBWA YALIYOTOKEA NCHINI KABLA NA BAADA YA 2020 HADI LEO HII, YAKIWEMO YALE YA MWAKA 2021

CODE HII ILIKUJA KUWA RENEWED KWA MARA YA KWANZA KUPITIA MADHABAHU YA KANISA A MWISHONI MWA MWAKA 2020, BAADA YA KIONGOZI MKUU WA KANISA A (KM-A) KUFUNDISHA KWA KIPINDI CHA MIEZI KADHAA SOMO LILILOHUSIANA NA NAFSI MWILI NA ROHO

KWA MARA YA PILI CODE HII ILIKUJA KUWA RENEWED MWAKA JANA 2024, BAADA YA KUZINDULUWA KWA KEYS KWENYE KIPINDI AMVACHO MHUSIKA ALIPEWA NAFASI KWA MARA YA KWANZA, YA KUWAPATIA TEST WANAFUNZI ALIOKUWA AKIWAFUNDISHA SOMO LA SOIL MECHANICS

KUTOKANA NA UTAFITI WAKE, USHAHIDI ALIONAO MHUSIKA UNAONYESHA DGAHIRI KABISA KUWA CHANCES NI KWAMBA WATUMISHI WA MUNGU WAWILI WAKUBWA (RIP), MMOJA AKIWA MAMA MCHUNGSJI NA MWINGINE BABA MCHUNGAJI NA PIA JAJI, WANGEWEZA KUWA WA MSAADA SANA KUTOA TAFSRI ZA KIROHO KWA MATUKIO YOTE YALIYOTOKEA HASA BAADA YA MWAKA 2020, CODE HII ILIPOKUWA IKI-OPERATE, KAMA WANGEKUWEPO

CODE HII ITAKUWA NA MAELEZO MAREFU ZAIDI KUZIDI CODE ZINGINE ZOTE AMBAZO MHUSIKA AMESHAWAHI KULETA NAELEZO YAKE HUMU JUKWAANI NA SAFARI HII ITALIELEZEA KWA UFASAHA ZAIDI NAMNA MRX NA KATIBU MHUTASI WA MKUU WA IDARA WA KIPINDI HICHO, NAMNA WALIVYOHUSIKA NA URATIBU WA TUKIO LA AJALI YA NDEGE ILIYOTOKEA KULE BUKOBA NOVEMBA 2022

ZAIDI NI KUWA MGENI MWENYEJI ALIYEONEKANA GHAFLA KANISANI J2 ILIYOPITA YA TAREHE 09/03/2025 NA KUTAMBULISHWA KUWA ALIKUWA AMESAFIRI KWENDA KWENYE MSIBA ILHALI HAKUWEPO KABISA KANISANI HAPO KWA KIPINDI CHA MIAKA MINGI SANA, J2 HIYO MGENI MWENYEJI HUYU ALIKUWA ANA-OPERATE KWENYE CODE HII YA SALAMA

LINDA NA SALAMA HUWA HAVITANGAMANI; PASIPO LINDA, HAKUNA SALAMA NA PALIPO NA SALAMA, LAZIMA KUWE NA LINDA

JINA LA UBINI LA MGENI MWENYEJI HUYO LINATENGENEZA KEY NA NENO "LINDA"

TAARIFA ZAIDI ZINAFUATA

In the war between falsehood and truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
CODE YA SALAMA ( CODSA)
.............INAENDELEA

OM-1 NA MATUKIO YA OFISINI WIKI HII


SIKU YA J5 WIKI HII OM-1 ALIKUWA AMEJIANDAA KUMFANYIA TUKIO MHUSIKA NDANI YA JENGO LA OFISI ILA ILISHINDIKANA BAADA YA MHUSIKA KUUBAINI MTEGO WA TUKIO LENYEWE

IKUMBUKWE KUWA J5 ILIFUATIWA NA KUSANYIKO LA SHEREHE YA WANAWAKE SIKU YA J4 LILILOFANYIKIA NDAMI YA JENGO LA OFISI ZA IDARA KUANZIA MAJIRA YA SAA 11 JIONI NA INASEMEKANA LILIMALIZIKA SAA 2 USIKU

MHUSIKA HAKUHUDHURIA TUKIO HIL9, KITU AMBACHO WATU WENGI WENYE AKILI TIMAMU WALIKITARAJIA. KUSANYIKO HILO LILIKUWA LIMEITISHWA NA MMU

MBALI NA HILO J4 MHUSIKA ALIENDA KWENYE OFISI ZA MILIKI YA NYJMBA KWA AJILI YA KUSHUGHULIKIA SWALA LA MAJI AMBAYO YAMEKATWA NYUMBA NZIMA, HADI MUDA HUU HANA MAJI NYUMBANI KWAKE

TANGU SIKU ALIPOLETA HUMU TAARIFA ZA MATUSI YA KUPIGA PUNYETO YALIYOTAMKWA KUTOKEA MADHABAHUNI KULE KANISANI KWAKE, BAADA YA HAPO MAJI YALIKATIKA NYJMBA NZIMA NA HADI LEO HAYAJARUDI. HANA MAJI NYUMBA NZIMA HADI MUDA HUU.

KWA HIYO SIKU HIYO MHUSIKA ALIENDA KUSHUGHULIKIA SWALA LA MAJI ILA HADI LEO HII JJMAMOSI, MAJI BADO HAYAJARUDI, NA PLAN KAMILI ILIYO NYUMA YA KUKATIKA KWA MAJI HAYO AMESHAIJUA; HUKU MOJAWAPO TU YA MPANGILIO ULIOPO KWENYE PLAN YENYEWE NI KWAMBA MHUSIKA ANATAKIWA ARUDI TENA HUKO KWENYE OFISI ZA MILIKI YA NYUMBA KATIKA MUDA HUU AMBAO WANAFUNZI BADO WAPO LIKIZO

INAVYOONEKANA, OM-1 BADO HAJAKATA TAMAA, BADO ANAENDELEA NA HARAKATI ZAKE ZILIZOSHINDWA KUZAA MATUNDA J5 YA WIKI HII, NA PIA KIFAA CHAKE KILE CHA REMOTE CONTROL AU RCG BADO ANACHO NA ANAENDELEA KUKITUMIA KU-CONTROL COMPUTER YA MHUSIKA

MBALI NA HAYO, KUNA VIFAA VYA ELECTRONICS AMBAVYO ALIKUWA AMEVISOMBA NA KUVIHAMISHIA SEHEMU NYINGINE NA MARA ZOTE AMEKUWA AKIFANYA HIVYO KATIKA MUDA AMBAO MHUSIKA ANAKUWA HAYUPO OFISINI JUZI ALIVYOANGALIA KWENYE KABATI, MHUSIKA ALIVIONA VIFAA HIVYO VIKIWA VIMERIDISHWA TENA OFISINI HUMO NA SAFARI HII VIKIWA VIMEWEKWA KWENYE KABATI LA MBAO. HAPO KABLA VILIKUWA VINAKAA KWENYE KABATI LA CHUMA

KWA HIYO OM-1 AMEKUWA AKIHAMISHA VIFAA HIVYO KWENYE MUDA AMBAO MHUSIKA ANAKUWA AIDHA TAYARI MESHAONDOKA OFISINI JIONI KURUDI NYUMBANI AU MAPEMA AUSUBUHI ANAPOKUWA BADO HAJAFIKA OFISINI

KWA HIYO TOTAL TRANSACTION YA OM1 KUHUSIANA NA VIFAA HIVYO NI KWAMBA AMEVIHAMISHA KUTOKA KWENYE KABATI LA CHUMA NA KUVIWEKA KWENYE KABATI LA MBAO, HUKU BAADHI VIFAA MUHIMU KAMA VILE GPS, AKIBAKI NAVYO AMEVIHIFADHI KWENYE SEHEMU ANAYOIJUA MWENYEWE

In the war between falsehood and truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA


CODE YA SALAMA ( CODSA)
.............INAENDELEA
 
IKUMBUKWE PIA CODE HII INAHUSIKA N.A. MANENO YA TAFSRI ZAKE KWENYE LUGHA ZINGINE KAMA VILE KIINGEREZA
SALAMA KWA KIINGEREZA NI SAFE

SAFE INAWEZA PIA KUWA NI KIFAA CHA KUHIFADHIA FEDHA, NA MOJAWAPO YA HOMPHONES ZA NENO SAFE, NI JINA LA WATU WANAOITWA SEIF

KWA HIYO CODE HII INAHUSIKA N.A. MAJINA YA WARY WANAOITWA SEIF, AU MAJINA MENGINE YANAWEZA KUWA HOMOPHONE TA NENO SAFE

CODE YA SALAMA ( CODSA)
.............INAENDELEA


In the war between falsehood and truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
CODE YA SALAMA ( CODSA)
.............INAENDELEA
KILE KILICHOOELEKEA CODE HII KUANZISHWA NA NAMNA CODE HII INAVYOFANYA KAZI


KWA KIFUPI SANA, KAMA JINA LA CODE LILIVYO, CODE HII IMEKUWA IKIRUSHA PEPO KWENYE USALAMA. UKIRUSHA PEPO KWENYE USALAMA, UNAKUWA UMEATHIRI VITU VYOTE VINAVYOHUSIKA NA USALAMA KUANZIA HATA ULE WEMBE WA KUKATIA KUCHA TU AU KISU CHA KUKATIA NYANYA, RUNGU, TRIGGER YA BUNDUKI N.K. ; NA HADI WALE ASKARI WOTE WANAOHUSIKA NA USALAMA POPOTE PALE WALIPO IWE NI KWENYE MAKAMBI YAO, MAJUMBANI KWAO, MTAANI, BARARANI N.K.; IKIWA PIA NI PAMOJA NA VIFAA VYAO, ZIKIWEMO SILAHA, MAGARI NA PIKIPIKI NA VINGINE VINGI

KILE KILICHOWAHI KU-TRIGGER CODE HII KUANZISHWA

KILUCHOPELEKEA CODE HII KUANZISHWA NI NI MANENO AMBAYO MHUSIKA AMEKUWA AKIYATUMIA KWENYE MAOMBI YAKE TANGU NWAKA 2011 HADI MWAKA JANA 2024, (YAANI KWA MUDA WA MIAKA 13), NA AMBAYO WARUSHA PEPO WALIJITAHIDI WAKAYAFAHAMU

TANGU KIPINDI HICHO, MHUSIKA AMEKUWA NA KAWAIDA YA KUWAOMBEA VIONGOZI WA NGAZI YA JUU WA NCHI, WAKIWEMO WALE WA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA KAMA JESHI LA ULINZI, JESHI LA POLISI, JESHI LA NAGEREZA, UHAMIAJI, USALAMA WA TAIFA HUKU BAADHI YAO AKIWATAJA KWA MAJINA, ESOECIALLY "MACHO YA NCHI", CDF NA IGP

KWA HIYO MHUSIKA AMEKUWA NA KAWAIDA YA KUWA ANAOMBEA NYANJA HIZI ALMOST KILA SIKU TANGU KIPINDI HICHO, KWA BAADHI KUZITAJA SPECIFICALLY KWA MAJINA YAKE NA PIA MAJINA YA BAADHI YA VIONGOZI WAKE

ILIPOFIKA MWAKA JANA 2024, WASHAMBULIAJI WALIANZA KUTUMIA KEYS, KITU KILICHOPELEKEA MHUSIKA KUHAMA KUTOKA KWENYE MFUMO WA MAOMBI YA MANUAL NA KUANZA KUTUMIA MFUMO WA AUTO MODE

KWA HIYO KYANZIA PALE, MHUSIKA ALIACHA KUWA ANVITAJA KWA MAJINA VYOMBO HIVI NA VIONGOZI WAKE KWA SABABU UKITUMIA KEY, KITENDO CHA KUITAMKA TU KEY HUSIKA, UNAKUWA UMEWAOMBEA KWA MKUPUO NA KWA KUWAUNGANISHA WATU WOTE NA VIONGOZI WOTE KUANZIA MKUU WA NCHI NA WAAMBATA WAKE WOTE, N.A. HATA MACHINGA ALIYEPO MTAA WA CONGO KARIAKOO AKIUZA BIDHAA

KWA HIYO KILICHOPELEKEA CODE HII IKAWA DEVISED, NI MAOMBI YA MHUSIKA YALYOKUWA HACKED NA AMBAYO KILA ALIPOKUWA ANAYAFANYA, ALIKUWA ANAVITAJA PIA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA KWA MAJINA YAKE IKIWA NI PAMOJA NA BAADHI YA MAJINA YA VIONGOZI WAKE, KWA MUDA WA MIAKA 13 TANGU MWAKA 2011 HADI MWAKA JANA 2024

CODE YA SALAMA ( CODSA)
.............INAENDELEA


In the war between falsehood and truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Back
Top Bottom